Mechi ya soka kundi D kati ya England na Italia ,Nyota imeng'aa kwa mchezaji MarioBalotelli.
Taswira uwanjani Wachezaji katika hali ya utulivu kwa ajili yaNyimboya taifakabla yaGroupDmechi ya sokakati yaEnglandnaItalia katika Uwanja wa AmazoniaManaus
Mshike mshike kati ya bekiwa ItaliaGiorgioChiellini(kulia) na Mchezaji wa EnglandGlenJohnson
Ilikuwa mapema mwanzoni mwa mchezo baada ya shuti kali la Mchezaji RaheemSterling kuelekea nje na kupelekea mashabiki wengi kushangilia wakidhani ni bao.
Andrea Pirloakijaribu kufanya yake mbele ya Mchezaji waEngland, JordanHenderson.
Katikati yamashabiki wa Italy anaonekana Mwanadada FannyNeguesha ambaye nimchumbawamchezaji wa ItaliaMario Balotelli.
Wayne Rooney(kushoto)chini ya udhibiti mkubwa kutoka wa beki wa ItalyMatteoDarmian.
Mlinda mlango wa Italy AndreaBarzaglianafanya kuutoa njiani mpira uliopigwa na Mchezaji wa England DannyWelbeck na pichani (kushoto) ni DanielSturridge wa England akiwa juu kwa kutegemea Kipa apoteze malengo yake.
ClaudioMarchisioakiachia nduki kali iliyopelekea shangwe upande wa Italy.
DanielSturridgealichukuadakika mbili tukusawazishakwaEngland.
DanielSturridgepichani (kulia) katika harakati za kusawazisha
DanielSturridge akishangilia bao lake kwa timu ya England.
Tukio la ajabu na GaryLewin kutoka benchi la ufundi la timu ya England akibebwakwenye machela.
Mpaka mapumziko England 1-1 Italy
Ni PhilJagielkaanaokoa mpira uliokuwa ukielekea nyavuni na hii kuwa salama ya England
Vile alivyo shangilia mchezaji MarioBalotelli baada ya kufunga bao la pili la ushindi wa Italy
MarioBalotelli akitupia bao la pilikwa njia ya kichwa.
Akiangalia mbele kuona wapi pakupita ni RaheemSterlingwaUingereza pichani (katikati)
Njia imefungwa anaonekanaWayneRooney akiwania mpira na GiorgioChielliniya Italia
Hakuna penati iliyotolewa pale Steven Gerrardalipo banwa juu kwa juu na mchezajiGabrielPalettawa Italia.
Taswira uwanjani Wachezaji katika hali ya utulivu kwa ajili yaNyimboya taifakabla yaGroupDmechi ya sokakati yaEnglandnaItalia katika Uwanja wa AmazoniaManaus
Mshike mshike kati ya bekiwa ItaliaGiorgioChiellini(kulia) na Mchezaji wa EnglandGlenJohnson
Ilikuwa mapema mwanzoni mwa mchezo baada ya shuti kali la Mchezaji RaheemSterling kuelekea nje na kupelekea mashabiki wengi kushangilia wakidhani ni bao.
Andrea Pirloakijaribu kufanya yake mbele ya Mchezaji waEngland, JordanHenderson.
Katikati yamashabiki wa Italy anaonekana Mwanadada FannyNeguesha ambaye nimchumbawamchezaji wa ItaliaMario Balotelli.
Wayne Rooney(kushoto)chini ya udhibiti mkubwa kutoka wa beki wa ItalyMatteoDarmian.
Mlinda mlango wa Italy AndreaBarzaglianafanya kuutoa njiani mpira uliopigwa na Mchezaji wa England DannyWelbeck na pichani (kushoto) ni DanielSturridge wa England akiwa juu kwa kutegemea Kipa apoteze malengo yake.
ClaudioMarchisioakiachia nduki kali iliyopelekea shangwe upande wa Italy.
DanielSturridgealichukuadakika mbili tukusawazishakwaEngland.
DanielSturridgepichani (kulia) katika harakati za kusawazisha
DanielSturridge akishangilia bao lake kwa timu ya England.
Tukio la ajabu na GaryLewin kutoka benchi la ufundi la timu ya England akibebwakwenye machela.
Mpaka mapumziko England 1-1 Italy
Ni PhilJagielkaanaokoa mpira uliokuwa ukielekea nyavuni na hii kuwa salama ya England
Vile alivyo shangilia mchezaji MarioBalotelli baada ya kufunga bao la pili la ushindi wa Italy
MarioBalotelli akitupia bao la pilikwa njia ya kichwa.
Akiangalia mbele kuona wapi pakupita ni RaheemSterlingwaUingereza pichani (katikati)
Njia imefungwa anaonekanaWayneRooney akiwania mpira na GiorgioChielliniya Italia
Hakuna penati iliyotolewa pale Steven Gerrardalipo banwa juu kwa juu na mchezajiGabrielPalettawa Italia.