Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mwantumu Mahiza (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubeligiji baada ya kutembelea fursa mbalimbali za biashara na uwekezaji zilizo Mkoa wa Pwani. Balozi wa Tanzania Ubeligiji anaongoza ujumbe huo.