Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO DECEMBER 21,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWAMBA AIRTEL NI MALI YA TTCL KWA 100%: RAIS MAGUFULI

Rais Magufuli amtaka waziri wa fedha kufuatilia kwa karibu suala la umiliki wa kampuni ya mawasiliano ya Airtel, akidai kwamba kwa taarifa alizonazo Airtel Tanzania ni mali ya TTCL Tanzania kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI MKOANI GEITA YAJIPANGA KUTATUA KERO YA MAJI

Serikali Mkoani Geita imejipanga kutatua kero ya maji kwa wananchi inayowakabili wananchi kwa muda mrefu.Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ametoa kauli hiyo alipotembelea miradi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. KIGWANGALLA ATEUA WAJUMBE WENGINE WA KAMATI YA KUANDAA MWEZI WA URITHI WA...

Na Hamza Temba, Arusha..............................................................Wadau wa Utalii Jijini Arusha wamempongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla kwa kukubali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANTU MANDOZA KUTIMIZA NDOTO YAKE YA KUIGIZA NA RAMSEY NOAH KUTOKA NCHINI NIGERIA

  Antu Mandoza akiwa katika picha ya pamoja na Muigizaji nyota wa Filamu kutoka nchini Nigeria Ramsey Noah wakiwa katika picha ya pamoja.Mwigizaji nyota wa filamu na Mkongwe wa tasnia hiyo kutoka...

View Article


VIDEO:KAMPENI YA KUINUA MAADILI KITAIFA

Sifa za Rais wa Tanzania Zatajwa - Part one & two

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2018 'GANYIRA' @HUMURAROCKS #BUSIMBE #BUKOBA

Ndugu marafiki wapendwa Salam!!Kwa niaba ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya kuukaribisha mwaka mpya 2018 *GANYIRA* Bw.Edward Kazimoto tunapenda kukutaarifu shughuli hii itafanyika *Humura rocks*...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA SHUGHULI YA MATANGA YA OMULANGIRA DOMITIAN RUTAZIGOROKA 'KAPISI' - KIKUKWE

 Hivi ndivyo familia ya Marehemu mlangira Domitian Rutazigorokwa Kapisi ilivyoweza kuungana na jamaa na marafiki katika shughuli ya kuanua matanga ya mpendwa mzee wao iliyofanyika mwishoni mwa juma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAFLA YA LUGOYE DAY ILIYOFANYIKA TAR. 27/12/ 2017 YAFANA KIJIJINI ISHOZI

 Baadhi ya wanachama wa Lugoye Social Club walioweza kushiriki shughuli ya kumaliza mwaka 2017 iliyofanyika kijijini Ishozi nyumbani kwa Mzee Justus Rweyemamu wakiwa katika picha ya pamoja na wanawake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA:KIFO CHA BI ANASTAZIA KOKUGONZA RWECHUNGURA WA KIJIJINI GERA

Familia ya Mzee Rwechungura wa Kijijini Gera wanasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa Bi Anastazia Kokugonza Rwechungura kilichotokea juzi tarehe 26/12/2017 Nyumbani kwake Gera.Mazishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IBADA MAALUMU KUANUA MATANGA YA LILIAN GEOFREY NJUNWAS KIJIJINI KANYIGO...

 Familia ya marehemu Herman Kiiza Njunwas wa Kanyigo imeungana na ndugu jamaa na marafiki katika Ibada maalumu kuanua matanga kifo cha Bi Lilian Geofrey Njunwa aliyekuwa mke wa kaka yao Bwana Geofrey...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IBADA MAALUMU KUANUA MATANGA YA LILIAN GEOFREY NJUNWAS KIJIJINI KANYIGO...

 Familia ya marehemu Herman Kiiza Njunwas wa Kanyigo imeungana na ndugu jamaa na marafiki katika Ibada maalumu kuanua matanga kifo cha Bi Lilian Geofrey Njunwa aliyekuwa mke wa kaka yao Bwana Geofrey...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. KIGWANGALLA NA MKURUGENZI MKAZI WA UNDP KUANZISHA KIKOSI KAZI CHA...

Na Mwandishi Wetu - Dar es Salaam.....................................................................Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI WASHIRIKI MAZISHI YA BI ANASTAZIA GEREVAS RWECHUNGURA WA GERA -JAN 5,2018

Jeneza lenye mwili wa mpendwa Bi Anastazia Rwechungura likiingizwa kwenye makazi yake ya milele.Familia ya Marehemu mzee Gerevas Rwechungura na Bi Anastazia wakishiriki Ibada maalumu ya kumuaga mpendwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MZEE PETRO JOSEPH MUTALEMWA YALIYOFANYIKA KIJIJINI KIBENGEWE-BUKOBA

Ni simanzi na huzini mkubwa kwa familia ya Marehemu mzee Petro Joseph Mutalemwa aliyezaliwa mnamo tarehe 24.10.1922  na kufariki Jan 6,2018 akiwa na umri wa miaka 96.Shughuli ya mazishi ya mpendwa Mzee...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzalendo wa Kweli ni Kupenda vya Kwetu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI TEULE YA RUBYA YAPOKEA VIFAA TIBA

 Askofu msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba mkoani Kagera Methodius Kilaini akisaini kitabu cha wageni mbele ya mganga mkuu wa Hospitali ya Rubya mkoani humo George Kasibante (kulia) baada ya yeye na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. MAGUFULI AHUDHURIA SHEREHE...

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein katika sherehe za miaka 54 ya Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBA YATAKIWA KUHAKIKISHA MAENEO YAO YANA HATI

Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA), mkoa wa Mtwara Edward Mwangasa, wakati alipokuwa akikagua nyumba zinazomilikiwa na Wakala huo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIKA PICHA SHUGHULI YA MATANGA YA BI ANASTAZIA RWECHUNGURA WA KIJIJINI GERA

 Familia ya Marehemu Mzee Gervas Rwechungura wameweza kuungana na jamaa na marafiki katika shughuli ya kuanua matanga ya mpendwa mama yao mzazi Bi Anastazia Gervas Rwechungura kufuatia kifo chake...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>