Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

BALOZI KAMALA:Amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi kuhakikisha usawa katika upatikanaji na utekelezaji wa Miradi na huduma za Jamii

$
0
0
BaloziDr.Kamala:Tunaposema Missenyi ni pamoja na Tarafa ya Kiziba hivyo amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi kuwajibika vyema kwa wananchi na kuhakikisha usawa katika upatikanaji na utekelezaji wa miradi na huduma za jamii katika kata zote 20 za Tarafa Missenyi na Kiziba.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>