Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMAINGO WATAKIWA KUCHANGAMKIA UZALISHAJI WA MALIGHAFI YA VIWANDA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mary Mashingo (katikati),akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa Ushirika wa Vikundi vya Biashara Dar es Salaam (Vibidar Namaingo), Grace Lobulu katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA ZITTO KABWE JUU YA HALI YA ELIMU YA JUU NA SUALA LA MADAWA YA KULEVYA

Hotuba Yangu Bungeni Kuhusu Taarifa za Kamati za Bunge za Huduma na Maendeleo ya Jamii na Masuala ya UKIMWIMheshimiwa Spika, Nasimama kuunga mkono Taarifa za Kamati zilizowasilishwa katika Bunge lako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASIMIKWA KUWA ASKOFU DAYOSISI YA LWERU KAGERA

Askofu mteule wa Dayosis ya Rwelu mkoani Kagera Godfrey Mbelwa (katikati) akiapa kutumikia dayosisi hiyo kulia  ni AskofuLugendo Julius wa Dayosis ya Mbeya na kushoto ni Askofu George Okoth kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO/PICHA WABUNGE WA UPINZANI WALIPOTOKA BUNGENI DODOMA FEB 7,2017

 Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT) Zitto Kabwe akizungumza na Wanahabari baada ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani kutoka nje ya Bunge baada ya Naibu Spika wa Bunge kuamuru Mbunge wa jimbo la Serengeti Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA 17 WA DAWA ZA KULEVYA WAKAMATWA SHINYANGA...MAJINA MENGINE ZAIDI...

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo (hawapo pichani) Alhamis Februari 9,2017 kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa dawa za kulevya katika wilaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar Mhe. Simai Mohammed...

Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akizungumza na waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya Tanzania na Nje wakati wa kutowa kwa taarifa kwa kukamilika kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI KIMWANI AAPISHWA NDANI YA BARAZA LA MADIWANI WILAYANI MULEBA

Diwani wa kata ya Kimwani Wilayani Muleba mkoani kagera Daudi Kiluma kupitia Chama cha mapinduzi ameapishwa leo na kupewa hati ya ushindi wa kuwa diwani wa kata hiyo baada ya kushinda uchaguzi  mdogo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDU LISSU AACHIWA KWA DHAMANA YA MIL 20

Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemuachi kwa dhamana ya milioni 20 Mbunge wa Singida Mashariki Mh.Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na makosa manne likiwamo lakutoa maneno...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KIFO CHA OMWAMI TA EMMANUEL R.G.MUTABUZI

TAARIFA KIFO:Ndugu Wilbroad  Mutabuzi wa Kashai Bukoba anasikitika kutangaza kifo cha  baba yake mzazi Omwami Ta Emmanuel R. G. Mutabuzi  kilichotokea  siku ya Jana  Feb 9,2017,Mazishi yanatalajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSHAMBA KISHURO NA CAMERA YETU.

 Hapa ni stand ya magari makao makuu ya tarafa Tarafa ya Nshamba wilayani Muleba mkoani kageraTaswiraki Nshamba hii ni barabara ya kelekea kata ya Ngenge katika zahanati ya Kishuro iliyo chini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA MWAKA MPYA KWA MABALOZI (NEW...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mabalozi mbalimbali  wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini katika Sherehe za Mwaka mpya kwa Mabalozi(New Diplomatic Sherry...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AMWAPISHA KAMISHNA JENERALI WA UHAMIAJI, KAMISHNA MKUU WA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA MKOA WA DAR

Ukitaka kuwavusha watu ng’ambo ya pili, usianze kujadiliana nao njia ya kupita maana watakupoteza tu, na leo nina majina mengine 97- Makonda#Usilete mbwembwe kwenye utawala huu, usilete mbwembwe kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MAGUFULI NA MAMA MAJALIWA ZIARANI SINGIDA KUTEMBELEA VITUO VYA WAZEE...

 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakilakiwa kwa furaha walipowasili katika Makazi ya Wazee Wasiojiweza Sukamahela wilaya ya Manyoni mkoani Singida leo Februari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA BIASHARA MKOANI SIMIYU

Na Mroki Mroki, TSN Digital-Simiyu Ni ile siku iliyosubiriwa ya kuumulika kibiashara mkoa wa Simiyu ulioanzishwa mwaka 2012, ambao umejipambanua kuwa ‘mkoa  darasa’, mintarafu suala zima la ujenzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAGENI MBALIMBALI IKULU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke aliyefika Ikulu kwa ajili ya Mazungumzo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAUAGA MWILI WA OMWAMI EMMANUEL MUTABUZI

Siku ya Jana Jumapili Feb 12, Mamia ya wambolezaji waliweza kushiriki Ibada ya kuaga mwili wa Mpendwa wao Mzee wetu ,Omwami Emmanuel Butabuzi iliyofanyika nyumbani kwake kashai Bukoba,Ibada hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA KUFANYA MAZOEZI NA KUPIMA AFYA KUFANYIKA JUMAMOSI DAR

Msemaji wa chama cha Maafisa Mawasilino Serikalini (TAGCO) Bw. Abel Ngapemba  (wa pili kutoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la  kufanya mazoezi, kupima afya,kuchangia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MWISHO YA JULIA NYANGOMA KWENYE NYUMBA YAKE YAKE YA MILELE.

MAMA WA MAREHEMU NA MTOTO WAKE WAKIWA WENYEWE MAJONZI WAKATI WA KUSHUHUDIA SAFARI YA MWISHO YA MTOTO WAKE JULIA NYANGOMA.Mama wa marehemu Julia Nyangoma akiwa mbele ya nyumba ya milele ya mtoto wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANNA ABDALLAH APONGEZWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI YA TGGA

 Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto), akipongezwa na Kamishna  Mkuu wa TGGA,  Symphorosa Hangi  (kulia) na Mwenyekiti wa Taifa wa...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>