Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

BALOZI DR KAMALA ATEMBELEA VYAMA VYA USHIRIKA NA VITUO VYA AFYA JIMBONI KWAKE

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dr.Diodorus Buberwa Kamala anaendelea na ziara yake Jimboni kwake kwa kuvitembelea vyama mbalimbali vya Ushiriki pamoja na vituo vya Afya





 Changamoto iliyopo  ni uhaba wa magunia yanayotumika kusafirishia kahawa.

Balozi Dk Kamala akiongea na karani wa Chama cha ushirika cha Kilimilile
 Karani wa Chamacha Ushirika cha Mwemage akitoa ufafanuzi namna Zoezi la ununuaji wa zao la kawawa linavyoendelea chini ya KCU 1990 Ltd




 Anakutana na Mama aliyejifungua salama katika kituo cha zahanati ya kilimilile







 Bango la Zahanati ya  Mwemage.
 Muuguzi wa Zahanati ya Mwemage mara baada ya kukabidhiwa vitambaa maalum kwa ajili ya kuweka kwenye mzani mara baada ya mtoto kuzaliwa
Mwisho Mbunge Balozi Dr.Kamala bado anaendelea na Ziara yake Jimboni sambamba na mikutano mbalimbali na wananchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>