Mgeni Rasmi katika sherehe hizi za Mahafali ya Darasa la Saba, Mh. Fabian Massawe Mkuu wa Mkoa wa Kagera akilakiwa na Mkuu wa Shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School,Ndugu Self Mkude mara tu alipowasili shuleni hapo.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akiwapungia watu mkono mara baada ya kuwasili katika Mahafali ya Darasa la Saba shule ya Shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Mwalimu wa taaluma akitoa taarifa ya ufanisi wa kazi yake kwa Mh. Mgeni Rasmi Rasmi na wazazi waalikwa.
Karume shule ya Msingi imeonesha mafanikio makubwa ya Kitaaluma kutokana na ukweli kwamba wameweza kufanya vizuri sana katika mitihani mbalimbalimbali katika ngazi ya taifa, mkoa, Manispaa pamoja na ile ya ndani ya shule.
MAFANIKIO;Mitihani ya Taifa darasa la nne Karume shule ya Msingi imekuwa katika nafasi ya kwanza Manispaa kwa Miaka mitano mfululizo ambayo ni 2008,2009,210,2011 na 2012.
Kwa mwaka Jana 2013 Karume shule ya Msingi ilikuwa ya pili Manispaa Bukoba,ikiwa ni pamoja na kupata wanafunzi wa kuingia katika nafasi ya kumi bora wavulana na Wasichana.
Wakati tukiendelea na taarifa hii tunapokea Salaam za pongezi kwa Mr. Mkude ,kutoka kwa Mkurugenzi wa Chuo cha Ualimu ERA Bi Paschazia Barongo
Bi Paschazia anasema;'Super Mkude. you deserve to be proud of your hard work. be your future efforts be equally successful and rewarding
Wanafunzi wa Darasa la Saba wamekuwa wakifanya Vizuri shuleni hapa kila mwaka.
Sehemu ya Walimu wa Shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Mrs Mkude pichani kulia mlezi wa Shule hii
Sehemu ya Wazazi wa Wanafunzi pichani
Meneja wa shule ya Karume English Medium Primary School,pichani Bi Shamila Mkude
Mshereheshaji mahiri Mc Jerry pichani
Ulinzi dhabiti kuzunguka maeneo ya shule hii.
Karume Day and Boarding English Medium Primary School ,shule hii ilianzishwa Jan 2005 ikiwa na darasa la chekechea tu.
Walimu wa Kizungu na Wanafunzi wa shule ya wasichana ya Josiah Girls High School ya mjini hapa ni sehemu ya waalikwa katika mahafali hayo
Sehemu ya Wanafunzi wa shule ya wasichana ya Josiah Girls High School
Bi Jesca Mzazi wa mwanafunzi anayesoma katika shule hii ya wa Shule Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Mdau GSmart Mzazi wa Mwanafuzi shuleni hapo
Sehemu ya Wazazi wa Wanafunzi waliopo katika shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Wanafunzi wanao hitimu darasa la saba Shuleni hapa.
Wanafunzi wa darasa la tatu wakitoa burudani katika kuwaaga Wenzao wanao hitimu hii leo
Kwa mbali anaonekana Mwanadada Angel.
Taswira Viwanja vya Shule ya Karume English Medium Primary School
Ukodak ukichukua kasi...
Mama Mkude pichani kushoto ambaye ni Kaimu Mkurugenzi katika picha na Mwanae Bi Shamila Mkude ambaye ni Meneja wa shule ya Karume English Medium Primary School
Burudani ya Ngonjela.
Yupo pia Ndugu Bashir Kabyemela maarufu kwa jina la (Badae)
Bi Maua Ramadhan wa Daftari akishiriki katika mahafali haya kama mzazi
Wanachama na Wadau wa Bukoba Veterans ni Sehemu ya waalikwa.
Wakurugenzi katika picha na Wanafunzi wanao hitimu Darasa la Saba '2014' shuleni hapo.
Mkurugenzi Katika picha ya pamoja na wanafunzi wahitimu wa Kiume darasa la saba mwaka 2014
Wahitimu wa kike katika picha na Mkurugenzi wa Shule Ndugu Self Mkude
Mgeni Rasmi na Viongozi wa Bodi ya Shule wakiwa tayari kukabidhi vyeti kwa wahitimu.
Mgeni Rasmi akikabidhi vyeti vya Wahitimu.
Burudani za hapa na pale zikiendelea.
Katika kuonyesha vipaji, mmoja wa wahitimu akicheza na mpira mgongoni na kuvua tisheti pasipo mpira kudondoka.
Hakika kijana huyo alitoa mpya, hapo tayari kesha vua tisheti.!
Zoezi likiendelea hivyo hivyo kisha anaivaa nguo yake.
Kijana Rafik Haruna Goronga akifuatilia kile kinacho endelea.
Mpya nyingine namna mtu anavyoweza kujifanya mlemavu wa miguu .
Ule usemi wa wahenga kuwa ukistaajabu ya mussa utayaona ya filauni,Huyu ni omba omba anayeigiza kuwa mlemavu wa Miguu.
Wanafunzi wakiendelea kutoka burudani ya onyesho la sarakasi
Kikundi cha Wahitimu wakionyesha umahiri wao katika Sarakasi
Pichani anaonekana Mzee Katemana ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Shule ya Msingi Karume ,Mh.Mkuu wa Mkoa Fabian Massawe,walimu wa Shule na Mkurugenzi Super Self Mkude wakicheza ngoma kwa pamoja.
MC Jerry katika hili na lile.
MATUKIO ZAIDI YA PICHA 250 YANAPATIKA KATIKA UKURASA WETU WA FACEBOOK,JIUNGE NASI HIVI SASA KWA KUGONGA MANENO HAYA>> PICHA MBALIMBALI MAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI KARUME
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akiwapungia watu mkono mara baada ya kuwasili katika Mahafali ya Darasa la Saba shule ya Shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Mwalimu wa taaluma akitoa taarifa ya ufanisi wa kazi yake kwa Mh. Mgeni Rasmi Rasmi na wazazi waalikwa.
Karume shule ya Msingi imeonesha mafanikio makubwa ya Kitaaluma kutokana na ukweli kwamba wameweza kufanya vizuri sana katika mitihani mbalimbalimbali katika ngazi ya taifa, mkoa, Manispaa pamoja na ile ya ndani ya shule.
MAFANIKIO;Mitihani ya Taifa darasa la nne Karume shule ya Msingi imekuwa katika nafasi ya kwanza Manispaa kwa Miaka mitano mfululizo ambayo ni 2008,2009,210,2011 na 2012.
Kwa mwaka Jana 2013 Karume shule ya Msingi ilikuwa ya pili Manispaa Bukoba,ikiwa ni pamoja na kupata wanafunzi wa kuingia katika nafasi ya kumi bora wavulana na Wasichana.
Wakati tukiendelea na taarifa hii tunapokea Salaam za pongezi kwa Mr. Mkude ,kutoka kwa Mkurugenzi wa Chuo cha Ualimu ERA Bi Paschazia Barongo
Bi Paschazia anasema;'Super Mkude. you deserve to be proud of your hard work. be your future efforts be equally successful and rewarding
Wanafunzi wa Darasa la Saba wamekuwa wakifanya Vizuri shuleni hapa kila mwaka.
Sehemu ya Walimu wa Shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Mrs Mkude pichani kulia mlezi wa Shule hii
Sehemu ya Wazazi wa Wanafunzi pichani
Meneja wa shule ya Karume English Medium Primary School,pichani Bi Shamila Mkude
Mshereheshaji mahiri Mc Jerry pichani
Ulinzi dhabiti kuzunguka maeneo ya shule hii.
Karume Day and Boarding English Medium Primary School ,shule hii ilianzishwa Jan 2005 ikiwa na darasa la chekechea tu.
Walimu wa Kizungu na Wanafunzi wa shule ya wasichana ya Josiah Girls High School ya mjini hapa ni sehemu ya waalikwa katika mahafali hayo
Sehemu ya Wanafunzi wa shule ya wasichana ya Josiah Girls High School
Bi Jesca Mzazi wa mwanafunzi anayesoma katika shule hii ya wa Shule Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Mdau GSmart Mzazi wa Mwanafuzi shuleni hapo
Sehemu ya Wazazi wa Wanafunzi waliopo katika shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School
Wanafunzi wanao hitimu darasa la saba Shuleni hapa.
Wanafunzi wa darasa la tatu wakitoa burudani katika kuwaaga Wenzao wanao hitimu hii leo
Kwa mbali anaonekana Mwanadada Angel.
Taswira Viwanja vya Shule ya Karume English Medium Primary School
Ukodak ukichukua kasi...
Mama Mkude pichani kushoto ambaye ni Kaimu Mkurugenzi katika picha na Mwanae Bi Shamila Mkude ambaye ni Meneja wa shule ya Karume English Medium Primary School
Burudani ya Ngonjela.
Yupo pia Ndugu Bashir Kabyemela maarufu kwa jina la (Badae)
Bi Maua Ramadhan wa Daftari akishiriki katika mahafali haya kama mzazi
Wanachama na Wadau wa Bukoba Veterans ni Sehemu ya waalikwa.
Wakurugenzi katika picha na Wanafunzi wanao hitimu Darasa la Saba '2014' shuleni hapo.
Mkurugenzi Katika picha ya pamoja na wanafunzi wahitimu wa Kiume darasa la saba mwaka 2014
Wahitimu wa kike katika picha na Mkurugenzi wa Shule Ndugu Self Mkude
Mgeni Rasmi na Viongozi wa Bodi ya Shule wakiwa tayari kukabidhi vyeti kwa wahitimu.
Mgeni Rasmi akikabidhi vyeti vya Wahitimu.
Burudani za hapa na pale zikiendelea.
Katika kuonyesha vipaji, mmoja wa wahitimu akicheza na mpira mgongoni na kuvua tisheti pasipo mpira kudondoka.
Hakika kijana huyo alitoa mpya, hapo tayari kesha vua tisheti.!
Zoezi likiendelea hivyo hivyo kisha anaivaa nguo yake.
Kijana Rafik Haruna Goronga akifuatilia kile kinacho endelea.
Mpya nyingine namna mtu anavyoweza kujifanya mlemavu wa miguu .
Ule usemi wa wahenga kuwa ukistaajabu ya mussa utayaona ya filauni,Huyu ni omba omba anayeigiza kuwa mlemavu wa Miguu.
Wanafunzi wakiendelea kutoka burudani ya onyesho la sarakasi
Kikundi cha Wahitimu wakionyesha umahiri wao katika Sarakasi
Pichani anaonekana Mzee Katemana ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Shule ya Msingi Karume ,Mh.Mkuu wa Mkoa Fabian Massawe,walimu wa Shule na Mkurugenzi Super Self Mkude wakicheza ngoma kwa pamoja.
MC Jerry katika hili na lile.
MATUKIO ZAIDI YA PICHA 250 YANAPATIKA KATIKA UKURASA WETU WA FACEBOOK,JIUNGE NASI HIVI SASA KWA KUGONGA MANENO HAYA>> PICHA MBALIMBALI MAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI KARUME