AKA FT DIAMOND MAKE ME SING OFFICIAL VIDEO
Muziki wa Tanzania unazidi kupanda chati siku baada ya siku kutokana na kuanza kupenya sehemu mbalimbali duniani na hivyo kuwafanya wasanii wa Tanzania kuanza kupata kolabo na wasanii wakubwa barani...
View ArticleSIMULIZI USIKU WA LEO JUMAMOSI FEB 13,2016
Alimpenda mno mke wake, alijitahidi kumpa mkewe kila kitu kilochopo ndani ya uwezo wake, lakini mke wake hakuwa akiridhika na ku appriciate. Ingawa hakuwa tajiri lakini alijitahidi mno ku share kile...
View ArticleEMIGANI
1. Ab’atafile nka nyina, afa nka nyinazara 2. Aba owa njura tibafa 3. Ababegana embisi, tibabegana ehire 4. Ababi batamisa okuchura 5. Ababili bageya omoi 6. Abachumbi kukanya nikwo enyungu kuyenga 7....
View ArticleWatanzania watakiwa kuchangamkia fursa ya kwenda Ujerumani
MenejawaMasokowaStarTimes Tanzania, Bw. Damien Leo (katikati) akiwaonyeshawaandishiwahabarinambariyasmatikadiyamshindiwadrooyapiliyakujishindia safari yakwendaUjerumanimwishonimwa wiki jijini Dar es...
View ArticleORODHA YA PILI YA HATI MILIKI ZA VIWANJA VYA MRADI WA VIWANJA 5000
1. Mkurugenzi wa Manispaa Bukoba kwa ushirikiano na Dhamana ya Uwekezaji Tanzania-Maendeleo ya Miundombinu na Miradi(UTT-PID) anafurahi kutoa orodha nyingine ya rasimu ya hati miliki za viwanja...
View ArticleTASWIRA MBALIMBALI MJINI BUKOBA FEB 17,2016
Taswira mjini Bukoba, Picha iliyochukuliwa kwa juu maeneo ya Rwamishenye (round about)Msitu wa Kyamunene barabara ya Maruku Mwonekano wa Jengo la abiria la Kiwanja cha Ndege Mjini BukobaMbele ya Camera...
View ArticleKAITABA STADIUM YAELEKEA KUKAMILIKA KUWEKEWA NYASI BANDIA NAKUREJEA KWA...
Hatimaye matengenezo ya dimba(pitch) la kuchezea mpira wa miguu katika Uwanja maarufu wa mjini Bukoba ujulikanao kama Kaitaba Stadium yanaelekea mwisho kukamilika mara baada ya kuwasili kwa raba za...
View ArticleNMB yakabidhi milioni 75 kusaidia Mkutano wa Makamanda Jeshi la Polisi
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kushoto) akimkabidhi mfano wa cheki Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP-Ernest Mangu (kulia). Benki ya NMB imedhamini mkutano kazi wa Maofisa...
View ArticleMAAFISA UGANI WADAIWA KUCHANGIA CHANGAMOTO YA KILIMO WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA
Mtafiti Mkuu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Dk. Emmarold Mneney (kushoto), akizungumza na wakulima wa Kijiji cha Salama kilichopo Kata ya...
View ArticleMATOKEO YA AWALI UCHAGUZI UGANDA
11:26 Tume ya Uchaguzi imetoa mkumbo wa pili wa matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais ambayo yanaonesha Rais Yoweri Museveni ameweka pengo la kura milioni moja kati yake na Dkt Kizza Besigye. Matokeo...
View ArticleMATOKEO KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI YA KAIZIREGE YAONGOZA KITAIFA
Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza Kitaifa katika Mtihani wa Kidato cha Nne toka shule ya Canossa Girls.Anaitwa Butogwa Charles Shija, akiwa mwenye furaha, nyumbani kwa wazazi wake Kipunguni Jijini...
View ArticleMAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEB 20,2016
BUKOBAWADAU MEDIA tunapenda kukufahamisha kuwa tunao uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza...
View ArticleWAKULIMA BUTIAMA MKOANI MARA WAPATIWA MAFUNZO YA KUPASHANA HABARI ZA KILIMO...
Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Philbert Nyinondi (kulia), akizungumza na wakulima na Washiriki wa Mafunzo ya kutumia simu za mkononi kupashana habari za kilimo yaliyofanyika Kijiji...
View ArticleBARAZA LA WAFANYAKAZI SEKRETARIETI YA MKOA WA KAGERA LAZINDULIWA RASMI NA...
Sekretarieti ya Mkoa wa Kagera yafanya kikao cha Baraza la Wafanyakazi ambacho kilikuwa mahsusi kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wake, pili kuzindua rasmi Baraza la Wafanyakazi la Mkoa, na tatu...
View ArticleWanahabari waliminya sauti za wanawake Uchaguzi Mkuu - Utafit
Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Edda Sanga akifungua warsha ya wadau wa vyombo vya habari pamoja na baadhi ya wagombea wanawake, vijana na watu wenyeulemavu, ambayo pia ilishirikisha wahariri kutoka...
View ArticleTSOI WAFANYA SEMINA YA SIKU MOJA KWA WANAFUNZI WA KIKE TOKA VYUO VIKUU NA...
Mbunifu wa kazi za ufumaji na mmiliki wa Fflorinyan Designes Ms. Flora M. Kawa akizungumza jambo katika uzinduzi wa semina ya siku moja ya Wanafunzi wa Kike toka vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za...
View ArticleZAO LA NDIZI KULIMWA KIBIASHARA NA KUTAFUTIWA MASOKO YA KIMATAIFA ILI KUKUZA...
Wakulima na Wajasiliamali wa zao la ndizi Mkoani Kagera wapewa somo na shirika lisilokuwa la Serikali la BTC Tanzania (Belgium Training Cooperative Tanzania) juu ya kulima kwa wingi zaidi zao hilo...
View ArticleBUKOBA YETU LEO JUMAPILI FEB 21,2016
Muonekano wa Kisiwa cha Musila jioni ya leo Feb 21,2016Ukanda wa ziwa VictoriaTaa za Solar zinazo angazia maeneo ya Hotel ya Kolping Mjini Bukoba.Mitaa ya Uzunguni BukobaOmwana Koku Gtrezo Martin...
View Article