Hivi ndivyo ilivyokuwa Safari ya Mwisho ya Maisha ya Bi Esther Rwegasira aliyekuwa Mke wa Marehemu Balozi Joseph Rwegasira aliyekuwa Mwenyekiti wa vyama vya wafanyakazi JUWATA, Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Pwani na baadaye balozi wa Tanzania nchini Zambia halafu akawa Waziri wa viwanda na Biashara, na baadaye waziri wa Kazi na mwisho Waziri wa mambo ya nchi za nje,na Mbunge wa Nkenge mpaka mwaka 2000.
Maziko ya Marehemu Bi Esther Rwegasira yaliyofanyika Nyumbani kwake Kijijini Bugombe-Kanyigo Wilayani Missenyi yaliongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera na Viongozi wa Vyama na Serikali.
Wanaonekana Mamia ya Waombolezaji wakiwa na nyuso zenye huzuni wakati wa shughuli ya Ibada ya Mazisho ya Marehemu Bi Esther Rwegasira .
Umati wa waombolezaji wakiendelea kushiriki Ibada ya Maziko
Bw. Hafidh (Nkurukumbi) na Bw. Haruna Goronga pichani
Shughuli ya Maziko ya Marehemu Bi Esther ikiendelea jioni ya Jana Ijumaa Sep 2,1015
Rutta na Tiba ambao ndio watoto wa kiume wa Marehemu Bi Esther Rwegasira wakiweka shada la maua.
Watoto wa kuzaliwa na Marehemu Bi Esther Rwegasira wakati wa utambulisho
Waonekana baadhi ya wanafamilia pichani
Kijana Julius (Tiba) Rwegasira akisoma wasifu wa Marehemu Mama yake mzazi Bi Esther Rwegasira
Salaam za rambirambi kutoka kwa Diwani wa Kata ya Kanyigo
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Missenye Mh. Tegamaisha akitoa salaa za rambirambi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi akitoa Salaam za rambirambi
Diwani wa Kata Kashenye(Omulangira)Adeodatus Rugaibula ameweza kushiriki kikamilifu shughuli hii ya maziko iliyofanyika Kijijini Bugombe-Kanyiko Wilayani Missenyi na kuhudhuriwa na maelfu ya waombolezaji
Dr. Iganga Gerrad msemaji wa familia ya Marehemu Bi Esther Rwegasira wakati akitoa neno
Wanaonekana Watoto wa Marehemu Bi Esther Rwegasira katika wimbi kubwa la mawazo
Wanaonekana wadau pichani muda mchache baada ya Shughuli ya maziko
Mdau Kelvin, rafiki wa familia ya Marehemu Bi Esther Rwegasiea
Ikafika fursa ya waombolezaji kupata huduma ya Chakula
Huduma safi ya Chakula ikiendelea kwa watu wote waliweza kushiriki shughuli ya maziko hayo
Tunaendelea kwa matukio zaidi ya picha......
Matukio mengine yanapatikana katika ukurasa wetu wa facebook kujiunga Gonga 'Like' katika LINK HII MAZIGO YA BI ESTHER RWEGASIRA KIJIJINI KANYIGO
Maziko ya Marehemu Bi Esther Rwegasira yaliyofanyika Nyumbani kwake Kijijini Bugombe-Kanyigo Wilayani Missenyi yaliongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera na Viongozi wa Vyama na Serikali.
Wanaonekana Mamia ya Waombolezaji wakiwa na nyuso zenye huzuni wakati wa shughuli ya Ibada ya Mazisho ya Marehemu Bi Esther Rwegasira .
Umati wa waombolezaji wakiendelea kushiriki Ibada ya Maziko
Bw. Hafidh (Nkurukumbi) na Bw. Haruna Goronga pichani
Shughuli ya Maziko ya Marehemu Bi Esther ikiendelea jioni ya Jana Ijumaa Sep 2,1015
Rutta na Tiba ambao ndio watoto wa kiume wa Marehemu Bi Esther Rwegasira wakiweka shada la maua.
Watoto wa kuzaliwa na Marehemu Bi Esther Rwegasira wakati wa utambulisho
Waonekana baadhi ya wanafamilia pichani
Kutoka Kijijini Bugabo pichani ni Kaka wa Marehemu Bi Esther Rwegasira
Kijana Julius (Tiba) Rwegasira akisoma wasifu wa Marehemu Mama yake mzazi Bi Esther Rwegasira
Salaam za rambirambi kutoka kwa Diwani wa Kata ya Kanyigo
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Missenye Mh. Tegamaisha akitoa salaa za rambirambi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi akitoa Salaam za rambirambi
Diwani wa Kata Kashenye(Omulangira)Adeodatus Rugaibula ameweza kushiriki kikamilifu shughuli hii ya maziko iliyofanyika Kijijini Bugombe-Kanyiko Wilayani Missenyi na kuhudhuriwa na maelfu ya waombolezaji
Dr. Iganga Gerrad msemaji wa familia ya Marehemu Bi Esther Rwegasira wakati akitoa neno
Wanaonekana Watoto wa Marehemu Bi Esther Rwegasira katika wimbi kubwa la mawazo
Wanaonekana wadau pichani muda mchache baada ya Shughuli ya maziko
Mdau Kelvin, rafiki wa familia ya Marehemu Bi Esther Rwegasiea
Ikafika fursa ya waombolezaji kupata huduma ya Chakula
Huduma safi ya Chakula ikiendelea kwa watu wote waliweza kushiriki shughuli ya maziko hayo
Tunaendelea kwa matukio zaidi ya picha......
Matukio mengine yanapatikana katika ukurasa wetu wa facebook kujiunga Gonga 'Like' katika LINK HII MAZIGO YA BI ESTHER RWEGASIRA KIJIJINI KANYIGO