Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMITINDO JOCKTAN MAKEKE KUWAKILISHA TANZANIA KWENYE MASHINDANO YA TDWFS...

 Msanii wa mitindo ya kiafrika kutoka Tanzania JOCKTAN WA MAKEKE AFRIKA ambaye amekuwa tishio katika mitindo ya asili ya mwafrika ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika majukwaa mbalimbali ndani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONANZA LA WINDHOEK DRAUGHT KUFANYA BUKOBA NA MULEBA KUANZIA KESHO

 Tamasha kubwa la Windhoek Draught linatarajiwa kufanyika kesho Jumapili katika Viwanja vya bukoba Club Mjini hapa,bonanza hilo litapambwa na burudani mbalimbali huku mambo ya nyama choma yakihusika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITOKUWA TAYARI KUTOA MATUMAINI HEWA KWA WANANCHI AMBAYO HAYATEKELEZEKI-DKT...

  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ifakara wilayani Kilombero kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa wakati wake utakuwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ALIVYOUTIKISA MJI WA TABORA LEO

 Aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mngeja akiuhutubia Umati wa wakazi wa Mji wa Tabora, waliofutirika kwa wingi kwenye Uwanja wa Town School, kulikofantika Mkutano wa Kampeni za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA ACT WAZALENDO UWANJA WA KAWAWA KIGOMA MJINI

 Sehemu ya matukio ya picha Mkutano wa @ACTwazalendo Uwanja wa Kawawa Kigoma MjiniKatika picha kinachojiri mkutano wa Chama cha ACT Wazalendo jioni ya leo Sep 6,2015

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA - NZEGA MJINI LEO

Chopa ya Mgombea Urais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ikitua eneo la Uwanja wa Mkutano, huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONANZA LA WINDROEK DRAUGHT KUTOKA VIWANJA VYA BUKOBA CLUB

 Matukio katika picha yaliyojiri mapema leo kutoka Viwanja vya Gymkhana Bukoba Club, lile Bonanza la Windhoek Draught likiendelea kuchukua kasi,ambapo kesho shangwe hizi zitakuwa The Rock pub kwa Mzee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUTIKISA MJI WA MOROGORO JIONI YA LEO,JK ASEMA...

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisistiza jambo katika mkutano huo. Wananchi wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuti mjini Morogoro kwenye mkutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania.

  Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyo  Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya  Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA MAZUNGUMZO YA DR SLAA NA TIDO

Sikiliza hapo juu kama ulipitwa mahojiano ya aliyekua Ktibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa na Tiddo Mahojiano mapema ya leo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA KAMPANI KAGASHEKI WATIKISA !!

SwahibaAA! SwahiBAAA! SwahibAAA...!!zinasikika kelele za wapenzi wa Kagasheki na wafuasi wa CCM kuonyesha wanavyo msupport  mgombea wao Balozi Khamis Kagasheki, katika uzinduzi wa Kanipeni zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AHIDI KUFUFUA VIWANDA MKOANI TANGA,KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye...

View Article


SHEREHE ZA KUADHIMISHA MIAKA 10 YA MICHUZI BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA...

Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Binilith Mahenge (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha oparesheni  cha Kampuni ya MagilaTech, iliyotengeneza teknolojia ya tigo backup...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI

Msafara wa Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ukiwasilia katika mkutano wa hadhara wa kampeni,Korogwe vijijini.MGOMBEA urais kwa teketi ya CCM, Dk.John Magufuli akifafanua jambo kwa msisitizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA MZEE JOSEPH MSHUMBUSI MJINI BUKOBA LEO SEP 10.

Mjini Bukoba mamia ya watu na Viongozi mbalimbali wamejitokeza Uwanja wa ndege kushiriki mapokezi ya Mwili wa marehemu mzee Joseph Mshumbusi mapema ya leo majira ya saa 3 asubuhi .Mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wimbo mpya: ROMA - Viva ROMA Viva

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWASHANGAA MAWAZIRI WAKUU WENZANGU WALIOSTAAFU,WAKIDAI CCM MIAKA 50 HAKUNA...

 Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia wakazi wa Butiama ambapo aliwaeleza Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-MARAWAZIRI Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASWALA HAYA NI MUHIMU KATIKA MAHUSIANO

Kinachokupa kiu ya kurudi nyumbani mapema au ya kuwepo nyumbani nyakati ambazo haulazimiki kutoka hakitakiwi kuwa ni Tv programs, au ujenzi unaoendelea nyumbani, au uzuri wa nyumba na sebule yako, au...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live