Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BI ZAHARA A.RAMADHAN AFADHILI NA KUJENGA MSIKITI KIJIJINI KWAO ITOMA-KATORO...

Bi Zahara Abdullah Ramadhan pichani kulia amefadhili kikamilifu ujenzi wa msikiti katika kijiji chao anachozaliwa Katoro -Itoma Bukoba Vijijini,Bi Zahara amejitolewa kuwajengea waumini wa Kiislam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI KWA WATUMISHI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa Watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI WA BULYANHULU WAONESHA VIFAA NA MBINU ZA KISASA ZA UOKOAJI MGODINI

Maonesho ya wiki ya usalama na afya kazini yameendelea katika viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na kampuni ya uchimbaji madini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA KATOLIKI LA KRISTO MFALME...

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Fredrick Shoo akimsomea mstari wa Biblia kutoka kitabu cha Yeremia 17: 7-8 kabla ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MGUFULI APATA CHAKULA CHA MCHANA NA VIONGOZI WA DINI WA MKOA WA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na viongozi wa dini wa mkoa wa Kilimanjaro baada ya kupata nao chakula cha mchana katika Ikulu ndogo mjini Moshi leo Aprili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitabasamu wakati Wafanyakazi wa Taasisi mbalimbali za Umma na Binafsi wakiwa katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONI YA MDAU KUHUSU CHANGAMOTO KATIKA KATA YA KATORO

@bukobawadau ,Asante sana kwa kutoa Documentary fupi kuhusu Katoro (Bukoba Vijijini). Katoro ni nyumbani kwetu. Nimefurahi kusoma na kuona yaliyojiri wakati mlipotembelea Katoro. Mchango wangu kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABIBI NA MABWANA SKY MOTEL WAME TUALIKA MSIMU HUU WA PASAKA KUPATA HUDUMA...

 Katika kipindi hiki cha sikukuu SKY MOTEL wamewaandalia ofa kabambe katika huduma zote zinazopatikana sky motel. Karibu Sky Motel utapokelewa vizuri na kuhudumiwa na wahudumu wetu vizuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PASAKA HII HARMORAPA KUWEKA HISTORIA! KUSHUKA NA HELIKOPTA DAR LIVE!

Pasaka hii Harmorapa kuweka historia! Kushuka na Helikopta Dar Live! Mashabiki wake wa mwanzo kuingia BURE! Wengine kiingilio shs 5000 tu!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AZINDUA MAJENGO YA HOSTELI MPYA ZA UDSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika viwanja vya Hostel mpya 20 za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Hostel hizo leo Jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais John Magufuli atoa zawadi za Pasaka kwa Makundi maalum

Kamishna wa Ustawi wa Jamii  kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bw. Rabikira Mushi akikabidhi zawadi za Pasaka kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUKA LA KISASA LA GSM MALL LAUNGUA MOTO DAR

 Magari ya Zimamoto na Uokoaji yakiwa nje ya Duka kubwa la GSM Mall tayari kuzima moto uliokuwa unaunguza duka hilo katika Barabara ya Nyerere eneo la Mtava, Dar es Salaam. Chanzo cha moto huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIILI YA ASKARI NANE WALIOUAWA NA MAJAMBAZI MKOANI PWANI YAAGWA RASMI,WAZIRI...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchini, Mwigulu Nchemba, akitoa heshima za mwisho Dar es Salaam leo mbele ya majeneza yenye miili ya askari nane waliouawa na majambazi Kibiti wilayani Mkuranga mkoani Pwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHAZ + VIDEO: JUMA NATURE ASEPA NA KIJIJI DAR LIVE

Msanii Nguli wa Bongo Fleva, Juma Kassim 'Nature' akipanda jukwaani.SHANGWE zilikuwa shangwe usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, namaanisha Dar Live ambapo wakali wa kudondosha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pichaz +Video: Harmorapa Aandika Historia Mpya Dar Live, Apiga Shoo ya Kibabe

Harmorapa si wa mchezo mchezo! Usiku wa kuamkia leo Ameandika Historia Mpya ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, nazungumzia Dar Live uliopo Mbagala Zakhiem baada ya kudondosha Bonge la Shoo tofauti n...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI U.W.T MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA DINI YA KIISLAMU TAMBAZA DAR...

 Mkuu wa Idara ya Biashara na Mlezi wa Wanafunzi wa Sekondari ya Tambaza, Abdul aziz Said  akizungumza na Wazazi  na wahitimu wa shule hiyo wakati wa Mahafali ya  Elimu ya Dini ya kiislam ya Sekondari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MCHANA WA PASAKA MJINI BUKOBA

Pata matukio ya picha yaliyojiri mchana wa Pasaka Mjini Bukoba ,Kwa walioamini Pasaka  ni sikukuu ya kufanya ukumbusho wa kufufuka kwake Yesu Kristo Umati mkubwa wa Watoto na Vijana wa Umri mbalimbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAUZA TAMTHILIA NA FILAMU ZA NJE WAANDAMANA KUIOMBA SERIKALI...

Vijana ambao ni machinga wanaouza CD za Tamthilia na filamu za kizungu,Kihindi na za kutoka bara la asia  wakionesha cd hizo juu wakati wa mkutano na waandishi wa habari mtaa wa Aggrey eneo la Kariakoo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILAYANI NGARA:RISASI ZAOKOTWA ZIKIWA ZIMETELEKEZWA

 Askari polisi wa wilaya ya Ngara mkoani Kagera akishuhudia  Risasi 193 za silaha mbalimbali zinazotumika kuuwa wanyama kwenye hifadhi baada ya kuokotwa kandokando ya mto Ruvubu katika daraja kuu la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA JULIUS MTATIRO KUHUSU VURUGU ZA WANACHAMA CUF

MUNGIKI WA LIPUMBA WAVAMIA “PRESS” YA CUF, WAPIGA WAANDISHI WA HABARI NA VIONGOZI, MUNGIKI MMOJA AJERUHIWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI! TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. (Imetolewa na Julius Mtatiro,...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>