Msanii mkubwa wa Africa Joseph Mayanja a.k.a Dr Jose Chameleone kutoka Uganda akizua akiwapagawisha mashabiki waliojitokeza ndani ya Kiota cha maraha Linas Night Club Bukoba
Msanii Jose Chameleone akiwaimbisha mashabiki ndani ya Ukumbi wa Linas Nght Club
Msanii Jose Chameleone akiimba sambamba na Mashabiki wake.
Show ya Dakika 30 tu kutoka kwa Jose Chameleone ikitosha kuwapagawisha Mashabiki.
Mahafudh Lushaka pichani Kushoto na Omg Mohamed Lushaka wakifuatilia show
Mr & Mrs Willy Kiroyera Rutta
Maukodak yakichukua kasi kwa Msanii Jose Chameleone ambaye anatumia mara nyingi lugha ya kiganda na kiswahili kwenye kuimba nyimbo zake
Mashabiki Ukumbini
Mc Amani Kabuga akiwajibika
Kushoto ni Mama Deka na Bi Betty Nangai
Shangwe za show ya Msanii DR. JOSE Chameleone zikiendelea..
Bibie Sharifa Karwani katika pozi
Mashabiki wakiendelea kupata raha ndani ya Linas
Katikati ni Mzee Kelvin , Mkurugenzi Space Beach Motel
Mdau Patty
Msanii Jose Chameleone akiendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa muziki
Tubonge ikiendelea kuchukua kasi
Dj Max wa Linas Club pichani kushoto akiweka usawa na Mmoja ya Crew iliyo ongozana na Msanii
Matukio ya usiku wa Tubonge na Jose Chameleone
Shangwe za show ya Msanii DR. JOSE Chameleone ndani ya Linas Night Club Bukoba
Sehemu ya mashabiki.
Shangwe mwanzo mwisho...
Ngoma ya 'Bayuda' ikimfanya 'Uncle Tommy'kuweweseka.
Jose Chameleone kutoka nchini Uganda akiwa na Shabiki wake.
msanii Dr. Jose Chameleone kutoka nchini Uganda akiwa na shabiki wake wakishow love
Rehema Ridhione na Mussa (Wu Tang)
Taswira mbalimbali ukumbini
Mr & Mrs Mahafudh Lushaka
Mr & Mrs Mohamed Kikwemu pichani
Katika kushow love na mmoja wa mashabiki wake
Hakika watu kibao wamejitokeza kushuhudia show hiyo.
DR. JOSE Chameleone akiendelea kuwajibika ndani ya Linas Night Club Bukoba
Msanii Dr. Jose Chameleone kutoka nchini Uganda akiwa na mashabiki katika kushow love
DJ 4 life ni Maneno ya Mkurugenzi wa 24 dj 's katika picha na Dj Sley .
Bibie Sharifa Karwani akifanya mambo yake wakati show ikiendelea kwa kumtunza fedha kibao ambazo hakika zilimpagawisha msani na kumshangaza Msanii
Mara baada ya kufanya yake Bibie Sharifa Karwani ndipo Msanii Jose Chameleone akamuomba wapate picha ya pamoja
Pichani anaonekana Masikini halali mchana,
Mmoja wa wasanii chipukizi waliopo kwenye lebo Leone Island chini ya Jose Chameleone
Mr Linus na Mdau Mwinyi Six pichani
Mdau Kijigo na timu yake wakishow love mbele ya Camera yetu
Heka heka za hapa na pale na Shangwe za MsaniiJose Chameleone
Pichani kushoto ni Mdau Gerald Ishebabi
Mwanadada Mayaulla kama kawaida jukwaani
Hivi ndivyo Show ya msanii nguli wa muziki kutoka nchini Uganda, Dr.Jose Chameleone ilivyo acha historia usiku wa kuamkia leo.
KWA PICHA ZAID YA 100 INGIA HAPA> Bukobawadau Entertainment Media
Msanii Jose Chameleone akiwaimbisha mashabiki ndani ya Ukumbi wa Linas Nght Club
Msanii Jose Chameleone akiimba sambamba na Mashabiki wake.
Show ya Dakika 30 tu kutoka kwa Jose Chameleone ikitosha kuwapagawisha Mashabiki.
Mahafudh Lushaka pichani Kushoto na Omg Mohamed Lushaka wakifuatilia show
Mr & Mrs Willy Kiroyera Rutta
Maukodak yakichukua kasi kwa Msanii Jose Chameleone ambaye anatumia mara nyingi lugha ya kiganda na kiswahili kwenye kuimba nyimbo zake
Mashabiki Ukumbini
Mc Amani Kabuga akiwajibika
Kushoto ni Mama Deka na Bi Betty Nangai
Shangwe za show ya Msanii DR. JOSE Chameleone zikiendelea..
Bibie Sharifa Karwani katika pozi
Mashabiki wakiendelea kupata raha ndani ya Linas
Katikati ni Mzee Kelvin , Mkurugenzi Space Beach Motel
Mdau Patty
Msanii Jose Chameleone akiendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa muziki
Tubonge ikiendelea kuchukua kasi
Dj Max wa Linas Club pichani kushoto akiweka usawa na Mmoja ya Crew iliyo ongozana na Msanii
Matukio ya usiku wa Tubonge na Jose Chameleone
Shangwe za show ya Msanii DR. JOSE Chameleone ndani ya Linas Night Club Bukoba
Sehemu ya mashabiki.
Shangwe mwanzo mwisho...
Ngoma ya 'Bayuda' ikimfanya 'Uncle Tommy'kuweweseka.
Jose Chameleone kutoka nchini Uganda akiwa na Shabiki wake.
msanii Dr. Jose Chameleone kutoka nchini Uganda akiwa na shabiki wake wakishow love
Rehema Ridhione na Mussa (Wu Tang)
Taswira mbalimbali ukumbini
Mr & Mrs Mahafudh Lushaka
Mr & Mrs Mohamed Kikwemu pichani
Katika kushow love na mmoja wa mashabiki wake
Hakika watu kibao wamejitokeza kushuhudia show hiyo.
DR. JOSE Chameleone akiendelea kuwajibika ndani ya Linas Night Club Bukoba
Msanii Dr. Jose Chameleone kutoka nchini Uganda akiwa na mashabiki katika kushow love
DJ 4 life ni Maneno ya Mkurugenzi wa 24 dj 's katika picha na Dj Sley .
Bibie Sharifa Karwani akifanya mambo yake wakati show ikiendelea kwa kumtunza fedha kibao ambazo hakika zilimpagawisha msani na kumshangaza Msanii
Mara baada ya kufanya yake Bibie Sharifa Karwani ndipo Msanii Jose Chameleone akamuomba wapate picha ya pamoja
Pichani anaonekana Masikini halali mchana,
Mmoja wa wasanii chipukizi waliopo kwenye lebo Leone Island chini ya Jose Chameleone
Mr Linus na Mdau Mwinyi Six pichani
Mdau Kijigo na timu yake wakishow love mbele ya Camera yetu
Heka heka za hapa na pale na Shangwe za MsaniiJose Chameleone
Pichani kushoto ni Mdau Gerald Ishebabi
Mwanadada Mayaulla kama kawaida jukwaani
Hivi ndivyo Show ya msanii nguli wa muziki kutoka nchini Uganda, Dr.Jose Chameleone ilivyo acha historia usiku wa kuamkia leo.
KWA PICHA ZAID YA 100 INGIA HAPA> Bukobawadau Entertainment Media