Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

BALOZI KAMALA AKUTANA NA VIONGOZI WA ASASI YA WERELD MISSIE HULP YA UBELIGIJI

$
0
0
Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Asasi ya Wereld Missie Hulp ya Ubeligiji Bwana Wim Smit (wa pili kutoka kushoto). Wa kwanza kulia ni Bi. Ilona Coster Meneja wa Miradi wa asasi hiyo na wa pili kutoka kulia ni Bwana Geoffrey Kabakaki Mchumi Mhandamizi katika Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji. Balozi Kamala amekutana na Uongozi wa Asasi ya Wereld Missie Hulp jijini Antwerpen Ubeligiji leo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>