Ndivyo wanavyo onekanaka baadhi ya watoto wa Marehemu Alhaji Abdulmalick Kabyemela na ndugu wa familia pichani wakiwa hawaamini kinachoendelea,ni wakati mgumu kwao ,machozi yanawatoka mbele ya Jeneza lenye mwili wa Baba yao mpendwa muda mchache kabla ya kumsalia na kumhifadhi,Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un !!
Shughuli ya mazishi ya Alhaji Abdulmalick Kabyemela imeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu pichani Kushoto na kuhudhuria na mamia ya waombolezaji kutoka maeneo mbalimbali nchini
Bukobawadau BLOG tunakufikia matukio ya picha kwa mkutasari, Sehemu ya Video na maelezo ya picha (Caption ) yatakufikia baada
Bwana Bashiru Kabyemela pichani wakati akiendelea Kushiriki Dua ya Baba yake Mdogo.
Ni machungu yasioelezeka kwa wote waliofikwa na msiba huu
Mdau Philbo na Bwana Sunday pichani
Baadhi ya waombolezaji wakishiriki Dua ya kumuombea Marehemu mzee wetu
Mdau Jerome Luhemalira pichani kulia akiwa ametoka jijini Dar kwa ajili ya kushiriki mazishi hayo.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akitoa mkono wa pole kwa kaka wa Marehemu
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akitoa mkono wa pole wa Bwana Rahym Kabyemela
Rc Kijuu akikabidhi ubani kwa sheikh Mkuu wa Mkoa wa Kagera Sheikh Haruna Kichwabuta
Wakati Mkuu wa Mkoa wa Kagera akitoa mkono wa pole kwa watoto wa kuzaliwa na Marehemu Mzee Alhaji Abdulmalick Kabyemela.
Hakika watu ni wengi kweli kweli
Bwana Matunda, Kagunduna na Mzee Cathbert Basibila wakati wa shughuli ya mazishi hayo.
Masheikh kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Kagera wameshiriki mazishi hayo yaliofanyika Nyumbani kwake kijijini Kanyangeleko Maruku Bukoba.
Baadhi ya wanafamilia upande wa wanawake
Sehemu ya waombolezaji walioweza kushiriki mazishi ya Mzee Alhaji Andumalick Kabyemela
Mamia ya wananchi wake kwa waume wamewe kuhudhuria mazishi ya Alhaji Abdulmalick Kabyemela
Salaam za rambirambi kwa familia kutoka kwa wafanyakazi wa KCU (1990) Ltd zikitolewa na Bwana Lutakwa
Sheikh Idrisa akitoa Salaam za rambirambi zilizoambatana na Ubani kutoka kwa Mzee wetu Haji Abbakari Galiatano
Shughuli ya maziko ya Mzee wetu ,Alhaji Abdulmalick Kabyemela imefanyika mchana wa Leo Nov 29,majira ya Saa 8:30 Nyumbani kwake kijijini Kanyangeleko Maruku Bukoba.
Jeneza lenye Mwili wa Mpendwa wetu Alhaji Abdulmalick Kabyemela likiingizwa kaburini
Sheikh Haruna Kichwabuta ,Sheikh wa Mkoa wa Kagera akiweka Udongo kwenye Kaburi la
Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe. Kijuu akiweka Udongo kwenye Kaburi
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akishiriki kuweka udongo kaburini
Bwana Rahym Kabyemela akiweka Udongo kwenye kaburi la Baba yake Mzazi
Shughuli ya mazishi ikiendelea
Endelea kuwa nasi kwa mtiririko mzuri wa matukio ya picha na maelezo ya kina....
Kutoka kushoto ni Bw. Mwamsonjo, Kijana Soma na Mpambanaji Roben Sunday (mwili mpana)
Mzee Balekao na Mzee Haruna Mugura ambao ni marafiki wakaribu wa familia ya Marehemu Alhaji Abdumalick Kabyemela
Mh. Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini 'Lwakis akibadilishana mawazo na baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Bukoba
Adv. Ishengoma akisalimiana na Bw. Jerome ,pichani kushoto ni Mdau Ishengoma Bilikwija
Kushoto ni Mwanadada Sarah Said
Mdau Subira Selemani Kabyemela pichani
Sheikh Athmani pichani kulia wakati wa Utambulisho
Wakati Sheikh Haruna akitoa utambulisho kwa viongozi wa Dini waandamini Mkoani Kagera
ENDELEA KUWA NASI KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA ....NA MAELEZO MENGINEYO
Shughuli ya mazishi ya Alhaji Abdulmalick Kabyemela imeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu pichani Kushoto na kuhudhuria na mamia ya waombolezaji kutoka maeneo mbalimbali nchini
Bukobawadau BLOG tunakufikia matukio ya picha kwa mkutasari, Sehemu ya Video na maelezo ya picha (Caption ) yatakufikia baada
Bwana Bashiru Kabyemela pichani wakati akiendelea Kushiriki Dua ya Baba yake Mdogo.
Ni machungu yasioelezeka kwa wote waliofikwa na msiba huu
Mdau Philbo na Bwana Sunday pichani
Baadhi ya waombolezaji wakishiriki Dua ya kumuombea Marehemu mzee wetu
Mdau Jerome Luhemalira pichani kulia akiwa ametoka jijini Dar kwa ajili ya kushiriki mazishi hayo.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akitoa mkono wa pole kwa kaka wa Marehemu
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akitoa mkono wa pole wa Bwana Rahym Kabyemela
Rc Kijuu akikabidhi ubani kwa sheikh Mkuu wa Mkoa wa Kagera Sheikh Haruna Kichwabuta
Wakati Mkuu wa Mkoa wa Kagera akitoa mkono wa pole kwa watoto wa kuzaliwa na Marehemu Mzee Alhaji Abdulmalick Kabyemela.
Hakika watu ni wengi kweli kweli
Bwana Matunda, Kagunduna na Mzee Cathbert Basibila wakati wa shughuli ya mazishi hayo.
Masheikh kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Kagera wameshiriki mazishi hayo yaliofanyika Nyumbani kwake kijijini Kanyangeleko Maruku Bukoba.
Baadhi ya wanafamilia upande wa wanawake
Sehemu ya waombolezaji walioweza kushiriki mazishi ya Mzee Alhaji Andumalick Kabyemela
Mamia ya wananchi wake kwa waume wamewe kuhudhuria mazishi ya Alhaji Abdulmalick Kabyemela
Salaam za rambirambi kwa familia kutoka kwa wafanyakazi wa KCU (1990) Ltd zikitolewa na Bwana Lutakwa
Sheikh Idrisa akitoa Salaam za rambirambi zilizoambatana na Ubani kutoka kwa Mzee wetu Haji Abbakari Galiatano
Shughuli ya maziko ya Mzee wetu ,Alhaji Abdulmalick Kabyemela imefanyika mchana wa Leo Nov 29,majira ya Saa 8:30 Nyumbani kwake kijijini Kanyangeleko Maruku Bukoba.
Jeneza lenye Mwili wa Mpendwa wetu Alhaji Abdulmalick Kabyemela likiingizwa kaburini
Sheikh Haruna Kichwabuta ,Sheikh wa Mkoa wa Kagera akiweka Udongo kwenye Kaburi la
Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe. Kijuu akiweka Udongo kwenye Kaburi
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akishiriki kuweka udongo kaburini
Bwana Rahym Kabyemela akiweka Udongo kwenye kaburi la Baba yake Mzazi
Shughuli ya mazishi ikiendelea
Endelea kuwa nasi kwa mtiririko mzuri wa matukio ya picha na maelezo ya kina....
Kutoka kushoto ni Bw. Mwamsonjo, Kijana Soma na Mpambanaji Roben Sunday (mwili mpana)
Mzee Balekao na Mzee Haruna Mugura ambao ni marafiki wakaribu wa familia ya Marehemu Alhaji Abdumalick Kabyemela
Mh. Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini 'Lwakis akibadilishana mawazo na baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Bukoba
Adv. Ishengoma akisalimiana na Bw. Jerome ,pichani kushoto ni Mdau Ishengoma Bilikwija
Kushoto ni Mwanadada Sarah Said
Mdau Subira Selemani Kabyemela pichani
Sheikh Athmani pichani kulia wakati wa Utambulisho
Wakati Sheikh Haruna akitoa utambulisho kwa viongozi wa Dini waandamini Mkoani Kagera
ENDELEA KUWA NASI KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA ....NA MAELEZO MENGINEYO