Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: ANKAL MICHUZI AFIWA NA MWANAE

Ankal Issa Michuzi anasikitika kutangaza kifo cha mwanae Maggid Muhidin kilichotokea jana Jumapili huko Durban, Afrika Kusini, alikokuwa masomoni.Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu inafanywa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA UK DIASPORA GLASGOW.

Tunasikitika kuwatangazia msiba wa Mtanzania mwenzetu Bi Mwasaburi Hajikilichotokea Jumamosi jioni huko Glasgow Scotland.Mipango ya mazishi inaendelea na mtajulishwa tarehe ya mazishi.Msiba uko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA KUSHUHUDIA COPA AMERICA LIVE KUPITIA STARTIMES

 Meneja Uhusiano wa Kampuni ya StarTimes Tanzania, Mohamed Kimweri (kushoto), akizungumza katika na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kampuni hiyo kupata haki za kuonesha michuano ya Copa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MJINI BUKOBA LEO

 Muonekano wa barabara ya tupendani jirani na Bank ya CRDB Tawi la BukobaTaswira mbalimbali katikati ya mji ya Bukoba Swala zima la mchakato wa kitoweo cha SeneneMdau Samuel Lugemalila pichani kushoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilele cha wiki ya utamaduni Karagwe May 21, 2016

 MwanaKaragwe na Mtanzania kwa ujumla unakaribishwa kuhudhuria siku hii muhimu. Njoo ujionee utamaduni wako. Njoo uijue historia tajiri ya Karagwe.Unakaribishwa pia kwenye majadiliano ya kihistoria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WENGI WAIBARIKI BAJETI WIZARA YA AFYA

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalim akihitimisha majumuisho ya makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017, bungeni Dodoma usiku huu. Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA WAKADIRIAJI MAJENZI, AFRIKA...

 Rais wa Chama cha Wakadiriaji Majenzi Tanzania (TIQS), Samuel Marwa (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo (hawapo pichani), kuhusu Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO IJUMAA MAY 13,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA LEO MAY 16,2016

Kwa chief Nyalubanja Muleba 'Omkikale'

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGGERS WATINGA BUNGENI KWA MWALIKO WA WAZIRI NAPE

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (aliyevaa tai) akiwa katika picha  ya pamoja na wamiliki wa Blogs  (Bloggers) aliowaalika wakati wa kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIFUNZE WEWE MWANAMKE ULIYE SINGLE.

JIFUNZE WEWE MWANAMKE ULIYE SINGLE. 1. Kamwe usisahau kumuomba Mungu wako kabla hujasema "YES" kwa yule unaedhani anapaswa kujenga maisha na wewe. Usikimbilie kuolewa. Kama utakimbilia kuolewa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMUHIMU WA MAWASILIANO KATIKA MAHUSIANO!

Kama mwanaume hakupigii simu au hata ujumbe mfupi wa maneno kukujulia hali ila wewe ndio wa kufanya hivyo kila siku ni kwa sababu hataki kukupigia simu wala kukutumia sms. Kama hataki kukupa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NUKTA NYEUSI (REPOST)

Siku moja professor wa saikolojia aliingia darasani na kuwaambia wanafunzi wake wajiandae na Test anayowapa muda huo huo. Wanafunzi walisubiri kwa uoga mno hasa ukizingatia aliwaambia ghafla mno....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUKURANI TOKA KWA FAMILIA YA ANKAL KUFUATIA MSIBA WA MWANAE MAGGID

Familia ya Ankal Muhidin Issa Michuzi  inapenda kutoa  shukrani nyingi sana sana kwa ndugu, jamaa, majirani, marafiki na wafanyakazi wenzie kwa kujitoa kwa hali na mali katika wakati huu mgumu wa msiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC PAUL MAKONDA ASEMA WANAWAKE NDIO CHANZO CHA UFISADI NCHINI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akikagua machinjio ya Vingunguti baada ya kuzungumza na wananchi wa Kata ya Mnyamani Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilele cha wiki ya utamaduni Karagwe May 21, 2016

 MwanaKaragwe na Mtanzania kwa ujumla unakaribishwa kuhudhuria siku hii muhimu. Njoo ujionee utamaduni wako. Njoo uijue historia tajiri ya Karagwe.Unakaribishwa pia kwenye majadiliano ya kihistoria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:NDEGE YAPOTEA HUKO MISRI

Breaking News:Ndege nyingine yapotoa huko Misri.Egypt Air passenger jet disappears from radar.Flight MS804 from Paris to Cairo with 69 people on board vanished after entering Egyptian air space.Further...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IJUE NUSU YA MWEZI WA SHAABANI

IJUE NUSU YA MWEZI WA SHAABANI UTANGULIZI:Ikiwa leo ni tarehe 20 Mei 2016 ni sawa na tarehe 13 mwezi Shaabani 1437H. Wakati naandika makala hiiniko katika Miji Mitakatifu ya Makkah na Madinah...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI DODOMA JANA

 Naibu Waziri wa Tamisemi, Seleman Jaffo akijadiliana jambo na Mbunge wa Busokelo, Atupele Mwakibete kwenye viwanja vya Bunge, mjni Dodoma. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO IJUMAA MAY 20,2016

Introducing the long awaited New Windhoek Bottle in Tanzania to create a new experience for you. Same beer, same taste. Try our smart new look and feel great. ‪#‎AfricasWorldClassBeer‬

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>