Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

MAISHA YA WATU HATARINI

$
0
0
 Hili ni ghorofa linaloendelea kujengwa ktk kitongoji cha Bukoko,kata ya Kanyigo,wilaya ya Missenyi,ambalo kwa mujibu wa mhandisi majengo wilaya ya Missenyi Bw Kilawila Mboya, limejengwa chini ya kiwango na linaweza kuporomoka wakati wowote.Licha ya kuweka alama za X kuzuia ujenzi tangu mwezi Septemba 2013,ujenzi bado unaendelea na maisha ya wapita njia na watakaopanga yako hatarini. 
Muonekano wa jengo lililojengwa chini ya kiwangu na kuwa na mapungufu mengi.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4177

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>