Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

SALAMU ZA RAMBIRAMBI CCM - KIFO CHA MHE. MUNGAI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Abdulrahman Kinana amemtumia salamu za rambi rambi Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndg. Jesca Msambatavangu kufuatia kifo cha Mhe...

View Article


WAZIRI NAPE ALIPOPOKEA VIFAA VYA MICHEZO TOKA KAMPUNI YA STAR TIMES TANZANI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZAZI ANAYEPELEKA MTOTO WAKE SHULE BUBU ZISIZOSAJILIWA KUCHUKULIWA HATUA...

                              Naibu mthibiti mkuu  ubora  wa shule  kanda  ya  nyanda  za  juu  kusini  Aldo Masonda  Bw Aldo Masonda                                               Na MatukiodaimaBlog...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA KAIRUKI KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZAKE KUPUNGUZA MSONGAMANO WA...

Hospitali ya kairuki katika kuboresha huduma zake kwa wagonjwa imeanza kutumia kitengo kipya kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wa kutwa  hususani wale wanachama wa mfuko wa Taifa  wa Bima ya Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO

 Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya na Mbunge kutoka Barza la Wawakilishi Zanzibar, Machano wakiingia bungeni Dodoma leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG Naibu Spika,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA UAGAJI WA MWILI WA MAREHEMU MHE. SAMWEL SITTA KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE

Mwili wa Marehemu Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta Ukiwasili katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya utoaji wa heshima za mwisho kabla ya kusafirishwa kwenda Bungeni Mjini Dodoma na Hatimaye Mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI ARUHUSIWA KUTOKA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA...

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa anatoka kwenye  Wodi ya Sewahaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kurejea nyumbani  mara baada ya kuruhusiwa baada ya kupata nafuu. Mama Janeth Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE LEMA ANYIMWA DHAMANA LEO

ARUSHA: Mbunge Godbless Lema anyimwa dhamana baada ya Wanasheria wa Serikali kukata rufaa kupinga maamuzi ya Hakimu kumpatia dhamana. - Wakili wa Serikali ataka asipewe dhamana kwani alisema Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIKA KUSHEREKEA MAULID HAPO KESHO

Assalaam Aleykum ndugu msomaji!! Jumuiya ya waislam wa Kamachumu waishio Dar es Salaam, wanakualika kwenye sherehe ya Maulid ya mwaka mpya wa Kiislam itakayofanyika kesho Tarehe 13/11/2016 kuanzia saa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI ARUSHA WALALAMIKIA UUZAJI HOLELA WA MAENEO YA WAZI

 mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo anazindua daraja ambalo limejengwa na wawekezaji lililogarimu zaidi ya shilingi milioni 65 za kitanzania Mkuu wamkoa wa Arusha akiwa anaongea na wananchi wa kata ya...

View Article

WAZIRI NAPE NNAUYE AKABIDHI BENDERA YA TAIFA KWA MWANAMITINDO JULIETHA KABETE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFS WAENDELEA KUTOA MBEGU KWA VIKUNDI MBALIMBALI

NA MWANDISHI WETUBukoba.WAKARA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) wanaendelea kutoa mbegu za viriba kwa vikundi mbalimbali na tasisi pamoja na watu binafisi wenye vigezo ili waweze kupanda miti na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEA YAKIPIGA JEKI CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA

Mkuu wa Chuo cha TakwimuMashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda akiongea na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)  Bw. Joel Laurent (mweyesuti) alipotembelea chuo hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NDEGE LA RWANDAIR LIMEPOKEA NDEGE YAKE NYINGINE MPYA AINA YA BOENG...

Baada ya kupokea ndege mpya aina ya Airbus mwezi wa tisa mwaka huu sasa leo tarehe 16/11/2016 Shirika la ndege la Rwandair limepokea tena ndege nyingine mpya aina ya Boeing 737-800...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA KIBETA BUKOBA SHUGHULI YA MISA TAKATIFU KUMBUKUMBU YA MIAKA 9 KIFO CHA...

 Misa ya kumbukumbu ya Miaka 9 tangu kufariki kwa Marehemu Ma Auleria Kobulungo Muganda (1918-2007)iliyofanyika Jana Jumatano Nov 16 Nyumbani kwa Mjukuu wake Josephat Joakhim Matungwa wa Kibeta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NDEGE LA RWANDAIR LIMEPOKEA NDEGE YAKE NYINGINE MPYA AINA YA BOENG...

Baada ya kupokea ndege mpya aina ya Airbus mwezi wa tisa mwaka huu sasa leo tarehe 16/11/2016 Shirika la ndege la Rwandair limepokea tena ndege nyingine mpya aina ya Boeing 737-800...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEA NA CRDB YAKABIDHI VITANDA NA MAGODORO SHULE YA SEKONDARY PANGANI

Meneja Elimu, Habari na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi. Sylvia Lupembe akisaini kitabu cha wageni wakati wa hafla ya kukabidhi Vitanda vya double deka 24 na Magodoro 48  kwa ajili ya bweni...

View Article


VIDEO :TEA,CRDB Waipiga Jeki Shule ya Sekondari Pangani

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA JENERALI FAN CHANGLONG...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kumkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni kuu ya Ulinzi ya Jeshi la Ukombozi la Watu wa China Jenerali Fan Changlong...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOV 22,2016

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>