Mamia ya waombolezaji wameweza kushiriki mazishi ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko yaliyofanyika jioni ya Jana June 8, Nyumbani kwake Kijijini Nyabiokwo Bwanjai -Missenyi
Sehemu ya wanakwaya wa Bethania wa Kanisa Kuu la KKKT mjini Bukoba
Ibada ya Mazishi ya
Mzee Deo (Deka ) Rugaibula pichani kulia akiteta na shemeji yake
Wanafamilia ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko kulia ni Dk. Venant Mboneko
Ndugu Rahym Kabyemela ambaye ni rafiki wa familia ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko
Dk. Venus Kataruga kushoto na Bi Happiness Essau wakati Ibada ikiendelea
Omulangira Ben Kataruga akitoa heshima zake za mwisho .
Dokta Venus Kataruga wa mwisho pichani wakati akitoa heshima zake za mwisho.
Marehemu Omulangira Daudi Mboneko pichani wakati wa Uhai wake
Baadhi ya wajukuu wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakitoa heshima zao za mwisho
Mzee Kanati akishiriki kutoa heshima za Mwisho kuaga mwili wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko
Wasifu wa marehemu ukisomwa na wajukuu.
Mdau Yunus Kabyemela wakati akiwasili kushiriki mazishi ya Omulangira Daudi Mboneko
Wajukuu wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakiendelea kusoma wasifu wa Babu yao mpendwa
Mchungaji Milton wa Ushirika wa KKKT Bwanjai
Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Omulangira Daudi Mboneko !!
Sehemu ya wanakwaya wa Bethania wa Kanisa Kuu la KKKT mjini Bukoba
Ibada ya Mazishi ya
Mzee Deo (Deka ) Rugaibula pichani kulia akiteta na shemeji yake
Wanafamilia ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko kulia ni Dk. Venant Mboneko
Ndugu Rahym Kabyemela ambaye ni rafiki wa familia ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko
Dk. Venus Kataruga kushoto na Bi Happiness Essau wakati Ibada ikiendelea
Omulangira Ben Kataruga akitoa heshima zake za mwisho .
Dokta Venus Kataruga wa mwisho pichani wakati akitoa heshima zake za mwisho.
Marehemu Omulangira Daudi Mboneko pichani wakati wa Uhai wake
Baadhi ya wajukuu wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakitoa heshima zao za mwisho

Wasifu wa marehemu ukisomwa na wajukuu.
Mdau Yunus Kabyemela wakati akiwasili kushiriki mazishi ya Omulangira Daudi Mboneko
Wajukuu wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakiendelea kusoma wasifu wa Babu yao mpendwa
Mchungaji Milton wa Ushirika wa KKKT Bwanjai
Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Omulangira Daudi Mboneko !!