KUNA MWENENDO MZURI KATIKA SOMO LA KISWAHILI-TWAWEZA
Na Hassan Silayo Mwenendo wa somo la Kiswahili nchini umeendelea kuimarika na hii ni kutokana na jitihada mbalimbali ziliwekwa na serikali katika somo hilo. Akitoa ripoti matokeo ya utafiti wa...
View ArticleATHARI YA MAZINGIRA BAADA YA MVUA YA MAFURIKO BUKOBA
Athari ya mazingira kandokando mwa ziwa Victoria kutokana na mvua kubwa zilizonyesha maeneo mbalimbali mkoani Kagera siku ya jumapili April 9,2017 na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo Mvua...
View ArticleMABIBI NA MABWANA SKY MOTEL WAME TUALIKA MSIMU HUU WA PASAKA KUPATA HUDUMA...
Katika kipindi hiki cha sikukuu SKY MOTEL wamewaandalia ofa kabambe katika huduma zote zinazopatikana sky motel. Karibu Sky Motel utapokelewa vizuri na kuhudumiwa na wahudumu wetu vizuri...
View ArticlePASAKA HII HARMORAPA KUWEKA HISTORIA! KUSHUKA NA HELIKOPTA DAR LIVE!
Pasaka hii Harmorapa kuweka historia! Kushuka na Helikopta Dar Live! Mashabiki wake wa mwanzo kuingia BURE! Wengine kiingilio shs 5000 tu!
View ArticleRAIS MAGUFULI AZINDUA MAJENGO YA HOSTELI MPYA ZA UDSM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika viwanja vya Hostel mpya 20 za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Hostel hizo leo Jijini Dar...
View ArticleRais John Magufuli atoa zawadi za Pasaka kwa Makundi maalum
Kamishna wa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bw. Rabikira Mushi akikabidhi zawadi za Pasaka kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
View ArticleDUKA LA KISASA LA GSM MALL LAUNGUA MOTO DAR
Magari ya Zimamoto na Uokoaji yakiwa nje ya Duka kubwa la GSM Mall tayari kuzima moto uliokuwa unaunguza duka hilo katika Barabara ya Nyerere eneo la Mtava, Dar es Salaam. Chanzo cha moto huo...
View ArticleMIILI YA ASKARI NANE WALIOUAWA NA MAJAMBAZI MKOANI PWANI YAAGWA RASMI,WAZIRI...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchini, Mwigulu Nchemba, akitoa heshima za mwisho Dar es Salaam leo mbele ya majeneza yenye miili ya askari nane waliouawa na majambazi Kibiti wilayani Mkuranga mkoani Pwani...
View ArticlePICHAZ + VIDEO: JUMA NATURE ASEPA NA KIJIJI DAR LIVE
Msanii Nguli wa Bongo Fleva, Juma Kassim 'Nature' akipanda jukwaani.SHANGWE zilikuwa shangwe usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, namaanisha Dar Live ambapo wakali wa kudondosha...
View ArticlePichaz +Video: Harmorapa Aandika Historia Mpya Dar Live, Apiga Shoo ya Kibabe
Harmorapa si wa mchezo mchezo! Usiku wa kuamkia leo Ameandika Historia Mpya ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, nazungumzia Dar Live uliopo Mbagala Zakhiem baada ya kudondosha Bonge la Shoo tofauti n...
View ArticleMWENYEKITI U.W.T MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA DINI YA KIISLAMU TAMBAZA DAR...
Mkuu wa Idara ya Biashara na Mlezi wa Wanafunzi wa Sekondari ya Tambaza, Abdul aziz Said akizungumza na Wazazi na wahitimu wa shule hiyo wakati wa Mahafali ya Elimu ya Dini ya kiislam ya Sekondari...
View ArticleTASWIRA MCHANA WA PASAKA MJINI BUKOBA
Pata matukio ya picha yaliyojiri mchana wa Pasaka Mjini Bukoba ,Kwa walioamini Pasaka ni sikukuu ya kufanya ukumbusho wa kufufuka kwake Yesu Kristo Umati mkubwa wa Watoto na Vijana wa Umri mbalimbali...
View ArticleVIJANA WAUZA TAMTHILIA NA FILAMU ZA NJE WAANDAMANA KUIOMBA SERIKALI...
Vijana ambao ni machinga wanaouza CD za Tamthilia na filamu za kizungu,Kihindi na za kutoka bara la asia wakionesha cd hizo juu wakati wa mkutano na waandishi wa habari mtaa wa Aggrey eneo la Kariakoo...
View ArticleWILAYANI NGARA:RISASI ZAOKOTWA ZIKIWA ZIMETELEKEZWA
Askari polisi wa wilaya ya Ngara mkoani Kagera akishuhudia Risasi 193 za silaha mbalimbali zinazotumika kuuwa wanyama kwenye hifadhi baada ya kuokotwa kandokando ya mto Ruvubu katika daraja kuu la...
View ArticleTAARIFA YA JULIUS MTATIRO KUHUSU VURUGU ZA WANACHAMA CUF
MUNGIKI WA LIPUMBA WAVAMIA “PRESS” YA CUF, WAPIGA WAANDISHI WA HABARI NA VIONGOZI, MUNGIKI MMOJA AJERUHIWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI! TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. (Imetolewa na Julius Mtatiro,...
View ArticleUJUWE MJI MDOGO WA KATORO BUKOBA VIJIJINI
Katoro (Bukoba) ni jina la kata ya Wilaya ya Bukoba Vijijini katika Mkoa wa Kagera, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 11,076 waishio humo. Katoro ni...
View ArticleKAGERA SUGAR YARUDISHIWA POINT ZAKE TATU
Kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji imebatilisha uamuzi wa kamati ya masaa 72 kwa kuipa Simba pointi tatu na kuzirudisha Kagera Sugar
View ArticleJARIDA LA MTANDAONI LA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT) APRILI-JUNI 2017.
NIT ONLINE NEWSLETTER, APRILI-JUNE 2017 by Chuo cha Usafirishaji on Scribd
View ArticleKONGOMANO LA UVCCM MKOA WA KAGERA KUHUSU CCM MPYA/TANZANIA MPYA,APRIL 29!!
UVCCM Mkoa Kagera inakukaribisha Katika Kongamano la Darasa la Itikadi kuhusu CCM MPYA/TANZANIA MPYA. Kongamano hilo litafanyika tarehe 29. 04. 2017 kuanzia saa 3 asubuhi hapa hapa Bukoba mjini. Mgeni...
View Article