MAHAFALI YA 4 YA DARASA LA SABA SHULE YA KARUME DAY AND BOARDING ENGLISH...
Mgeni Rasmi katika sherehe hizi za Mahafali ya Darasa la Saba, Mh. Fabian Massawe Mkuu wa Mkoa wa Kagera akilakiwa na Mkuu wa Shule ya Karume Day and Boarding English Medium Primary School,Ndugu Self...
View ArticleUSAHILI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 MKOA WA DAR ES SALAAM KUFANYIKA GOLDEN...
USAHILI MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 MKOA WA DAR ES SALAAM kufanyika ijumaa hii tarehe 19 katika hoteli ya Golden Tulip kuanzia sa tatu asubuhi hadi sa kumi jioni.
View ArticleTAARIFA YA MWANAFUNZI WA IHUNGO ALIYEJINYONGA
Mwanafunzi wa kidato cha TANO katika shule ya sekondari ya IHUNGO, EZERA WABAMBA aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya mkoa wa KAGERA, amejiua kwa kujinyonga na shuka kwa madai ya kukosa huduma sahihi...
View ArticleKIJIJINI BUGANDIKA TASWIRA MAZISHI YA BI LEOKADIA NYAMWIZA BUJENDE SEP 17,2014
Kijijini Bugandika Missenyi,Padre akiongoza ibada ya mazishi ya Marehemu Marehemu Bi Leokadia Nyamwiza Bujende iliyofanyika Nyumbani kwake Kijijini Bugandika Wilaya ya MissenyiWaumini wa madhehebu...
View ArticleNEW ANGELINA MULTIPURPOSE HALL IN BUKOBA DUE FOR OPENING IN DECEMBER, 2014.
LOCATED IN RWAMISHENYE/KITEYAGWA AREA, ALONG THE ROAD TO AMANI ACADEMIC SCHOOL
View ArticleSAFU MPYA UONGOZI CHADEMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepata safu mpya ya viongozi wake kuanzia ngazi za chini hadi Taifa.Safu hiyo imekalilishwa na uchaguzi mkuu uliofanyika jijini Dar es Salaam zaidi ya wiki...
View ArticleCAMERA YETU MTAANI
Uwanja wa Ndege Mjini Bukoba ni majira ya Saa 3:45 Asubuhi Ndege ya Shirika la ndege la Auric Air inawasili ikitokea Jijini Mwanza. Anaonekana Uwanjani hapa Ndugu AbdulRahym Kabyemela akizungumza...
View ArticleSAKATA LA MTOTO 'HAPPINESS' ANAYEPAA KIMIUJIZA
Stori: Richard BukosMTOTO Happiness (10) (pichani) ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita alizua kizazaa mjini Zanzibar baada ya kuonekana akizungumza na viumbe wa ajabu na wanyama, ametua jijini Dar...
View ArticleNI MARA CHACHE SANA KIPATO CHA MTU KUZIDI UELEWA WA MTU HUYO
Wakati mmoja tajiri alisema: kama fedha zote duniani zikikusanywa na kugawiwa sawa kwa watu wote, baada ya kipindi kifupi, fedha hizi zitakuwa zimerudi mifukoni mwa matajiri walionazo leo!!! Ni vigumu...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WATAALAM WA UTAFITI WA HALI YA...
Naibu Waziri wa Fedha –Sera, Mhe. Mwigulu Nchemba akifungua mafunzo ya wiki tatu ya wakufunzi, wasimamizi na wadadisi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar watakaoendesha utafiti wa kufuatilia hali ya...
View ArticleTUMIA BIDHAA ZA FOREVER LIVING KWA AFYA NA MUONEKANO MZURI WA NGOZI YAKO
BODY TONING KIT ni bidhaa inayosaidia mzunguko wa damu uendevizuri kwenye ngozi na hivyo kuondoa mafuta ya cellulite inayokaa chini ya ngozi kwenye mapaja, mkono na tumbo. Hivyo husaidia kupunguza...
View ArticleMAMBO10 YALIYOTIKISA BUNGE LA KATIBA
Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha, ni usemi wa zamani wa wahenga wenye maana ya kila jambo lenye mwanzo, lazima litakuwa na mwisho.Ndivyo ilivyo kwa Bunge la Katiba ambalo safari yake ilianzia Februari...
View ArticleWATU 115 WALIFARIKI KANISANI NIGERIA
Serikali ya Afrika Kusini inasema kuwa watu miamoja na kumi na tano wengi wao wakiwa raia wa Afrika Kusini, walifariki baada ya kanisa kuporomoka nchini Nigeria.Idadi kamili ya raia wa Afrika Kusini...
View ArticleMCHEZAJI WA SIMBA AFARIKI HUKO UGANDA KUFUATIA BAO LA FRANK LAMPARD
Fahad Musana, ambaye ni shabiki wa kutupwa wa klabu ya soka ya Chelsea, amefariki dunia baada ya mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Frank lampard, kuifungia Manchester City bao la kusawazisha, katika...
View ArticleMASHABIKI 'WAMTUSI' BALOTELLI
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi wa Liverpool kutoka Italia Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa...
View ArticleSALAMU YA BEN MULOKOZI 'HATA KAMA HAJAKWAMBIA'
Hata kama hajakwambia, haimaanishi hakimuumi, yamkini ameamua kunyamaza kimya maana anajua fika kwamba akiamua kumwambia utabisha, utapinga, utakataa, utajitetea, utaruka kabisa, unaweza hata kumpiga...
View ArticleMAREKANI YAENDELEZA MASHAMBULIZI IS
Marekani imeanzisha mfululizo wa mashambulizi mapya ya anga huko Syria kwa ushirikiano na nchi tano za Kiaraab zinazounga mkono mapambano dhidi kundi la IS. Kamanda wa Marekani anasema tayari...
View ArticleMSANII T.I KUTUA DAR SERENGETI FIESTA 2014
Msanii T.I kutoka Marekani ametangazwa leo kuwa ndie msanii atakae burudisha kwenye tamasha la serengeti fiesta itakayofanyika Leaders Club Oct 18 Jijini Dar.
View ArticleNJIA KUU 6 ZA KUKUTOA KWENYE UMASIKINI
Kila wakati ninapopata nafasi ya kuzungumza na watu juu ya maisha nimekuwa nikilisema hili mara kwa mara kuwa maisha tunayoishi yanaongozwa na kanuni. Kanuni hizi ndizo zinazoleta matokeo ya aina...
View ArticleDOWNLOAD VIDEO/AUDIO:BK SANDE – OMWANA
Fanya kudownloadhapa chini ngoma ya 'OMWANA' kutoka kwa msanii BK Sande, Msanii anayefanya vyema katika tasnia hii kwa kanda ya ziwa. Je ukikutana na Msanii BK Sande utamshauri nini au utamwambia...
View Article