Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YETU YA LEO

KigomaLeo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA NA VIFAA TIBA KUWA NJIANI MIAKA MINNE BOHARI YA DAWA (MSD) YATOA UFAFANUZI

 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu akionesha moja ya nyaraka inayoonesha upelekaji wa dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Supastaa wa Malawi Tay Grin awapania Diamond na Vanessa

Rapper na supastaa wa Malawi, Tay Grin, amedai kuwa ana mpango wa kuwashirikisha Diamond Platnumz na Vanessa Mdee. Tay ambaye hivi karibuni aliachia video ya wimbo‘Chipapapa’aliomshirikisha msanii wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:ABIRIA WANUSURIKA AJALI YA NDEGE MJINI BUKOBA LEO

BREAKING NEWS: ABIRIA WANUSURIKA AJALI YA NDEGE MJINI BUKOBA HII LEOWatu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO LA VUNJO ,JAMES MBATIA AKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA WAHANGA...

Diwani wa kata ya Kahe ,Rodrick Mmanyi akizungumza baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Maafa nchini,Brigedia Jenerali ,Mbazi Msuya kutembelea kata hiyo kutizama athari zilizotokana na mafuriko. Baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADUKA YATAKAYOTOA HUDUMA YA KUUZA SUKARI !

Serikali mkoani Kagera imesitisha uuzwaji wa sukari kwa biashara ya jumla, badala yake imetenga maduka maalumu kwa kila kata yatakayohusika kuwauzia wananchi sukari kwa bei elekezi ya Serikali,lengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein kabla ya kuanza kikao cha Baraza la Mawaziri katika ukumbi wa TAMISEMI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO GERTRUDE CLEMENCE ATEMBELEA BUNGE

Mtoto Gertrude Clemence wa shule ya sekondari Mnarani Mwanza Ilemela na wanafunzi wenzake amepokelewa kwa shangwe Bungeni leo baada ya kurejea kutoka New York Marekani Umoja wa .Mataifa alipohutubia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU TAWALA MPYA WA MKOA WA KAGERA AKABIDHIWA RASMI OFISI NA KUANZA...

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Bw. Amantius Msole tayari amewasili mkoani hapa ili kutekeleza majukumu yake ya kazi mara baada ya kuteuliwa  tarehe 25 Aprili, 2016 na kuapishwa tarehe 27 Aprili, 2016...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA WANACHAMA WA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN)

Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini 'Tanzania Bloggers Network'– TBN inawaomba wanachama wake wote kutotumia taarifa ama habari au picha yoyote kutoka katika mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika Mkoani Dodoma. Kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALI YA BARABARA KATIKATI YA MJI WA BUKOBA

Hali ni tete barabara ya katikati ya Mji wa Bukoba kutokana na mashimo yaliyojaa maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha. Pichani ni muonekano wa barabara kutokea kituo kikuu cha Stendi ya Mabasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazetini leo Ijumaa May 6

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU SPIKA ACKSON AFUNGUA SEMINA KWA WABUNGE YA UELEWA WA HAKI ZA WATU WENYE...

 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Dk Abdallah Possi (kulia), akiwasilisha mada katika semina ya Wabunge kukuza na kuimarisha usawa wa watu wenye ulemavu nchini, kwenye Ukumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MBALIMBALI ZA RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIONGEA NA WANANCHI WA JIJI...

 taswira mbalimbali za Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli alipkuwa akiongea na wananchi wa Arusha wakati akirejea Ikulu ndogo toka Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Kijeshi cha Monduli leo Mei 7, 2016...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA UTAMADUNI WA KARAGWE KUFANYIKA TAREHE 21-22 MAY 2016

Ndugu wadau,Kutakuwa na hitimisho la siku ya utamaduni ambapo wananchi wa Karagwe wataadhimisha utamaduni wa mnyambo ikiwa ni pamoja na kutambua historia na waliojitolea kuhakikisha hostoria hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KAGERA AHIMIZA VIONGOZI WOTE KUSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA...

Katika kikao cha Kamati ya Mkoa wa Kagera cha Huduma ya Afya ya Msingi Mkuu wa Mkoa Mhe. Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu aliwaagiza uongozi wa Halmashauri za Wilaya kuhakikisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy Bday Baba Askofu Nestor Timanywa

Happy Bday kwake Baba Askofu Nestor Timanywa

View Article

B/NEWZ:OFISA AJINYONGA KAGERA

Katibu wa Tume ya Utumishi na Nidhamu ya Walimu (TSD ) Wilaya ya Muleba, Manase Mkumbo amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga shambani mwake katika Kijiji cha Kyamyorwa wilayani humo.Mkuu wa Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO JUMANNE MAY 10,2016

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>