Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIKH KICHWABUTA :WAZAZI WAPENI WATOTO ELIMU KUWAEPUSHA NA MIGOGORO YA MIRATHI

WAZAZI na walezi Mkoani Kagera wametakiwa kutoa umuhimu wa pekee kwa elimu ya watoto wao, ili kupunguza migogoro ya mirathi ambayo inatokea kutokana na jamii kutokuwa na elimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMA YANG'ARISHA UTALII ZANZIBAR KWA MASHINDANO YA NDEGE KONGWE 22

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Rubani wa kike mdogo kuliko marubani wote wa ndege ya zamani, Sara Meehan (18), jinsi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO LA NKENGE BALOZI DR KAMALA LEO AMEKABIDHI MADAWATI 537 KWA...

 Mbunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dr.Kamala leo alhamisi Dec 1,2016 amekabidhi madawati 537 kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi, Limbe Mourice,Madawati hayo yametokana na fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJIO WA HUDUMA YA (SPEED BOAT) KATIKA ZIWA VICTORIA!!

Habari kubwa kutoka katika Chanzo makini ni  Ujio wa Boti mpya inayoenda kwa mwendo kasi (Speed boat) hivi karibuni,kama inavyosemekana kumba huduma ya Boti hiyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKUNDI CHA WATOTO ''THE MOST WANTED STREET DANCE PORTSMOUTH UK'' CHATOA...

Kikundi cha Watoto '''MTOTO NI MALEZI'' wakiwa katika picha ya pamoji na Walezi wao nje ya Bango la Kanisa Mt.Yohanne Maria Muzzeeyi Parokia ya Maruku  Jimbo Katoliki la Bukoba muda mchache kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAINGIA MKATABA NA YANGA

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (katikati) akisaini Mkataba kwa niaba ya Serikali na Klabu ya Yanga ya jijini Dar es salaam ambayo iliwakilishwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) KWA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 02...

Ndugu Mwakilishi kutoka Benki ya NMB,Waandishi wa habari,Kwa niaba ya Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Kijamii nchini 'Tanzania Bloggers Network' (TBN) napenda kuwashukuru kwa kujitokeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKUNDI CHA WATOTO ''THE MOST WANTED STREET DANCE PORTSMOUTH UK'' CHATOA...

Kikundi cha Watoto '''MTOTO NI MALEZI'' wakiwa katika picha ya pamoji na Walezi wao nje ya Bango la Kanisa Mt.Yohanne Maria Muzzeeyi Parokia ya Maruku  Jimbo Katoliki la Bukoba muda mchache kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA DODOMA HII NI KWAAJILI YENU JITOKEZENI KUPIMA MACHO BUREEEE!!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MTO WA MBU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Mto wa Mbu wilayani Monduli akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 4, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGGERS TANZANIA WAPEWA MAFUNZO YA NAMNA BORA YA UENDESHAJI WA MITANDAO YA...

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dk. Hassan Abbas (wa pili kulia) akizungumza wakati wa kufungua mkutano mkuu wa siku mbili wa Tanzania Bloggers Network (TBN) uliofanyika katika ukumbi wa PSPF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, KATIBU MKUU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwakaribisha Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo aliyeambatana na Katibu Mkuu wa TAMISEMI Mhandisi Mussa Iyombe  kabla ya kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA AFRICAN RELIEF YAANZISHA KILIMO CHA UMWAGILIAJI CHUMBI,RUFIJI

Mkurugenzi wa Taasisi ya African Relief Organization, Samy  Mohammed Elazeb (kulia) akisimamia trekta likilima shamba lenye ukubwa wa ekali 2500 eneo la Khanga, katika Kijiji cha Chumbi C, wilayani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA SIFA ZA YERIKO ARUSHA

Miaka 25 ijayo, Takribani asilimia 75 ya wakazi wa Afrika Mashariki watakuwa vijana,na hii inamaanisha nguvukazi kubwa itakuwa mikononi mwao. Lakini kama watasalia kuwa idadi kubwa basi na kuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA PAMOJA KUSHEREHKEA UHURU WA TANZANIA BARA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe.Jenista Mhagama akiongea na Mkurugenzi wa Idara ya Maadhimisho na Sherehe za kitaifa Ofisi ya Waziri Mkuu Bi.Flora Mazelengwa wakati akikagua maandalizi ya...

View Article

TAARIFA KUTOKA KWA RPC KAGERA

Na  mwandishi wetuBukoba.MTOTO  Junior Bosco mwenye umri wa  miezi mitano na wiki mbili  afariki dunia kwa ajari ya kuungua na moto ndani ya nyumba ya wageni iliyopo  mwalo wa igabilo kata ya Kaagya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Ofisi ya Makumu wa Rais Muungano na Mazingira Luhaga Mpina...

 Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akimksikiliza Mkurungenzi wa Kituo cha Ujasiriamali Kutengeneza Nafasi za Kibiashara kwa Vijana Zanzibar Ndg, Ameir Sheha...

View Article

Manispaa ya Kigoma Ujiji kutekeleza kwa vitendo wa Mpango wa Uendeshaji wa...

View Article

(PARIS FRANCE)Aidan Eyakuze on Sauti za Wananchi (Citizen's Voices) -...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>