Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu

Dar es Saalam. Rais Jakaya Kikwete ametia saini hati ya dharura (Certificate of Urgency) ili Muswada wa Fedha wa Mwaka 2013 ufanyiwe marekebisho ya kuondoa tozo ya kodi kwa kadi za simu.Bunge la Bajeti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MAMLAKA A USAFIRI WA ANGA TANZANIA KUHUSU TUKIO LA NDEGE YA ETHIOPIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS UPDATES;WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. KAGASHEKI ATANGAZA KUJIUZURU...

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamisi  Kagasheki amejiuzulu wadhifa wake baada ya mjadala mkali na wakina  Bungeni mjini Dodoma leo jioni.Hii inatokana na Operesheni Tokomeza iliyolenga kuondoa...

View Article

WATU WASIOJULIKANA WAMEWAUA WATOTO WAWILI

Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA MH KAGASHEKI AKITANGAZA KUJIUZULU

SIKILIZA AUDIO HAPA CHINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI WA BENDI YA THE NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI AKUTANA NA ANKAL...

 Ankal akimkabidhi zawadi ya Krismasi  na kadi Kamanda wa FFU Ughaibuni The Ngoma Africa Band ya Ujeruman, Ras Ephraim Makunja, a.k.a Field Marshal wa jamii ya Annunaki walipokutana leo katikati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAFUKUZA KAZI MAWAZIRI WANNE,SIKILIZA AUDIO YA WAZIRI...

SIKILIZA AUDIO YA WAZILI MKUU AKITOA TAMKO BUNGENI HAPO JUU WAZIRI Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Hamis Kagasheki ametangaza Bungeni kuwa amejiuzulu kutoka katika wadhifa wake huo kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO USIKU WA BEN MULOKOZI NDANI YA LINAS NIGHT CLUB DEC 20,2013 NA UJIO...

Pichani kushoto ni Mdau Tumusime Bocko  mara baada ya kukutana na Mkurugenzi wa Linas Night Club , Ndg Mtensa pichani kulia, Mdau Tumusime yeye anaishi huko Chicago, Illinois ila kwa sasa yupo nyumbani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO JUMAMOSI DEC 21,2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ICC yaahirisha kesi ya Rais Kenyatta

Kesi inayomkabili Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta huenda ikachelewa kuanza baada ya mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa jinai (ICC) Kukiri kuwa hana ushahidi wa kutosha wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC KAGERA AHAMASISHA AMANI NA MSHIKAMANO ARFIKA MASHARIKI

Na Shaaban Ndyamukama December 21, 2013NGARAMkuu wa mkoa wa Kagera kanali mstaafu Fabian Masawe amewataka wananchi mkoani humo kuimarisha  amani na mshikamano na nchi jirani katika kukuza jumuia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MAZISHI YA MAREHEMU RAKESH YALIOFANYIKA JIONI YA LEO DEC 21,2013

 Mwili wa marehemu Rakesh ikiwa ndio unafikisha makaburi.Ibada ya mazishi ikiendelea.Kiongozi wa kidini akiongoza shughuli hii ya mazishi ya marehemu Rakesh. Umati wa watu uliofika kushiriki mazishi ya...

View Article

UZINDUZI MIRADI YA DASIP KIKUKWE

Na  Mutayoba Arbogast,MissenyiSerikali za vijiji zimetakiwa kutumia sheria ndogo ndogo kuhakikisha miradi mbalimbali ya kilimo na ufugaji inayoendeshwa na halmashauri za wilaya chini ya mpango wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA BI ALISTIDIA KABANZA RUPIA MTOTO WA OMULANGIRA JUSTINE RWEZAURA...

Dec 21,2013  Camera yetu ikiangaza katika shughuli ya Pre-Wedding Party ya  mwanadada Alistidia Kabanza Rupia  mtoto wa kuzaliwakatika familia ya kichief ya Omulangira Justine Rwezara Rupia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHECK MATUKIO KATIKA MAPOKEZI NA MKUTANO WA ZITTO KABWE WILAYANI KASULU HII...

  Taswira mapokezi mazito ya Mbunge wa Kigoma kaskazini Mh Zitto Kabwe mapema ya leo Dec 22,2013 yakiendelea kuelekea Viwanja Kiganamo mjini Kasulu.Vijana na mabango yao mkononi.Kama inavyo onekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU ALEX KAJUMULO WA BONGO LEGEND KATIKA SHATI LA MWALIMU NYERERE LITAKALO...

I manufactured only a limited number of shirts. These shirts are still worn today by some of the most powerful people in Tanzania, including: President Kikwete and fmr. President Mwinyi. I also send...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“MADIBA”KATUACHIA FUNDISHO,TUTALITEKELEZA?

Na Prudence KarugendoSIDHANI kama kuna mtu aliyepata kufa kwa furaha kama alivyokufa mzee wetu, Nelson Rolihlahla Dalibunga Mandela “Madiba”. Hayo nayasemea kwa watu walioonja utamu wa kuongoza au...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA UZINDUZI WA ALBUM YA ZAWADI YA KRISSMAS KUTOKA KWA KAPOTIVE STAR...

 Muonekano wa meza kuu kutoka kushoto ni Mzee Mchuruza, Mzee Philbart Nyerere, Mh. Meya Anathory Amani a Baba Askofu Kilaini. Waimbaji wa Kapotive Star Singers-Bukoba wakishambulia jukwaa.Muimbaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KAGERA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUHIMIZA UKAMILISHWAJI...

 Mkuu wa Mkoa Kagera Akikagua Vyumba  vya Maabara za Sayansi, Madarasa Nyumba ya Mwalimu Katika Wilaya ya Karagwe. Mtoto Aiteka Maji na Kufurahia Mradi huo Katika Kijiji KibingoWilaya ya Kyerwa Mradi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO KUTAFUTA MISS WA WILAYA- NGARA

 Pichani ni Wanyange wanaowania miss Ngara katika mitindo mbalimbali ya maonesho wakiwa katika mazoezi ya PamojaNa Shaaban NdyamukamaKufuatia kuwepo kwa sikukuu za chrismas na mwaka mpya watoto wa kike...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>