Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

YALIYOJIRI KIJIJINI KASHEKYA- GERA KATIKA HAFLA YA LUGOYE DAY DEC 27,2018

$
0
0
Baadhi ya wanachama wa  Kikundi'Lugoye Social Club  kinachojumuisha wanaume 20 kutoka katika Kata za Ishozi, Gera na Nshunju  wakiwa katika sala ya ufunguzi wa hafla yao iliyofanyika nyumbani kwa  Mzee Josian Munazi wa mwisho pichani kulia.
 Sehemu ya wanachama wakati hafla hiyo ikiendelea, kutoka kushoto ni Bw.Wenceslaus Rwiza,Bw. Charles Mbelwa,Prof Ladislaus Lwambuka,Eng.Erasto Machume akifuatiwa na Eng. Josephat Byemerwa mwenye tai nyekundi.



Mr.Ben Mulokozi mwanachama wa 'Lugoye Social Club' katika picha ya pamoja na Haji Kibaizi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>