Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

AJALI MBAYA YATOKEA BUKOBA WAWILI WAFARIKI PAPO HAPO

$
0
0

Ajali hiyo iliyohusisha gari aina ya Mitsubish Canter na Fuso iliyokuwa ikiendeshwa na Bw Farouk (Mwarabu) na Dreva mwingine ambaye jina lake halikufahamika mara moja
 (wawili waliofariki katika ajali hiyo ni madreva wa magari hayo).
Ajali hiyo imetokea jioni ya jumanne July 7,2015 majira ya saa 1 katika eneo la Nkindo nje kidogo ya Mji wa Bukoba baada ya magari hayo kugongana uso kwa uso 
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika mpaka sasa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>