Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Kesi ya lema

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha yatupa ombi la mbunge Godbless Lema la kutaka marejeo ya kesi yake, yashauri mawakili wake kupinga zuio la dhamana.... 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO NOV 23,2016 YANAKUFIKIA KWA HISANI YA WINDHOEK

Magazeti yote yamekufikia kwa hisani kubwa ya Kinywaji Cha Windhoek Beer

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARABARA YA KIBETA YASEMEKANA KUKITHIRI KWA AJALI

Waendesha Bodaboda na Magari  wametakiwa kufuata sheria za barabarani ili kuiepukana na ajali za mara kwa mara,Rai hiyo imetolewa na wakazi wa Kata ya Kibeta wakati wakiongea na  BukobawadauWananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RICH MAVOKO FT DIAMOND PLATNUMZ - KOKORO ( OFFICIAL VIDEO)

Naam unaweza kutaza Video mpya hapo chini Rich Mavoko Ft. Diamond Platnumz (Video) – KOKORO Rich Mavoko Ft. Diamond Platnumz (Video) – KOKORO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2016 WAANZA KAMBI

Warembo wanaoshiriki katika mashindano ya Miss Universe Tanzania 2016 wakiwa wamesimama mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Fainali itafanyika Novemba 25 katika Hoteli ya Collessium...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANAPA YAPANIA KUDHIBITI UGONJWA WA KIMETA USIINGIE KWENYE HIFADHI ZA TAIFA

Maafisa wa idara ya wanyapori wakiangalia mmoja wa mizoga iliyokufa kutokana na ugonjwa wa Kimeta katika Shoroba ya Selela wilayani Monduli mkoa wa Arusha. Daktari wa Mifugo wa halmashauri ya wilaya ya...

View Article

KUHUSU AKAUNTI MBILI ZA MAAFA KAGERA

Na mwandishi wetu.Bukoba.KAMATI  ya maafa mkoani Kagera yatumia akaunti mbili kupokea fedha inayotolewa na Mashirika, Makampuni,tasisi na watu binafsi kwa ajiri ya kuchangia waathirka wa tetemeko la...

View Article


ANAANDIKA HAPPY KATABAZI

MCHUNGAJI ANTHONY LUSEKELO USIRUDIE TENA KUFANYA USHETANI HUUNa Happiness KatabaziMITHALI 20: 1 Katika Biblia inasema : " Mvinyo hudhihaki ,kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo Hana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA :KIFO CHA MZEE ALHAJI ABDULMALICK KABYEMELA KILICHOTOKEA LEO NOV 27,2016

Tunasikitika kutangaza kifo cha Mzee wetu ,Alhaji Abdulmalick Kabyemela kilichotokea alasiri ya leo tarehe 27 Nov, 2016 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza alipokuwa akitibiwa. Taarifa kamili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WAPYA 194

Bendi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ) likiingia uwanjani wakati wa sherehe za kutunuku Maafisa 194 wa Jeshi hilo katika viwanja vya Ikulu leo Jijini Dar es SalaamRais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simbachawene aagiza Fedha zilizotolewa kwa kaya zisizokuwa na Sifa katika...

Na Rebecca  KwanduWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene ameziagiza Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa, Miji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA :KIFO CHA MZEE ALHAJI ABDULMALICK KABYEMELA KILICHOTOKEA LEO NOV 27,2016

Tunasikitika kutangaza kifo cha Mzee wetu ,Alhaji Abdulmalick Kabyemela kilichotokea alasiri ya leo tarehe 27 Nov, 2016 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza alipokuwa akitibiwa. Taarifa kamili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NALPHINE HOTEL LTD KUSHEREKEA MIAKA 2 TANGU KUFUNGULIWA KWAKE IJUMAA DEC 2.!!

Baada ya maboresha makubwa,sasa Nalphine Hotel Muleba wanatalaji kusherekea Birthday ya kutimiza miaka 2 ,shughuli itakayofanyika siku ya Ijumaa Dec 2,2016 na kusindikizwa na burudani kutoka kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOV 29

Magazeti yote kwa hisani ya Kamera Yangu Blog.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT.MAGUFULI AMWANDALIA RAIS EDGAR LUNGU DHIFA YA KITAIFA IKULU JIJINI...

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili AlhajAli Hassan Mwinyi,Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume wakielekea kwenye dhifa ya kitaifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AAGANA NA MGENI WAKE RAIS WA ZAMBIA EDGAR CHAGWA LUNGU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mgeni wake Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUGHULI YA MAZISHI YA KIHISTORIA YA ALHAJI ABDULMALICK KABYEMELA YAKIONGOZWA...

 Ndivyo wanavyo onekanaka baadhi ya watoto wa Marehemu Alhaji Abdulmalick Kabyemela na ndugu wa familia pichani wakiwa hawaamini kinachoendelea,ni wakati mgumu kwao ,machozi yanawatoka mbele ya Jeneza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI MAARUFU YA FILAMU YA UJERUMANI KUPAISHA SEKTA YA UTALII NCHINI

Moja ya eneo la lililotumiwa na kampuni ya Polyphon Film ya nchini Ujerumani ikirekodi Filamu inayozungumzia maisha kwa ujumla eneo la Kogatende ndani ya Hifadhi ya taifa ya Serengeti mkoa wa Mara  na...

View Article

SERIKALI YALIPA ONYO GAZETI LA MTANZANIA.

m Tanzania by TAGCO on Scribd

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>