Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USALITI NI KAZI NZITO MNO !

 Unatakiwa kufuta meseji, kuweka password kwenye simu, kutumia gharama nyingi za kuandaa venue ya kukutania na mchepuko ikiwemo na kumhudumia (kwa wanaume), kufuta meseji katika mitandao ya kijamii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAMERA YETU MTAANI LEO IJUMAA MAY 20,2016

Ghuba lililojaa uchafu ndani na nje ya eneo la soko kuu Mjini Bukoba Kijana Mkhusini kama alivyokutwa akiwa na mpwa wake mtaani mapema ya leo Taswira mjini kati na Camera yetu leo Ijumaa May...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MSIBA MKUBWA MEI 21 MIAKA 20 YA AJALI YA MELI YA MV.BUKOBA

Mei 21,1996 katika ziwa Victoria,Mwanza Tanzania meli ya Mv Bukoba ilipata ajali na zaidi ya watu 800 kupoteza maisha yao.Meli ilizama kilomita 30 kukaribia kutua nanga kwenye bandari ya mwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KITWANGA ASIMAMISHWA KAZI RASMI

‎Rais‬ wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Charles Kitwanga kuanzia leo tarehe 20 Mei, 2016.Rais Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIKIBA - AJE (Official Video)

ALIKIBA - AJE (Official Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANA YA BAADHI YA MANENO AMBAYO WANAWAKE HUTUMIA.

1. Sawa bwana (fine)"Sawa" ni neno ambalo hutumiwa na wanawake kumaliza mabishano na mpenzi wake. Wakisema hivyo ujue wanahitaji mwanaume unyamaze hawataki kusikia mabishano na makwazo yako. 2. Dakika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KIFO CHA MULANGIRA MOMICIAN KYAI

TANZIA:Taarifa ya Kifo cha Mulangira Domician Kyai Kapisi kilichotokea alfajiri ya jana tarehe 20 May katika Hospitali maalum ya Tumbi Kibaha,Shughuli ya mazishi inatarajiwa kufanyika nyumbani kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHOW YA MIAKA 16 YA JUMA NATURE KUFANYIKA KESHO JUMAPILI MAY 22 LINAS CLUB...

SHOW YA MSANII mwenye jina kubwa katika muziki wa Bongo Fleva nchini, Juma Kassim Kiroboto 'Juma Nature' itafanyika kesho Jumapili May 22 katika Ukumbi wa Linas Night ClubWakazi wa Mji wa Bukoba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANACHUO BENADETHA MSIGWA ANAOMBA MSAADA ILI AKATIBIWE MACHO

Jaman wapendwa kuna mwanafunzi mwenzetu amepata upofu akiwa chuo na sisi kama wanafunzi tumeamua kumchangia pesa kama inawezekana akatibiwe ila inahitaji kama milion 30 kwa hiyo kwa yeyote atakaeguswa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE MAY 24,2016

Introducing the long awaited New Windhoek Bottle in Tanzania to create a new experience for you. Same beer, same taste. Try our smart new look and feel great. ‪#‎AfricasWorldClassBeer‬Magazeti ya leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI WASHIRIKI MAZISHI YA OMULANGIRA DOMICIAN KYAI KIJIJINI KIKUKWE - KANYIGO

Ndivo linavyo onekana Jeneza lenye mwili wa Marehemu Omulangira Domician KyaiBaadhi ya wajukuu  wakiendelea kutekeleza mira na desturi Umati wa waombolezaji washiriki shughuli ya maziko ya Omulangira...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA KARIAKOO FAMILY DEVELOPMENT FOUNDATION (KFDF) WAFANA

Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Kariakoo family Development Foundation Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi polisi mstaafu Jamal Rwambow akiogea machache na  amekitaka  chama hicho kujali maendeleo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BWANA EDWIN MASHAYO NA BI. MARY MOLLEL WAUAGA UKAPELA

Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakionyesha vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam leo May 28, 2016. Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'Nyakijoga' Kituo cha Hija cha Parokia ya Mugana

Kituo hiki kilianza mwaka 1954 kama kituo cha Hija cha Parokia ya Mugana.Wakati huo Parokia ya Mugana ilikuwa ikijiandaa kuadhimisha Jubilei ya Miaka 50 tangu ilipoanzishwa. Jubilei ilikuwa iadhimishwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‎BREAKINGNEWS:SINTOFAHAMU BUNGENI LEO MAY 30,2016

#‎BREAKINGNEWS‬: Wabunge bila kujali itikadi zao za kivyama wametoka nje ya kikao cha Bunge baada ya Naibu Spika kukataa kauli ya serikali kuhusu wanafunzi wa Chuo cha Dodoma waliosimamishwa kujadiliwa.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANCDA YAPIMA AFYA ZA WABUNGE DODOMA

 Mbunge wa Viti Maalum, Bupe Mwakang'ata (CCM) Mkoa wa Rukwa, akipimwa mapigo ya moyo wakati wa programu maalumu ya wabunge kupimwa afya zao. Programu hiyo ilifanywa bure na Shirikisho la Vyama vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

#‎TAARIFA‬ YA MSIBA WA MZEE AUGUSTINE RUTABANDAMA KALEMERA

#‎TAARIFA‬ YA MSIBA:Mama Mary KALIKAWE wa Kiroyera Tours na mdogo wake Rose Kalemera waanasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mzee Augustine Rutabandama Kalemera kilichotokea Ijumaa tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA KUGAWA MASHINE ZA EFD BILA MALIPO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO MKOA WA DAR...

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alfayo Kidata

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA PICHA SHUGHULI YA MATANGA MSIBA WA OMULANGIRA DOMICIAN KYAI

Muonekano wa Kaburi lenye Mwili wa Marehemu  Bwana Honest Mushobozi pichani wakata akiwasili kushiliki Misa ya Matanga ya Fr .Medericus Kyaruzi wa Parokia ya Mugana  akiongoza Misa ya Shukrani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA INAUZWA BEI NZURI IPO MAFUMBO -BUKOBA MJINI

Ni Nyumba ya kuishi familia iko vizuri kabisa na maeneo mazuri,Jirani na barabara 1. Ipo Mafumbo *(Society)* 2.Ina vyumba 3 kimoja master. 3. Sitting,dinning, public toilet. 4. Ina Parking ya Gari...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>