Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAGUFULI AITEKA IRINGA AWAFAGILIA MWAKALEBELA, MWAMOTO

 Ulinzi ukiwa umeimarishwa wakati msafara wa Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli ukitoka kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa baada ya mkutano wa kampeni kumalizika Katibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA KAMA LULU TANGA

Mgombea wa nafasi ya urais kupitia Chadema anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, Mh.Edwrad Lowassa amelazimika kuahirisha mkutano mjini Tanga baada ya maelfu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA ZAIDI YA MARA NNE WAKATI AKIWA SAFARINI...

 Msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ukichanja mbuga kutokea jijini Tanga kuelekea jijini Dar es salaam mapema leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAGUFULI ANG'ARA DODOMA, AAHIDI KUWAPATIA VIJANA WANAOMALIZA VYUO VIKUU...

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye Kata ya Pagawa, Jimbo la Ismani, Iringa VijijiniAkihutubia Kwa nyakati toifauti katika kampeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAGUFULI ANG'ARA DODOMA, AAHIDI KUWAPATIA VIJANA WANAOMALIZA VYUO VIKUU...

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye Kata ya Pagawa, Jimbo la Ismani, Iringa VijijiniAkihutubia Kwa nyakati toifauti katika kampeni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YALIYOJIRI MJINI BUKOBA SIKU YA UTALII DUNIANI 2015

Mjini Bukoba Maadhimisho ya siku ya Utalii kwa mwaka 2015 yalifanyika siku ya Jumamosi  kwenye Viwanja vya fukwe za Kiroyera Siku ya Utalii Duniani huadhimishwa tarehe 27 Septemba ya kila mwaka ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA WAMO RAIA WA ETHIOPIA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.       Watu watano wamefariki dunia   Mkoani Mbeya katika matukio matatu tofauti likiwemo la ajali ya haice iliyosababisha vifo vya watu wanne mkoani hapa....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiunganisha alama ya vidole ya V ya Chadema, na kuifanya isomeke W akimaanisha Wananchi atakaowafanyia kazi akiingia Ikulu, baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

2nd PAN-AFRICAN MOSQUITO CONTROL ASSOCIATION (PAMCA) ANNUAL SCIENTIFIC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

2nd PAN-AFRICAN MOSQUITO CONTROL ASSOCIATION (PAMCA) ANNUAL SCIENTIFIC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

2nd PAN-AFRICAN MOSQUITO CONTROL ASSOCIATION (PAMCA) ANNUAL SCIENTIFIC...

View Article

MPOTO AFUNUKA KUHUSU SABABU YA YEYE KUTEMBEA PEKU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC yasema iko katika hatua ya mwisho ya kuboresha mfumo wa matokeo ya uchaguzi.

Tume ya taifa ya uchaguzi NEC iko katika hatua za mwisho za kuboresha mfumo wa matokeo ambapo ukimalizika vyama vya siasa vitaitwa kukagua na ikiwezekana wakae zaidi ya siku moja kufuatilia namna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA

Afisa Masoko wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) wa Tawi la Arusha, Regina Lema akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika maonyesho yaliyoandaliwa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya...

View Article

SHAIRI :WAZALENDO – 2015

WAZALENDO – 20151)    AWAMU YA TANO NDO HII, VIONGOZI KAMPENINITWAMUHITAJI SAHIHI, WALA SIO WA UTANIHAPA HAKUNA KUWAHI, SAFARI HII TUKO MAKINIBIBLIA QUR’AN, VIAPIE UKO MAKINI.2)    SAFARI HII TUMECHOKA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bi. Samia Suluhu Amnadi Dk Magufuli Majimbo ya Serengeti na Mwibara Musoma

Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) akiwahutubia baadhi ya wanaCCM na wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa kampeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA...

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiombewa Dua na mmoja wa kiongozi wa dini mara baada ya kusimamishwa na Wananchi wa kijiji cha Puma (hawapo pichani),alipokuwa akielekea mkoani Singida...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli anakikimbia chama chake au chama kinamkimbia?

Jenerali Ulimwengu Toleo la 425 Raia Mwema 30 Sep 2015KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadra sana, na kila upande unaohusika katika ukinzani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA LEO

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA-TANZANIA BUSINESS FORUM ON OCTOBER 6, 2015 IN NAIROBI, KENYA IN PICTURES

 Executive Director of Tanzania Investment Centre Ms. Juliet Kairuki welcomes the President of Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta to the Forum President of the Republic of Kenya  H.E. Uhuru Kenyatta...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>