Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Korogwe Ajitosa Majini kuokoa wananchi wake!!

 Profesa Maji Marefu ( Steven Ngonyani ) Mbunge wa Korogwe Vijijini akiokoa watu wake jimboni. Hakika huyu ni Mbunge wa watu!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZIMELETA ATHARI YA MIUNDOMBINU KEMONDO BUKOBA

 Mvua zinazoendelea kunyesha Bukoba zimeleta athari mbalimbali kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kuharibu miundombinu ya barabara Eneo la Bulila Kemondo Bukoba Vijijini ,Barabara ikiwa imekatika kufuata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA ALIVYOSHIRIKI KATIKA DHIFA YA KITAIFA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wageni mbalimbali (hawaonekani pichani) waliohudhuria katika Dhifa ya Kitaifa aliyomwandalia Rais wa Afrika Kusini Jacob...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZIMELETA ATHARI YA MIUNDOMBINU KEMONDO BUKOBA

 Mvua zinazoendelea kunyesha Bukoba zimeleta athari mbalimbali kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kuharibu miundombinu ya barabara Eneo la Bulila Kemondo Bukoba Vijijini ,Barabara ikiwa imekatika kufuata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA PICHA HARUSI YA BURUANI KICHWABUTA NA HASANATH MSWADIKU

Maharusi wetu Buruhani Kichwabuta na Mke wake Bi Hasanath wakiwa katika tabasamu pana baada ya shughuli ya ndoa kukamilika iliyofanyika Majuzi nyumbani kwao na Bi harusi na Sasa ni Siku nyingine na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano Mkuu Wa Umoja wa Watanzania Ujerumani 2017 watingisha Essen

Bw.Mfundo Peter Mfundo mwenye miwani katikati mwenyekiti wa Umoja wa wa Tanzania ujerumani akikakata keki#Umoja wa watanzania Ujerumani UTU e.V watingisha jiji la Essen nchini Ujerumani baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI ZAHIVI PUNDE KUTOKA HOSPITALI YA MERCY,SIOUX CITY IA

Latest UPDATE:Mei 18, Alhamisi Saa 4:30 Usiku (Masaa ya Afrika Mashariki)Habari za HIVI PUNDE kutoka Hospitali ya Mercy, Sioux City IA MTOTO Doreen amemaliza KUFANYIWA UPASUAJI wa UTI wa MGONGO, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KIFO CHA BADRU KAITABA

Bukobawadau imepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Kaka yetu,rafiki yetu Badru Kaitaba aliyekuwa Dereva maarufu na mchezaji wa Zamani Balimi FC kilichotoke katika hospitali ya rufaa ya Bugando leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kwenye Mkutano wa 18 wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA:KIFO CHA BADRU KAITABA

Bukobawadau imepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Kaka yetu,rafiki yetu Badru Kaitaba aliyekuwa Dereva maarufu na mchezaji wa Zamani Balimi FC kilichotoke katika hospitali ya rufaa ya Bugando Leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU :Rais Magufuli ameivunja rasmi bodi...

Huu ni muhtasari wa kamati ya uchunguzi wa mchanga wa madini kama ulivyowasilishwa na mwenyekiti wake Prof Mruma hii keo Ikulu!. HADIDU ZA REJEA!. 1.Kamati ilikuwa na kazi ya kuchunguza aina na kiwango...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BancABC wins best emerging Bank in Tanzania

BancABC has been announced as the Best Emerging Bank in Tanzania for the year 2017. The bank won the award during The Banker Africa – East Africa Awards 2017 which were held in Nairobi last...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA KAMATI MAALUM YA KWANZA ILIYOFANYA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya uchunguzi wa mchanga wa madini mbalimbali uliotakiwa kusafirishwa nje ya nchi kutoka kwenye machimbo ya madini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

R.I.P Ivan Semwanga (The Don)

TANZIA aliyekuwa mme wa zamani wa wa Zari amefariki dunia.Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi,R.I.P Ivan12.12.1977 -25.05.2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA COPA UMISSETA YAZINDULIWA JIJINI DAR

Mchezaji wa Shule ya Sekondary Chang’ombe, Hamad Hemed (kulia), akiwania mpira na mchezaji wa Shule ya Makongo, Muksin Mohamed, wakati wa michuano ya Copa/UMISSETA yaliodhaminiwa na Kampuni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKE WAKE MAMA JANETH WAWATEMBELEA WAGONJWA NA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Mzee Francis Maige Kanyasu(Ngosha) aliyelazwa Wodi ya Mwaisela katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA:KIFO CHA PHILEMON NDESAMBURO

#TANZIA:Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi mjini na Mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro (CHADEMA) Philemon Ndesamburo amefariki ghafla wakati alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KLIMO MIFUGO NA UVUVI, MH. CHARLES TIZEBA TAYARI AMEWASILI MANISPAA...

Mh. Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh. Charles Tizeba, akisalimiana na Msajili wa Bodi ya Maziwa, Bwn. Nelsoni Kilongozi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ofisi za Mkuu wa Mkoa Kagera mapema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANAYOJIRI VIWANJA VYA KYAKAILABWA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZIWA

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh. Kinawiroakitoa takwimu za Zao la Maziwa kwa Mkoa wa Kagera, mapema kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi.Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa Kitaifa Mkoani Kagera Mh.Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA BUKOBA KWENYE MKAKATI WA KUHAMIA RUBALE.

Pichani Mwenyekiti  wa Halmashauri  ya Wilaya ya Bukoba, Mh. Murshidi Hashim Ngeze, akizungumza na hadhala iliyohudhuria Mkutano wake Katani Rubale Bi Asuma Kokugonza Bantanuka, (Diwani viti maalum...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>