Kutoka Kayanga Karagwe nyumbani kwa marehemu Sir George Kahama katika Misa ya Shukrani iliyoandaliwa na familia yake tarehe 19 July,2017.
Baba Askofu Kilaini akitoa neno mara baada ya kusimikwa kwa Mkuu wa familia nafasi aliyopewa mtoto mkubwa wa Marehemu Bw. Joseph Kahama pichani kulia.
matukio zaidi ya picha na maelezo yanaendelea..
Baba Askofu Kilaini akitoa neno mara baada ya kusimikwa kwa Mkuu wa familia nafasi aliyopewa mtoto mkubwa wa Marehemu Bw. Joseph Kahama pichani kulia.
matukio zaidi ya picha na maelezo yanaendelea..