Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI NA MH.RAIS MUSEVENI WAZINDUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA...

 Rais Dkt John Magufuli amewataka maafisa wa vituo vya huduma za pamoja za forodha kujiepusha na vitendo vya rushwa na kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza urasimu ambao umekuwa kikwazo kurahisisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUKENYA CUP 2017:Kamachumu Stend 1-1 Izigo Fc

Michuano ya kuwania kombe la #BukenyaCup2017 imeendelea leo Jumapili Nov 19,katika Uwanja wa Kalemela -Polisi Kamachumu kwa kuzikutanisha timu mbili zenye ushindani mkubwa Stend FC ya Mji Mdogo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA JOANITH JOHN KATARAIA KWA KUTEULIWA KUGOMBEA NAFASI YA UONGOZI UVCCM...

Hongera nyingi kwako Bi Joanith John Kataraia kwa kuteuliwa kugombea nafasi ya Uongozi Baraza kuu UVCCM Taifa WALIOTEULIWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI WA UMOJA WA VIJANA WA CCM TAIFA NAFASI YA BARAZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MBARAWA AKUTANA NA WAJUMBE WA BODI NA WATENDAJI WA TBA JIJINI DAR ES...

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akitoa maelekezo kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA), Msanifu Majengo Elius Mwakalinga, katika kikao kazi kilichowakutanisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA AWAMU YA TANO YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI YAFANIKIWA KATIKA...

Tangu kuzinduliwa Dirisha la Ukusanyaji Kodi kidigitali June mosi 2017 (Electronic Revenue Collection System - eRCS) ambalo lilizinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Mhe. Dkt. John...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA HAI WAKABIDHIWA VYETI

Msimamizi wa Uchaguzi katika Jimbola Hai ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yohana Sintoo akikabidhi cheti cha utambuzi kwa Diwani aliyechaguliwa hivi karibuni wa kata ya Weruweru...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDANI YA MUJUNGI PUB BUGONZI - KAMACHUMU

Kamachumu-Muleba Ni vizuri kufanya maandalizi ya seheme unayotaka!!Basi ukifika Kamachumu Karibu #MujunguPub sehemu pekee yenye mandhari tulivu na upepo mwanana, Maegesho yenye nafasi na usalama huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL VIDEO: SERIKALI YASISITIZA DESEMBA 31 KUWA UKOMO WA UWEKAGI WA VIGINGI...

Na Hamza Temba - Wizara ya Maliasili..........................................................................Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga amesisitiza agizo la Serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MKESHA WA MAULID MJINI BUKOBA

 Matukio ya picha yaliyojiri kutoka Uhuru -Bukoba wakati wa Mkesha wa Maulidi ya Kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) yanayofanyika kila mwaka kitaifa na kuhudhriwa na Viongozi mbalimbali  pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFAHAMU JOANFAITH J.KATARAIA MGOMBEA NAFASI (UVCCM) TAIFA

Joanfaith J.Kataraia pichani Sasa ni Mgombea halali wa nafasi ya Mjumbe wa Baraza kuu laUmoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa.KiDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUBORESHA KIVUTIO CHA UTALII CHA ENEO LA BARABARA YA LAMI INAYOPITA...

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kulia) akiongozwa na Meneja wa shamba la Miti Kawetire, Arnorld Shoo kukagua moja ya eneo katika shamba hilo ilipopita barabara ya lami ambayo ipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDANI YA MUJUNGI PUB BUGONZI - KAMACHUMU

Kamachumu-Muleba Ni vizuri kufanya maandalizi ya seheme unayotaka!!Basi ukifika Kamachumu Karibu #MujunguPub sehemu pekee yenye mandhari tulivu na upepo mwanana, Maegesho yenye nafasi na usalama huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO MKESHA WA MAULID U MJINI BUKOBA NOV 30,2017

Mjini Bukoba Waumini wa dini ya Kiislam mkoani Kagera wakiwa katika msafara wa maandamano wakati wa Sherehee za Mkesha wa Maulidi ya Kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) yanayofanyika kila mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI WA WAOMBOLEZAJI WASHIRIKI MAZISHI YA MA SOPHIA KOKWONGEZA ISHENGOMA

Pata matukio ya picha mwanzo, mwisho yaliyojiri katika Shughuli ya mazishi ya mpendwa wetu Ma Sophia Kokwongeza Ishengoma iliyofanyika jioni ya leo Nyumbani kwao Kibeta -Magoti Bukoba na kuhudhuria na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO:ZIARA YA GHAFLA YA BALOZI DR.KAMALA KATIKA KITUO CHA AFYA CHA KABYAILE...

 Mbunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dr.Kamala akifanya mawasiliano  mara baada ya kufika ghafla katika kituo cha Afya cha Kanyaile na kushuhudia hakuna mtu wa kutoa huduma huku ikisemekana waudumu tayari...

View Article


VIDEO ALICHOKISEMA BALOZI DR.KAMALA KWENYE ZIARA YA GHAFLA KATIKA KITIO CHA...

MBUNGE WA JIMBO LA NKENGE BALOZI DR.DIODORUS KAMALA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KITUO CHA AFYA KABYAILE NA KUBAINI CHANGAMOTO YA HUDUMA WATUMISHI,MIUNDOMBINU NA VITENDEA KAZI 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI YA TZ NA NJE LEO DECEMBER 12,2017

Vikao vya kahawa vimekuwa vikija na majawabu makubwa ya utatuzi wa changamoto tata kuanzia level ya familia hadi ya kitaifa tangu zama za wazee wetu, na leo tumeamua kuurudia utamaduni ili utupe majibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

#AzimioLaKagera

Vikao vya kahawa vimekuwa vikija na majawabu makubwa ya utatuzi wa changamoto tata kuanzia level ya familia hadi ya kitaifa tangu zama za wazee wetu, na leo tumeamua kuurudia utamaduni ili utupe majibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRADI WA KIISLAMU KARAGWE

 Uhusiano mwema baina ya waumini wa dini ya Kiislamu katika wilaya ya Karagwe mkoani Kagera na watu wa mataifa ya Kiarabu Mashariki ya mbali umewasaidia kuharakisha upatikanaji wa maendeleo ya huduma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUKRANI KUTOKA KWA MJUMBE BARAZA KUU UVCCM TAIFA JOANFAITH KATARAIA

Pichani kutoka kushoto ni Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa Joanfaith John Kataraia katikati ni Mwenyekiti mpya Ndg Kheri Denice James .MATOKEO UCHAGUZI UVCCM TAIFA 20171. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live