Katika picha ya pamoja Viongozi waandamizi wa taasisi mpya ya kiislamu iliyoanzishwa hivi karibuni ya TA'AWUNUL ISLAAM na kuzinduliwa rasmi siku ya Idd pili na Mgeni Rasmi Ndugu Hamim Mahamod (katikati) Katibu mwenezi wa CCM Mkoa Kagera,malengo makubwa ya taasisi hiyo ni kuwaendeleza Waislamu katika nyanja za elimu na uchumi.
Hajjat Zahara Datan
Taswira kutoka Viwanja vya Masjid Taawunul Islaam Itoma-Bukoba lilipofanyika Balaza la Eid Fitri kwa mwaka 2019.
Umaati mkubwa wa Waumini wakiwa wamehudhuria Balaza la Eid El Fitri lililofanyika siku ya Idd pili alhamisi ya tarehe 6/6/2019
IInaendelea.....
Hajjat Zahara Datan
Taswira kutoka Viwanja vya Masjid Taawunul Islaam Itoma-Bukoba lilipofanyika Balaza la Eid Fitri kwa mwaka 2019.
Umaati mkubwa wa Waumini wakiwa wamehudhuria Balaza la Eid El Fitri lililofanyika siku ya Idd pili alhamisi ya tarehe 6/6/2019
IInaendelea.....