Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO...

Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa  wa vichwa  kujaa maji na mgongo wazi mkoani Kagera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAKATO KURA ZA MAONI CHADEMA JIMBO LA BUKOBA MJINI

Taswira nje ya Ukumbi wa Rumuli ,Mchakato wa Kura za maoni Ubunge Chadema jimbo la bukoba Mjini ukiwa unaendelea hivi sasa. Ndugu Meza pechani ambaye ni Mgombea nafasi ya Ubunge jimbo la Bukoba Mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MAGUFULI AREJEA JIJINI DAR BAADA YA KUJITAMBULISHA MIKOA KADHAA,APOKELEWA...

 Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Chalinze (hawapo pichani) alipokuwa akirejea jijini Dar jana jioni akitokea mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'LWAKIS' MUGANYIZI LWAKATARE AONGOZA KURA ZA MAONI UBUNGE CHADEMA BUKOBA

Wilfred Muganyizi Rwakatare akiongozana na wafuasi wake mara baada ya kutangazwa mshindi wa kura za maoni Ubunge Chadema Jimbo la Bukoba mjini katika uchaguzi uliofanyika jioni ya leo . 22 Matokeo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahojiano na Charles Magali ndani ya Washington DMV

Charles Magali akiwa ndani ya Kilimanjaro Studio zinazomilikiwa na Vijimambo Radio, Kwanza Production na NesiWangu MediaIjumaa ya Julai 24, 2015, mwigizaji na mwimbaji wa muziki nchini Tanzania Charles...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

“SIASA ZA BUKOBA” KIGANJANI KWAKO

“SIASA ZA BUKOBA” KIGANJANI KWAKO! Bukoba Wadau Media inapenda kuwafahamisha Wazawa wa Bukoba walioko nje ya Majimbo ya Bukoba kuwa imefungua Jukwaa la Whatsapp kwa jina “SIASA ZA BUKOBA” ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI VITI MAALUM UWT, WAZAZI NA WENYE ULEMAVU

Miongoni mwa Wabunge Viti Maalum ambao hawakupata kuchaguliwa tena ni Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Shamsha Mwangunga, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana na...

View Article

SWALI LA JUMAPILI NA MIMI MWANAKIJIJI

Swali la Jumapili: Hivi kweli kabisa CHADEMA baada ya miaka mitano ya kujijenga, kuhamasisha wananchi na wanachama wake na kutikisa malango ya CCM inahitaji wana CCM kugombea nafasi zake mbalimbali ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MITAZAMO MBALI MBALI JUKWAANI

Tuachane uroho wa madaraka kwa kuwadanga na kuwahadaa wananchi. Leo tunawaonyesha wezi na kuwafikisha mahabusu halafu kesho tunakula nao na kuwasifia kwa kazi zao. Wengine wanasema ety ana wafuasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANENO YA TUNDU LISSU KUPITIA FACEBOOK

Kupitia Ukurasa Wake wa Facebook Mh.Tundu Antiphas Lissu ameandika ujumbe huuEdward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajili mbaya Watu Kadhaa wapoteza maisha

Ajali mbaya imetokea eneo la Bugorora Kyaka asubuhi ya leo majira saa tatu kasoro,inahusisha Bus la Sabuni lililokuwa likitokea Karagwe na Land Cruiser ya kanisa taarifa za hawali zinasema watu si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA HOTUBA YA LOWASSA KUJIUNGA UKAWA

SIKILIZA HOTUBA  YA MH. LOWASSA HAPA CHINI MATUKIO YA PICHAYALIYOJIRI MKUTANO WA CHADEMA/UKAWA KUJIUNGA KWA LOWASSA. Lowassa akiingia kwenye ukumbi wa MkutanoMh. Lowassa na mke wake mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO YA BALOZI KAMALA KATIKA MKUTANO WA KURA ZA MAONI UBUNGE JIMBO LA NKENGE

Mgombea ubunge Jimbo la Nkenge kwa tiketi ya CCM,Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya, Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa wa Wagombea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EDO KUMWEMBE:NDOA YA UKAWA NA LOWASSA

By Edo Kumwembe, Mwananchi Jioni ya Januari 25, 1965 wakati Waingereza walipomzika Waziri Mkuu wao maarufu wa zamani, Winston Churchill katika makaburi ya St Martin’s Church, Bladon eneo la Oxford...

View Article


Misa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa Saturday...

MISA YA Shukurani Kutimiza siku Arubaini (40) ya MAREHEMU Mzee Samuel Mtabala LUANGISA- New York Saturday August 8, 2015. Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete atunukiwa shahada ya uzamivu chuo kikuu Newcastle nchini Australia

 Rasi Jakaya Mrisho Kikwete ametunukiwa shahada ya uzamivu ya heshima ya  sheria katika chuo kikuu cha Newcastle nchini Australia, leo tarehe 29/7/2015. Unaweza kusoma zaidi katika gazeti la the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIO RAHISI WOTE TUONE JAMBO KWA WAKATI MMOJA

SIO RAHISI WOTE TUONE JAMBO KWA WAKATI MMOJAKatika utendaji wa jambo lolote la kijumuia ambamo kuna timu ya viongozi ambao ndio hufikiwa na taarifa zote muhimu na kuelewa uelekeo halisi...sio rahisi...

View Article

Tundu Lissu: kwanini sikutokea Lowassa akijiunga CHADEMA?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA ASHRAPH KYOBYA 'MOTOTO WA IBWERA' MWENYE NDOTO YA KUWA MWANASIASA HODARI

Pichani ni Kijana  Ashraph Sadru Kyobya ,anayevutiwa kuwa mwanasiasa,Ni mzaliwa wa kijiji cha Ibwera Kati Wilaya ya Bukoba Vijijini ni kijana msomi  aliyepata elimu ya juu ngazi mwenye shahada ya...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>