Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMISHI WAWILI HALMASHURI YA WILAYA YA KARAGWE WASIMAMISHWA KAZI KUPISHA...

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Karagwe Wamkimsikiliza Mkuu wa Mkoa kwa MakiniMkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu (Aliyesimama) Akitoa Maagizo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania ala shavu la kuwa miongoni mwa Blogers 50 duniani walioalikwa na...

Mwanablogu kutoka Tanzania Krantz Mwantepele kutoka blog ya Mwanaharakati Mzalendo amechaguliwa na serikali ya Russia kuwa miongoni mwa Blogers na social media influencers 50 dunia nzima kwaajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PASIPOTI ZA KIELEKITRONIKI ZAZINDULIWA RASMI MKOANI KAGERA NA KUTOLEWA KWA...

Mkoa wa Kagera wazindua Rasmi Pasipoti za Kielekitroniki leo Juni 8, 2018 katika viwanja vya Uhuru Manispaa ya Bukoba ambapo Pasipoti hizo zimezinduliwa na kutolewa kwa mara ya kwanza  Mkoani Kagera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIKA IFTAR ILIYOANDALIWA NA NDG. JUSTICE MASHEKHE WASISITIZA UMOJA NA...

 Ndugu Justuce Rugaibula amefuturisha wadau mbalimbali wa Mji wa Bukoba,marafiki wa familia waliojumuika na watoto wa kituo cha NusuruYatima katika makazi yake yaliyopo maeneo ya Ibura Manispaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI ATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI TANO KWA MTOTO LATIFA...

 Katibu wa Rais Ngusa Samike akimkabidhi Rehema Kadogosa ambaye ni Mama wa Mtoto Latifa Kadogosa (13) aliyelala kitandani kiasi cha Shilingi milioni tano (5,000,000/-) fedha zilizotolewa na Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISA MAALUM YA FAMILIA YA MZEE MWIJAGE BIKOCHE ILIYOFANYIKA KIJIJINI KITOBO

Picha ya pamoja ya familia ya Mzee Mwijage pamoja na Baba Paroko wa parokia ya Buyango mara baada ya Misa maalum ya sakramenti ya ndoa kwa umuhimu wa familia ya Mzee Mwijage. Baadhi ya watoto wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKOFU MKUU RWAICHI AMETEULIWA KUWAASKOFU MKUU MWANDAMIZI JIMBO LA DAR

Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu mkuu Yuda Thaddeus Ruwaichi kuwa Askofu mkuu mwandamizi mwenye haki ya kurithi Jimbo kuu la Dar es Salaam, Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Askofu mkuu Yuda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA UPANUZI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ZA NCHI NZIMA NA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisaidiwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu akipokea mfano wa hundi ya gawio la shilingi Bilioni 1.5 kwa serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI WAMZIKA MLANGIRA PAULIN RWEZAURA

Matukio ya picha yaliyojiri katika shughuli ya mazishi ya Omlangira Paulin Rwezaura yaliyofanyika Nyumbani kwake Kijijini #Kizigo #Kamachumu Juma lililopita na kuhudhuriwa na umati wa waombolezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBUKU #IFTAR #RAMADHAN2018

  Matukio ya picha kwa wakati Uongozi na wadau wa Ilyah's Barbar Shop waliposhiriki #Iftar na watoto wa Kituo cha Nusuru Yatima Kilichopo Kashai Manispaa Bukoba. Matukio ya picha kwa wakati Uongozi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI WAMZIKA MLANGIRA PAULIN RWEZAURA

Matukio ya picha yaliyojiri katika shughuli ya mazishi ya Omlangira Paulin Rwezaura yaliyofanyika Nyumbani kwake Kijijini #Kizigo #Kamachumu Juma lililopita na kuhudhuriwa na umati wa waombolezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHANDISI CHANGAMKIENI UWEKEZAJI WA VIWANDA-MWIJAGE

 Waziri wa Viwanda,  Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage (kulia) akimweleza jambo Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Nchini (ERB) Eng. Profesa. Ninatubu Lema kabla ya kufungua kongamano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI KUU YA SERIKALI 2018/2019 YAPITA KWA KISHINDO BUNGENI JIJINI DODOMA

Baadhi ya Wabunge wakiongozwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (kulia-mbele), wakati wa Kikao cha Bunge kilichopitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya shilingi trilioni 32.48 kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA VITUO VYA HALI YA HEWA NA KITUO CHA OPERESHENI NA MAWASILIANO YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI KATIKA MAZISHI YA MLANGIRA RUGAIBULA

Umati mkubwa wa waombolezaji wameweza kushiriki Mazishi ya Mlangira Adeodatus Rugaibula yaliofanyika Nyumbani kwake Kijijini Bukwale-Kanyigo Bukoba. Jeneza lenye mwili wa Mlangira likiwa ukumbuni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA NDEGE MPYA YA BOENG 787-8 DREAMLINER ILIYONUNULIWA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBO TANZANIA ON MISSION

Jambo |Tanzania regional coordinator, Mr Rahym Kabyemela having a word with one of the visitors from USA. Jambo Tanzania did it againMs. Mary Kalikawe the Managing Director of Kiroyera tours sharing...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBO TANZANIA ON MISSION

Jambo |Tanzania regional coordinator, Mr Rahym Kabyemela having a word with one of the visitors from USA.Dr. Mary Banda Jambo Tanzania did it againMs. Mary Kalikawe the Managing Director of Kiroyera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI WA WAOMBOLEZAJI WASHIRIKI MAZISHI YA MLANGIRA RUGAIBULA KIJIJINI KANYIGO

Umati mkubwa wa waombolezaji kutoka maeneo mbalimbali ya Mikoa ya Tanzania na nchi jirani za Uganda na Kenya wameweza kushiriki Mazishi ya Mlangira Adeodatus Rugaibula aliyekuwa diwani wa Kata Kashenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. KIGWANGALLA ATEMBELEA MAPOROMOKO YA KALAMBO, AMBAYO NI YA PILI KWA UREFU...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla na viongozi wengine wa mkoa wa Rukwa wakifurahia kufika karibu na  kina cha Maporomoko ya Mto Kalambo ambayo yapo katika wilaya ya Kalambo mkoani...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>