BURIANI KAMANDA STIVIN LEONARD MTENSA
Buriani Kamanda Mtensa! Mpendwa wa wana Bukoba hayati Leonard Mutensa alitutoka ghafla mwanzoni mwa wiki iliyopita na jana Jumamosi, tarehe 22 Novemba, 2014 wana Bukoba waliungana na familia ya...
View ArticleSEHEMU YA VIDEO:KAA LA MOTO IPTL
Pitia sehemu ya Video hapa chini Mtiti ndani ya Bunge.
View ArticleWAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELIGIJI WATEMBELEA MKOA WA PWANI...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mwantumu Mahiza (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubeligiji baada ya kutembelea fursa mbalimbali za biashara na uwekezaji zilizo...
View ArticleNAIBU WAZIRI KAIKA TELELE AFUNGA RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA UVUVI DUNIANI...
Maadhimisho ya siku ya Uvuvi duniani yalioadhimishwa kitaifa mkoani Kagera kuanzia Novemba 19, 2014 na kuambatana na maonyesho mbalimbali kutoka katika sekta ya uvuvi yalihitimishwa rasmi na Naibu...
View ArticleGO PINDA,NENDA TU MZEE WANGU,MPE FURSA JK AUNDE BARAZA JIPYA!
Na Nova Kambota, 0712- 544237Tofauti na wengi wanavyodhani, mzee wangu Pinda ulishaonyesha daliliza wazi ikiwa kweli unamudu vyema nafasi ya uwaziri mkuu. Kuna mengitu yaliyofanya baadhi yetu tutilie...
View ArticleMAGAZETINI LEO ALHAMISI NOV 27,2014
Saa za waliochota Sh bil 321 IPTL zahesabikaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kila aliyehusika katika kashfa ya uchotwaji wa Sh bilioni 321 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa...
View ArticleBUNGENI LEO:SOMA MAJIBU YA SERIKALI (WIZARA YA NISHATI NA MADINI) KUHUSU...
WAZIRI MUHONGO(UTETEZI WA SERIKALI)Anaomba radhi kama jana kulikuwa na usumbufu wa umeme na anawaagiza mameneja wote wa TANESCO wasikate umeme.Anatoa pongezi juu ya mjadala wa Escrow, mengi yamesemwa...
View ArticleSALUM MWALIMU AONGOZA OPERESHENI DELETE CCM, YAZAMA VIJIJINI RUKWA
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalimu akisaini daftari la wageni kwenye ofisi ya chama hicho, Kijiji cha Laela, Jimbo la Nkwera, mkoani Rukwa wakati...
View ArticleSHEKHE PONDA AACHIWA HURU
Askari wa Magereza akimfungua pingu Katibu wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Tanzania leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu., ambapo leo yeye na wenzie 49 wameachiwa huru ila watatumikia kifungo...
View ArticleMTAZAMO WA KISAIKOLOJIA KUHUSU MA HOUSE GIRL KUWANYANYASA WATOTO WETU
(HII NI KUFUATIA VIDEO YA HOUSE GIRL AKIMTESA MTOTO MDOGO INAYOTEMBEA KWENYE MITANDAO)Inabidi pia wazazi kufahamu kuwa wafanyakazi tunaowaajiri wanatoka katika backgrounds tofauti tofauti sana, na kwa...
View ArticleBUNGE KUENDELEA LEO SAA 1 JIONI NOV 29,2014!
Taarifa za hivi punde kutoka kwa Mh Zitto Kabwe ni kwambu wabunge watakutana saa moja jioni ya leo Jumamosi Nov 29,204 kuendelea na shughuli za Bunge baada ya pande 3 PAC ,CCM na UKAWA kuafikiana.
View ArticleJK AREJEA NCHINI LEO NA KULIHUTUBIA TAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Prof. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam hivi...
View ArticlePITIA MAAZIMIO MAPYA WALIYOKUBALIANA WABUNGE KUHUSU SAKATA LA FEDHA ZA...
Mwenyekiti wa PAC Zitto Kabwe amesoma maazimio mapya ya Bunge kwa mujibu wa kamati maalumu iliyoundwa leo na kuhusisha CCM, PAC na UKAWAAzimio: Mamlaka ya uteuzi iwawajibishe na inashauriwa kutengua...
View ArticleHARUSI YA DIDAS FRIDOLIN KAMBONA NA BI ELIZABETH GRASIANNA YAFANA!
indi na LindiSehemu ya matukio ya harusi yanayoashiria mwanzo wa kuanza kwa maisha shirika baina ya Bw. Didas Fridolin Kambona na Bi Elizabeth R. Grasian iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu...
View ArticleTANGAZO LA MSIBA WA KEPTENI-SP. KIDAI SENZALA KALUSE
Mrakibu wa Polisi-Captain Kidai Senzala Kaluse enzi za uhai wake. Familia ya Mzee Senzala Kaluse wa Kimara Mwisho Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao KIDAI SENZALA KALUSE...
View ArticleVODACOM INNOVATIVE DESINER OF THE YEAR
Please vote for Eve Collections Vodacom Innovative Designer of the year TEXT SFW ID04 TO 15678. Thank you.
View ArticleRichmond iliondoka na Lowassa Escrow itamuachaje Pinda?
Na Prudence KarugendoSAKATA la wizi wa pesa za Akaunti ya Tegeta Escrow limefumua mambo mbalimbali na kuyaweka wazi pasipo wahusika kujua kuwa wanachokifanya kinatoa picha tofauti na...
View ArticleNI DIAMOND NA WEMA NDANI YA TUZO ZA SWAHILI FASHION
Na Mwandishi WetuMWANAMUZIKI wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasib Abdul, Diamond Platinum anashindana na aliekuwa mpenzi wake Wema Sepetu katika kuwania Tuzo ya Mtu mwenye ushawishi mkubwa katika...
View ArticleVIVUTIO MBALIMBBALI NA CAMERA YETU DEC 1,2014
Fukwe nzuri za kuvutia maeneo ya Kahororo ndani ya Manispaa ya Bukoba,Bukoba imebarikiwa kuwa na fukwe za asili ambazo hazifanani na fukwe nyingine zozote duniani.Na fukwe hizi zikiendelezwa zinaweza...
View ArticleSALMIN NA DEKO LA KISIASA ZANZIBAR
NA PRUDENCE KARUGENDOINASHANGAZA kwamba mpaka sasa bado kuna watu wanaoendekeza deko la kisiasa katika bara la Afrika wakati huu wa karne ya kistaarabu! Deko linalotokana na mtu kuzitegemea nguvu za...
View Article