Taarifa za kutokea ajali ya helkopta katika mbunga ya selou eneo la msolwa na kuwaka moto taarifa rasmi zinasema Deo filkujombe amenusurika katika ajali hiyo.
Baadhi ya abiria wanaodaiwa kuwa ndani ya chombo hicho ambacho kinasemekana kilikuwa kikirushwa na Kapteni Slaa ni Haule (mdogo wake Filikunjombe), Deo Filikunjombe, Mtumishi mmoja wa Halmashauri mojawapo ya Mkoa wa Njombe.
Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi kwa taarifa kuhusu hali za Abiria wengine
Baadhi ya abiria wanaodaiwa kuwa ndani ya chombo hicho ambacho kinasemekana kilikuwa kikirushwa na Kapteni Slaa ni Haule (mdogo wake Filikunjombe), Deo Filikunjombe, Mtumishi mmoja wa Halmashauri mojawapo ya Mkoa wa Njombe.
Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi kwa taarifa kuhusu hali za Abiria wengine