Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

KUHUSU KUBENEA BUNGENI

$
0
0
Kumetokea mkanganyiko/mgongano wa mawazo na mabishano katika viunga mbali mbali nchini, kuhusiana na kauli alizozitoa Mbunge wa Ubungo Saeed Kubenea wakati akiomba muongozo kwa mwenyekiti wa Bunge mapema leo asubuhi kuhusiana na tukio la juzi Askari kuingia Bungeni na Wabunge kadhaa kuumia.
Wananchi kadhaa wamesema kauli zake zina udhalilishaji kwa Wanawake, huku Wengine wakidai alikuwa akitetea.
"Wabunge wanawake walidhalilishwa na Polisi juzi, walivuliwa nguo za ndani, SHANGA na Hereni zao"
Uonavyo wewe amedhalilisha au ametetea??

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>