Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

MAZISHI YA MAREHEMU MA FATUMA ABDALLAH MAJURA KIJIJINI KASHASHA LEO JUNE 14,2014

$
0
0
Kushoto ni Abdallah Majura ambaye ni Mjukuu wa Marehemu Ma Fatuma, katikati ni MdauMbaraka Majura wakijadili jambo na Sheikh Kakwekwe (kulia) muda mchache kabla ya Mazishi.
 Mzee Kabyemela pichani


 Mlangira Emmanuel  wa Bukoba Club akiwasili msibani hapo
 Sehemu ya Wadau waliofika Kuwafariji Wafiwa.
Ndugu na jamaa waliofika kuwafariji wafiwa .
 Wadau pichani yupo Mzee  Nyangasha Sadru na Mh. Kaka yetu, Mwalimu MjuniJoseph Katalaiya
Ni shughuli ya Mazishi ya Marehemu Ma Fatuma Abdallah Majura iliyofanyika jioni ya leo Jumamosi June 14,2014 Kijijini Kashasha Kata ya Kanyigo Wilayani Missenye
 Ibada ya kuhuswalia mwili wa Marehemu Ma Fatuma iliongoza na Sheikh Mustapha.
 Dua'a Ya Kumuombea Marehemu wakati wakuswakiwa (156) ... Ewe Mwenyezi Mungu usitunyime thawabu zake wala usitupoteze baada yake”.
 Shughuli ya Maziko ikiendelea
Sheikh Haruna Kichwabuta akiweka  udongo Kaburini
 Anaonekana Haji Kazinja pichani.
 Balozi Ngemera akiweka udongo kaburini
Video juu ya kilichojiri  msibana hapa, historia ya Marehemu na Maneno ya Sheikh inapatikana juu ya habari hii ukurasa wa mwanza .
 Sehemu ya wanawake pembeni kabisa msibani hapa wakati mazishi yakiendelea..
 Taswira  shughuli ya Mazishi ya Marehemu Ma Fatuma Abdallah Majura ikiendelea


 Mama Farida Katika hali ya Usikivu wakati Historia  ya Marehemu ikitolewa.
 Mbaraka Majura ambaye ni Mtoto wa  Marehemu Ma Fatuma.
Pata kuona Video 1 na 2 Shughuli ya Mazishi ya Marehemu Ma Fatuma Majura hapa Chini.
SEHEMU YA PILI YA VIDEO

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4196

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>