Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO KURA ZA MAONI UDIWANI UKAWA BUKOBA MJINI

 Uchaguzi kura za maoni kata Hamugembe Chadema,Ndg Muhaji Kachwamba pichani  ameweza kuibuka kidedea kwa kura 27 dhidi ya kura 3 za mpinzani wake Mr. Masoud#‎SiasazaBukoba‬ Matokeo ya kura za maoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE,...

 Boniface Mwaitege, atakaye zindua albamu zake tatu hapo kesho. Faustine Munishi, mmoja wa waimbaji wa injili atakayetoa burudani.Upendo Kilahiro, atatumbuiza.Jesca Maguba (BN), atatumbizaAtosha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI SWAIBA BALOZI KAGASHEKI BUKOBA MJINI

EXCLUSIVEmatokeo ya kura za maoni ndani ya CCM Bukoba Mjini Balozi Kagasheki aibuka kidedea.‪#‎SiasazaBukoba‬ Matokeo ya Jumla Ubunge Bukoba Mjini 1.(SWAIBA) BALOZI (SWAIBA) KAGASHEKI KURA 6971...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YA KURA ZA MAONI CCM BUKOBA YETU

Tunaendelea kupokea matokeo ya kura za maoni ambazo zimekuwa zikiendelea hii leo Kutoka jimbo la Jimbo la Bukoba Vijijini Jason Rweikizaa naongoza kwa % kubwa dhidi ya Nazir Karamagi ,Kwa ufupi Ndugu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONGOROMAHANGA‬:ATANGAZA KUHAMA CCM

Naibu waziri wa kazi na ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake,Makongoro Mahanga ametangaza leo kujiunga na Chadema.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDANI WA RAIS WA BURUNDI AUAWA

Rais Pierre Nkurunziza pichani Mamlaka nchini Burundi inasema kuwa jenerali Adolphe Nshimirimana ameuawa. Imeripotiwa kuwa alifariki katika shambulizi la roketi katika gari lake kaskazini mwa mji mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAULID YA NDOA YA BI JADIDA BYABUSHA NA BW FAISARY BASHIR YAFANA

Mashallah,ndivyo anavyo onekana Bi harusi wetu pichani Bi Jadida Byabusha akiwa kapendeza sana sana tena sana jamani Ustaadh Ibrahim Byabusha (kushoto)ambaye ni Baba mdogo wa Bi Jadida katika picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIDA LA EUROMONEY LA UINGEREZA LATOA TUZO YA UFANISI KWA BENKI YA NMB TANZANIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto), akiwaonesha waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, Tuzo ya Ufanisi wa kibenki nchini Tanzania iliyotolewa na Shirika la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015 YOLANDA SHAYO AINGIZWA MITINI NA MUANDAJI

 Muandaji wa shindano la Miss Kilimanjaro Ambassador 2015,Jackline Chuwa adaiwa kuingia mitini na fedha za zawadi za warembo na malipo kwa watu aliofanya nao kazi kufanikisha shindano hilo.Habari za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU

 Hongereni Wapambanaji wa kata jirani za Ishozi na Ishunju Ndg William Rutta na Msafiri Matelephone , kila lililo jema katika kufikia malengo kwa hatua ijayo baada ya kura za maoni ,bila shaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU

 Hongereni Wapambanaji wa kata jirani za Ishozi na Ishunju Ndg William Rutta na Msafiri Matelephone , kila lililo jema katika kufikia malengo kwa hatua ijayo baada ya kura za maoni ,bila shaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI...

 Meneja wa Vifaa vya Huawei,  Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA WAZIRI MKUU KATIKA USIMAMIZA WA SHUGHULI ZA SERIKALI-MAONESHO YA...

Maafisa Utumishi Ofisi ya Waziri Bi.Ernajoyce P. Hallo (wa kwanza kushoto) na katikati ni Bi.Faith S. Lazaro wakisikiliza maoni ya Bw.Edward Osca Sodani kuhusu uboreshwaji wa huduma za serikali kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIP KUSHIRIKIANA NA COSAD CLINIC NA MADAKTARI WALIOPO BUKOBA KUBORESHA HUDUMA...

Mshauri wa kimataifa  wa kujitegemea wa kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd Fr. James Rutakwabyera pichani katika akizungumza katika kikao cha washauri wa ndani wa kampuni wa VIP wanaoishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIPUMBA: UKAWA WAMESHINDWA KUSIMAMIA MAKUBALIANO NITABAKI KUWA MWANACHAMA

LIPUMBA AJIUZULU: Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba ajiuzulu uenyekiti Dar leo, adai Ukawa wameshindwa kusimamia makubaliano, atabaki kuwa mwananchama.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KUTOKA MLIMANI CITY HAFLA YA WASANII KUMUAGA RAIS KIKWETE

Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOKUWA MADIWANI WA CCM MERU WAAMIA CHADEMA

Updates:Waliokuwa madiwani wote wa ccm toka halmashauri ya meru mkoani arusha wote wamehamia Chadema Ni tukio la muda mchache uliopita

View Article


TANGAZO LA KAZI

Kampuniya NOFO ya jijini Dar es Salaam, inayojihusishanauchapishajinauuzajiwavitabuvyahadithizawatoto,inatangazanafasikumizakaziyaafisamasoko. Wenye sifa zifuatazo watume maombi kupitia baruapepe...

View Article

MSIKILIZE MWINGULU NCHEMBA AKIPANGA KIKOSI CHA USHINDI CHA CCM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF JIJINI

 Sehemu ya Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Wananchi CUF, wakiwa wamejipanga Barabarani tayari kwa kumlaki, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>