Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONYESHO KALI NDANI YA CLUB LINAS BUKOBA SIKU YA X -MASS 25.12.2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA ALBUM ZAWADI YA CHRISTMAS KUTOKA KWA KAPOTIVE SINGERS- BUKOBA...

KAPOTIVE SINGERS BUKOBA WANAPENDA KUKUKARIBISHA WEWE MDAU KATIKA UZINDUZI WA ALBUM YAO MPYA YA ZAWADI YA CHRISTMAS, WAKISINDIKIZWA NA UPENDO NKONE MKALI KATIKA NYIMBO ZA INJILI,HII ITAKUA SIKU YA TAR...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBO BUKOBA YABORESHA SHULE ZA MSINGI WILAYANI NGARA

KAGERA Shirika lisilo la  jambo Bukoba lililoko mkoani Kagera  limetoa msaada wa kujenga baadhi ya miundombinu ya shule tano za msingi  kwenye wilaya kadhaa mkoani humo  kwa lengo la kukuza  vipaji na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NUKUU YETU LEO DEC 17,2013

 Wakati mke wa rais Obama akiwa chuo, kulikuwa na wanawake wachache sana wa kiafrika katika chuo hicho..Hivyo akapewa mwanachumba mwenzake ambaye ni mzungu, na mama wa yule binti wa kizungu alijisikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJIJINI KAMACHUMU NA CAMERA YETU LEO DEC 17,2013

Katikati ya mji mdogo wa Kamachumu makutano ya barabara iendayo Rutabo Shule ya Sekondari,kulia ni kuelekea hospital ya Ndolage Mdau Shaban Kabalabala maarufu kwa jina la Mjeshi. Wana wa Kamachumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YETU YA LEO DEC 17,2013

Mdau msomaji kumbuka tunapokwenda  inategemea sana na tunakotoka maana hapa tulipo ni matokeo ya kule tulikotoka sisi kama wadau kwa pamoja.!!!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA KIFO CHA MAREHEMU MAMA WINIFRIDA KALEMERA

FAMILIA YA MZEE AUGUSTINE KALEMERA NA KAMPUNI YA KIROYERA TOURS WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MAMA WINIFRIDA KALEMERA MAMA MZAZI WA MAMA MARY KALIKAWE AMBAYE NI MMOJA WA WAKURUGENZI WA KIROYERA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA CCM WAWAKALIA KOONI MAWAZIRI MIZIGO

Dodoma/Dar es Salaam. Wabunge 160 wa CCM wamejiorodhesha kuomba kuitishwa kwa kikao cha Kamati ya Wabunge hao kwa lengo la kuwajadili mawaziri wanaotajwa kuwa mizigo.Pia wabunge hao wanataka Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA WAZIRI MKUU YAZINDUA MPANGO WA KUJIANDAA KUKABILI MAAFA MKOANI...

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga akisisitiza juu ya utekelezaji wa Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga wakati alikiuzindua mpango huo leo Mjini Shinyanga kushoto ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABIRIA WANUSURIKA KWA AJALII YA GARI WILAYANI NGARA

 Zaidi ya abiria 60 wamenusurika kupoteza maisha yao baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es salaam kueleke Bujumbura nchini Burundi kuwaka moto wilayani Ngara Mkoani Kagera.Tukio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATIMIZA MIAKA 50 KATIKA UPADRE

NGARA; Waumini wa kanisa katoliki jimbo la Rulenge Ngara mkoani kagera leo wameungana na Padre Lazaro Kadende wa jimbo hilo kuadhimisha miaka 50 ya upadre katika sherehe iliyofanyika katika parokia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU MTAANI

 Mzee Bayona katika hili na lile.Anaitwa mzee Kazinja pichani. Steve's Choice wao ni wauzaji wa nguo aina mbalimbali wanapatikana mkabala na Bakhta. Mdau Steven mkurugenzi wa Steve's Choice akicheck na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI NDIZO PICHA JINSI NDEGE YA ETHIOPIA AIRLINE ILIVYOCHIMBA UWANJA WA NDEGE...

 Watu 200 waliokuwa wakisafiri kwa ndege ya Ethiopian Airline wanusurika kufa baada ya ndege kupitiliza hadi nje ya uwanja mdogo wa ndege wa Arusha baada ya kutua kwa dharura.Ndege aina ya Boeing 767...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU AMLIPUA MBOWE BUNGENI NI KUHUSU KUTUMIA VIBAYA MADARAKA YAKE!!

Mh. Mwigulu nchemba madelu, mbunge wa iramba magharibi katika mwongozo alioomba kwa spika wa bunge asubuhi hii amemlipua kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni FREEMAN MBOWE kwamba ametumia madaraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS ALERT: MWINGINE AUA KWA RISASI NAYE KUUAWA NA WANANCHI KWA UGOMVI WA...

Migogoro ya kugombea ardhi imeendelea kusababisha vifo baada kikomgwe mweye umri wa miaka 87 mkazi wa kijiji cha Kahama wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga kumiuua kwa kumpiga na risasi ya kichwa mkazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO DEC 19,2013

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNASIKITIKA KUPOKEA TAARIFA ZA KIFO CHA NDUGU RAKESH KILICHOTOKEA JIONI YA...

Bukobawadau Blog tunatoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki wa familia ya Marehemu Rakesh,tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema aipokee na kuilaza Roho yakeMahala Pema peponi Amen!!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEHEMU YA 2: UONGOZI WA KCU (1990)LTD UNANIOFIA KWA SABABU YA MADHAMBI YAKE

Na Prudence Karugendo HII ni sehemu ya pili na ya mwisho ya mahojiano kati ya mwakilishi wa chama cha msingi cha Kamachumu, Muleba, Kagera, Archard Felician Muhandiki, na mwandishi wa makala hii kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR LIVE KURINDIMA KWA BURUDANI MSIMU HUU WA SIKUKUU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI NGARA WAITISHIA HALMASHAURI YAO KWA KUGAWA ARDHI BILA KUWASHIRIKISHA

 Pichani ni mahudhurio ya wananchi katika mkutano wa hadharaNa Shaaban ndyamukama December 18,2013NGARA: SERIKALI ya kijiji cha Kasulo wilayani Ngara mkoani Kagera  imemkataa mwekezaji aliyepewa ardhi...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>