













Makundi ya watu waiendelea kufuatilia kwa kina kinachojiri






Uongozi wa Kata Kitobo unatoa shukrani kwa Halmashauri ya Wilaya Missenyi kwa matengenezo ya Barabara ya Kyabajwa hadi Kyazi,Mbale,Kashasha hadi Bwanjai ,Barabara hizo zinapitika bila matatizo Wanaiomba Serikali iweze kufanyia ukarabati barabara ya Kyabajwa hadi Kyazi kwa maana imeanza kuaribika





