Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFUTA AGIZO LA KUFUNGA NDOA KWA SHARTI LA KUWA NA CHETI CHA KUZALIWA

$
0
0
RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wanahabari Mkoani Dodoma kuhusiana na kufuta agizo lililotolewa Jana na Waziri wa Katiba na Sheria kuhusu Wananchi kufunganga ndoa kuanzia Mwezi Mei mwaka huu kuwa na vyeti vya kuzaliwa.
 Rais Mhe.Dkt.Magufuli ameagiza utaratibu wa awali Uendelee kutumika kwa sababu wananchi Wengi wa Tanzania hawanaVyeti, hivyo wangekosa haki hiyo ya kufunga ndoa.
 Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana.
 PICHA NA IKULU

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>