Katikati ya mji mdogo wa Kamachumu makutano ya barabara iendayo Rutabo Shule ya Sekondari,kulia ni kuelekea hospital ya Ndolage
Mdau Shaban Kabalabala maarufu kwa jina la Mjeshi.
Wana wa Kamachumu wakicheck na Camera yetu.
Bango la shule ya Sekondari ya Rutabo.
Mmoja wa waendesha pikipiki maarufu kama Assecdo akicheck na Camera yetu
Kamachumu na Camera yetu leo Dec 17,2013.
Maboresho ya barabara yakiendelea.
Irogelo Magenyi Kamachumu
Kikwetu kwetu hizi nyasi ni sawa na Kapeti au zulia kwa matumizi
Bango la shule ya Sekondai Kamachumu.
Barabara kuu kuelekea Rubya , Lutenge.Kabale na vijiji vya jirani
Gari la kusafirisha abiria kati ya Nshamba, Kalele, Mlela, Kishanda, Buganguzi, Lutenge Kamachumu, Muhutwe,Kagondo,Kemondo hadi Bukoba Mjini likiendelea kutoa huduma barabarani.
Soko la Milama Kamachumu mkungu wa ndizi pichani unauzwa Tsh 15,000 kwa siku ya leo
Kiza kikiwa kimeanza kutanda, ni taswira mbalimbali ya mji mdogo wa Kamachumu hii leo.
Mdau Shaban Kabalabala maarufu kwa jina la Mjeshi.
Wana wa Kamachumu wakicheck na Camera yetu.
Bango la shule ya Sekondari ya Rutabo.
Mmoja wa waendesha pikipiki maarufu kama Assecdo akicheck na Camera yetu
Kamachumu na Camera yetu leo Dec 17,2013.
Maboresho ya barabara yakiendelea.
Irogelo Magenyi Kamachumu
Kikwetu kwetu hizi nyasi ni sawa na Kapeti au zulia kwa matumizi
Bango la shule ya Sekondai Kamachumu.
Barabara kuu kuelekea Rubya , Lutenge.Kabale na vijiji vya jirani
Gari la kusafirisha abiria kati ya Nshamba, Kalele, Mlela, Kishanda, Buganguzi, Lutenge Kamachumu, Muhutwe,Kagondo,Kemondo hadi Bukoba Mjini likiendelea kutoa huduma barabarani.
Soko la Milama Kamachumu mkungu wa ndizi pichani unauzwa Tsh 15,000 kwa siku ya leo
Kiza kikiwa kimeanza kutanda, ni taswira mbalimbali ya mji mdogo wa Kamachumu hii leo.