Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO ALHAMIS FEB 23

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA MKURUGENZI WA NAMAINGO KUIMARISHA UJASIRIAMALI MIKOANI

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Ubwa Ibrahim akiwa katika moja ya ,ya mikoa kukagua na kuimarisha shughuli za Wajasiriamali wanachama wa kampuni hiyo katika mikoa mbalimbali nchini....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAST AFRICA CHORAL AND CULTURAL DANCE FESTIVALS:BUKOBA

 EAST AFRICA CHORAL   AND CULTURAL DANCE FESTIVALS: BUKOBA, TANZANIAExecutive Summary & Concept Paper Drawn by Smart P. Baitani, (BA, MBA, PMP)                             President & CEO of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAMZIKA TWAHA YUNUS MSOKE KIJIJINI KISHANDA MULEBA LEO ALHAMISI FEB...

 Sheikh wa Mtaa wa Kishanda, Sheikh Selemani akiongoza Dua mara baada ya Sala ya kusalia Maiti ya Marehemu Twaha Yunus (Msoke) aliyekuwa Meneja wa Lake Hotel Bukoba kwa muda mrefu. Sala ya kusalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Akutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya...

Rais Mstaafu na  Mjumbe Maalum wa Kamisheni ya Kimataifa ya Kupendekeza Namna Bora ya Kugharamia Fursa za ELimu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU ALHAJ ALLY HASSAN MWINYI KATIKA SHEREHE YA UHURU WA KUWAIT USIKU...

 Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akipokea zawadi ya mchoro toka kwa Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya...

View Article

TETEMEKO LA ARDHI RUKWA

 TETEMEKO RUKWA: Tetemeko la ardhi la ukubwa wa 5.7 limetokea huko Sumbawanga mkoani Rukwa usiku wa kuamkia leo, RPC George Kyando asema hakuna madhara yaliyoripotiwa #GazetiNiMwananchi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU AONGEA NA WANAHABARI  ATANGAZA KUAMIA CHADEMA

"Nilipokua kada, nilijitoa muda wangu na maisha yangu. Lakini, nilivyotegemea havikutokea. Sisemi nilitaka kubebwa au la" - Wema Sepetu "Nilizaliwa na kulelewa ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Baba yangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YAUA WATU WANNE MJINI BUKOBA

Ajali imetokea jioni ya leo Ijumaa Mjini Bukoba baada ya Bus la Rweikiza Mediam School kufeli break na kuwagonga waendesha bodaboda waliokuwa wameegesha kandokando mwa barabara ya Rwemishenye ,taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA KILIMO CHA BANGI WILAYANI NGARA NA BIHARAMULO

Jeshi la polisi katika wilaya za Ngara na Biharamulo mkoani Kagera linawashikilia wakazi watano wa wilaya hizo kwa kujihusisha na kilimo cha bangi ambayo ni madawa ya Kulevya huku wakihusika kuharibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Akutana na Rais wa Ivory Coast Mheshimiwa...

Rais Mstaafu na Mjumbe Maalum wa Kamisheni ya Kimataifa ya Elimu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jana tarehe 23Februari 2016 amekutana na kufanya mazungumzo  na Rais wa Ivory Coast, Mhe. Alassane Ouattara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS YOWERI MUSEVENI AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU MBILI NA KUREJEA NCHINI KWAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AMUAPISHA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI PAMOJA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Thobias Andengenye kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIUNGE NA 'GANYAMUKANDA SYNDICATE' WADAU WA MAENDELEO KATA YA KISHANDA MULEBA

 Wajumbe wa kamati ya shule ya msingi Ganyamukanda wakiwa na wawakilishi kutoka Ganyamukanda syndicate. Fatuma Abdallah na diwani Charles Kinubi Muonekano wa Chumba Kimoja cha Darasa ulioanzishwa  hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU KATIKA KANISA KATOLIKI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Ibada ya Jumatano ya Majivu pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamini Wiliam Mkapa, Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA EATV NA HAWA FOUNDATION WAZINDUA KAMPENI YA KUCHANGISHA FEDHA...

Kituo cha televisheni cha EATV kwa kushirikiana na taasisi ya haki za wanawake (HAWA), wamezindua kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wasichana na wanafunzi wa shule za sekondari nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AMTEUA MAMA SALMA KIKWETE KUWA MBUNGE

Rais John Magufuli amemteua Mama Salma Kikwete kuwa mbunge kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA PICHA SHUGHULI YA MATANGA YA BALOZI RWEGASIRA NA ESTHER RWEGASIRA

Familia ya Marehemu Balozi Joseph Rwegasira na Mama Esther Rwegasira,siku ya Jana Feb 28,2017 wameungana na ndugu jamaa na marafiki katika shughuli ya Ibada ya kumbukumbu na kuanua matanga iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSHEMBA TRINITY SCHOOL NI TUNDA LINALOCHIPUKIA KAGERA NA TANZANIA

Mushemba Trinity School Bukoba ni shule ambayo ilianzishwa mwaka 2012 ikiwa na watoto 26 hasa wenywe uitaji katika jamii lakini pia kutoka katika familia za kawaida, ni shule ya Bweni na kutwa, ila kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ahadi za Rais Dkt. Magufuli zatekelezwa katika ziara yake mikoa ya Kusini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki la Watakatifu Wote Jimbo la Mtwara Fr. Patrick Mwaya mara baada ya mahubiri katika Kanisa...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>