Balozi Dr. Kamala Mbunge wa Jimbo la Nkenge ametembelea miradi ya elimu, afya na maji iliyofadhiliwa na World Vision na kutoa ushauri kwa Halmashauri ya Missenyi kujifunza mbinu mbali mbali za kusimamia miradi na kuhifadhi vyanzo vya maji.
Balozi Dr. Kamala wakati akikagua miundombinu ya Maji iliyofadhiliwa na World Vision inayowanufaisha wananchi wa Wilaya Missenyi
Inaendelea...
Balozi Dr. Kamala wakati akikagua miundombinu ya Maji iliyofadhiliwa na World Vision inayowanufaisha wananchi wa Wilaya Missenyi
Inaendelea...