Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAGU AHUTUBIA WAFANYABIASHARA WA UBELGIJI NA LUXEMBOURG

Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Michael Nagu (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kaamala (wa kwanza kulia) na Bwana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 CALL FOR ENTRIES

Je wewe ni mrembo, mrefu mwembaba unayejiamini? Usisite kuchukua forms za kujiunga na Miss Universe Tanzania 2014 katika mikoa ifuatayo MWANZA (LULU SANGA-0715471412); IRINGA na MBEYA (VERONICA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAGU ABADILISHANA MAWAZO NA WAMILIKI WA VIWANDA WA WETTEREN UBELGIJI

Waziri wa Uwekezaji na Uwezashaji Mhe. Dr Mary Michael Nagu akibaldilishana mawazo na wamiliki wa Viwanda wa Wetteren Ubelgiji baada ya kumaliza ziara ya kutembelea baadhi ya Viwanda. Jana Waziri Nagu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAGU APOKEA ZAWADI

Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Michael Nagu akipokea zawadi kutoka kwa Bwana Peter Doclo Meneja wa Mauzo na Masoko wa kiwanda cha Vandamme Marshamallows cha Wetteren Ubelgiji baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAGU ATEMBELEA KIWANDA KINACHOTOA AJIRA KWA WALEMAVU KUWAWEZESHA KIUCHUMI

Aliyeshika karatasi ni Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Mhe. Dr. Mary Michael Nagu akibainisha fursa mbalimbali  za Uwekezaji zilizo Tanzania. Akihutubia Wafanyabiashara hao  amewashauri kuchangamkia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAGU ATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MITAMBO YA VIWANDA VIDOGO VIDOGO

Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Michael Nagu akimsikiliza Meneja wa kiwanda cha kutengeza mitambo  ya kutumika kwenye viwanda  vidogo vya bia, maziwa ya kawaida na maziwa ya soya. Mitambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA EMMANUEL OKWI

UNAWEZA kurudia kusema kweli hii sasa ni vita, kwani uongozi wa klabu ya Yanga, umelihamishia suala la kesi ya Emmanuel Okwi kwenye kamati ya sheria ya klabu hiyo ambayo ina watu 16. Pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"PICHA ZA LEO KUTOKA NYUMBANI STUDIO"

NYUMBANI STUDIO ‪#‎Countdownphoto‬Photography by Sirloom GaliatanoInsta@SirloomTupo Mjini Bukoba mkabala na lango la Ndizi la Soko kuuContact 0768 397241 or 0784 505045Client:Ernest NyamboNYUMBANI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAKATO WA KATIBA KUSITISHWA TANZANIA

Kumekuwa na maoni tofauti kufuatia hatua ya kusitisha mchakato wa kura ya maoni ya Katiba Mpya nchini Tanzania.Katika kikao cha Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete na Viongozi wa vyama vya siasa nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMIA BIDHAA ZA FOREVER LIVING KWA AFYA NA MUONEKANO WA NGOZI YAKO

Hiki  i kinywaji kisichokua na kilevi, husaidia kuondoa uchovu na kuupa mwili nguvu, pia husaidia kuongeza uwezo wa kuifadhi kumbukumbu na kuondoa maumivu ya kichwaBukoba kwa maelezo zaidi call/whatsup...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50

 Msondo Ngoma Band kutimiza miaka 50 mwezi Oktoba 2014, Ras Makunja ameitaja Msondo ndio bendi pekee kongwe Afrika !Bendi maaru ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHAMIAJI:TULIMKAMATA NDAMBILE KIMAKOSA

IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam imesema mmiliki wa Kampuni ya Ulinzi ya Advance Security, Juma Ndambile alikamatwa kimakosa kwa tuhuma za kuwaingiza nchini na kuwahifadhi makomandoo wa kijeshi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAWAKA YAKABILIWANA CHANGAMOTO LUKUKI

SHIRIKA la Saidia Wazee Karagwe (SAWAKA), Mkoa wa Kagera, linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma za afya, ushirikina, ukosefu wa vipato na kukosekana kwa mfuko wa jamii ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI...

Rais wa Soko la Almasi la Antiwerpen Mhe. Stephane Fischler (katikati) akizungumza na Mabalozi wa Afrika wanaokaa Ubelgiji wa nchi zinazozalisha almasi. Soko la Almasi la Antiwerpen kila mwaka linauza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAPELI WA KANISA LA KIMAREKANI

Na Prudence KarugendoKUNA  usemi wa kwamba wageni walikuja barani kwetu, Afrika,  kwa kutumia ushawishi wa neno la Mungu na kuwaambia wenyeji “fumbeni macho tusali”,  wenyeji walipofumbua macho kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND KUSHEHEREKEA BIRTHDAY YA MR. JACK’S HUKU WA...

Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC AMPONGEZA MZEE ALHAJI ABBAKARI GALIATANO KWA KUTIMIZA UMRI WA MIAKA 85

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh.Mh.Fabian Massaweameshiriki katika ya Mzee wetu Haji Abbakari Galiatano,iliyo andaliwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema kwa kumwezesha kutimiza miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE ABBAKAR GALIATANO ATIMIZA MIAKA 85

 'Mungu Atosha' ndilo jina la kwanza kabisa alilopewa na Wazazi wake pale tu alipozaliwa  mnano Sep 14,1929 akiwa mtoto wa Kwanza kwa Baba yake, Marehemu Rajanu Galiatano na Mama yake marehemu Halima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUKRANI YA MSIBA WA BI STEPHANIA J.KAGANDA

Bw. Deusdedit B. Kaganda kwa niaba ya familia ya Mzee Boniface Kaganda wa Dar es Salaam, anapenda kutoa shukrani kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshiriki katika kipindi chote cha kumuuguza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHECK OUT YALIYOJIRI HARUSI YA RUGA BARUTI & IRENE KAYUGA

Matukio yaliyojili katika harusi ya Mr Ruga Baruti na Bi Irene Kayunga iliyofanyika siku ya Jumamosi Sep 13,2014  Jijini Dar es Salaam. Katika kumthamini mmewe Bi Irene anaonyesha vitendo vya kimapenzi...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>