Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA NDEGE MPYA YA BOENG 787-8 DREAMLINER ILIYONUNULIWA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine mara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIJAGE ATEMBELEA UJENZI WA KIWANDA KIPYA CHA AMBIANCE DISTILLERS (T) LTD

 Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage ametembelea na kukagua Ujenzi wa kiwanda kipya cha Ambiance Distillers (T) Limited watengenezaji wa Mvinyo na Vinywaji vikali ,Kiwanda hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISA YA SHUKRANI NA SHEREHE YA KUMPONGEA PADRE EGIDIUS KATARUGA KIJIJINI KWAO...

 Pata matukio ya picha yaliyojiri katika Sherehe ya kumpongeza Padre Egidius Kataruga ((wa katikati pichani) kwa upadirisho na Misa ya shukrani #ThanksgivingMass iliyofanyika Jumatano July 4,2018...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAASKOFU MHASHAMU KILAINI NA RWOMA WAONGOZA MAZISHI YA BI HELENA KAKEMBWE

Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na Askofu Mkuu Desiderius M. Rwoma wa Jimbo la Bukoba na msaidizi wake Askofu Method Kilaini,katika shughuli ya Mazishi ya Marehemu Ma Helena Yakilira Kakembwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA SASA ALIZETI NI ZAO LA ZIADA MISSENYI

Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala pichani akikagua shamba la Alizeti la Mkulima Clemence Deo lililopo kwenye kijiji cha Kashaba Kata ya Kyaka Wilayani MissenyiMbunge Balozi Dr. Kamala

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI DR.KAMALA AWAPONGEZA WORLD VISION MISSENYI ADP

 Balozi Dr. Kamala Mbunge wa Jimbo la Nkenge ametembelea miradi ya elimu, afya na maji iliyofadhiliwa na World Vision na kutoa ushauri kwa Halmashauri ya Missenyi kujifunza mbinu mbali mbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA BALOZI KAMALA KATA KAKUNYU

 Balozi Dr.Diodorus Buberwa Kamala Mbunge wa Jimbo la Nkenge,mkoani Kagera ameendelea na ziara yake siku ya Jumanne July 17,2018 Katika kata ya Kakunyu -Missenyi na kuzisikiliza kero mbalimbali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA SASA ALIZETI NI ZAO LA ZIADA MISSENYI

Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala pichani akikagua shamba la Alizeti la Mkulima Clemence Deo lililopo kwenye kijiji cha Kashaba - Kyaka Wilayani Missenyi,Zao la Alizeti limeonekana likinawiri kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI DR.KAMALA AWAPONGEZA WORLD VISION MISSENYI ADP

 Balozi Dr. Kamala Mbunge wa Jimbo la Nkenge ametembelea miradi ya elimu, afya na maji iliyofadhiliwa na World Vision na kutoa ushauri kwa Halmashauri ya Missenyi kujifunza mbinu mbali mbali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA BALOZI KAMALA KATA KAKUNYU

 Balozi Dr.Diodorus Buberwa Kamala Mbunge wa Jimbo la Nkenge,mkoani Kagera ameendelea na ziara yake siku ya Jumanne July 17,2018 Katika kata ya Kakunyu -Missenyi na kuzisikiliza kero mbalimbali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA MAGAWIO TOKA KATIKA TAAISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya TIPER Profesa Abdulkarim Mruma  katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI DR KAMALA ATEMBELEA VYAMA VYA USHIRIKA NA VITUO VYA AFYA JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dr.Diodorus Buberwa Kamala anaendelea na ziara yake Jimboni kwake kwa kuvitembelea vyama mbalimbali vya Ushiriki pamoja na vituo vya Afya Changamoto iliyopo  ni uhaba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZIZETI MISSENYI

 Zao la Alizeti hulimwa kwa ajili ya matumizi mbalimbali ambapo baadhi yake ni kama vile kutengeneza mafuta, kulishia mifugo na matumizi ya viwandani pichani Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mh.Balozi Dr....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI DKT. NDUGULILE ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA KAGERA

Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile atembelea hospitali ya Mkoa Kagera akiwa katika ziara yake jana July 30,2018 ya kukagua hali ya utoaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUUNGANISHA GESI ASILIA KWA MATUMIZI YA MAJUMBANI...

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Mha. Kapuulya Musomba (mwenye overall ya bluu) akijadiliana jambo na Ndg. Ildefons Mnimbo ambaye ni mtaalamu kutoka kampuni ya Plasco anaesimamia zoezi la kuunganisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA NCHI WA MAMBO...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Nchi  wa Mambo ya Nje wa Japan Masahisa Sato mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es SalaamRais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AAPISHA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Brigedia Jenerali Nicodemus Elias Mwangela kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe  kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa mikutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA ATEMBELEA VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI NA KUWEKA MIKAKATI YA...

Mbunge wa jimbo la Nkenge Balozi Dr.Deodorus Kamala ametoa kiasi cha shilingi (milioni tano na laki sita ) 5,600,000/-kwa ajili ununuzi wa masanduku ya kubebea vifaa vya huduma ya kwanza (First Aid...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIHARAMULO YAONGOZA KWA VITUO VYAKE VIWILI KUPATA NYOTA NNE KATIKA UTOAJI WA...

 Na: Sylvester RaphaelHalmashauri za Wilaya nne Mkoani Kagera zikiongozwa na Halmashauri ya Biharamulo zapata vyeti vya utoaji huduma bora za afya kwa wananchi katika Hospitali, Vituo vya Afya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEND OFF PARTY YA TUMSIIME WILERTH YAFANA

Kwanza mlipendeza sana!!ilikuwa poa, hongereni sana Bi Tumsiime Wilerth mtarajiwa wa Bw Jackson Rwebangira,Pichani anaonekana  Bi Tumsiime Wilerth akifuatana na wapambe wake wakati wanaingia ukumbini...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>