TAFLANI ASKARI WA KIKE KUVALIA SKETI FUPI AKIWA KAZINI NCHINI KENYA!
Picha zinaonyesha Askari mwanamke nchini Kenya alivyo zua kihoja kwa kuvalia sketi fupi akiwa kazini,ni tukio lililo pelekea maswali mengi iwapa mavazi yake yamekiuka sheria au laa!?
View ArticleMAANDALIZI YA BIRTHDAY PARTY YA BI RUKIA KASSIM KUPAMBWA NA UZINDUZI WA...
Ngoma za masikio ya mwanalibeneka wenu (kiranja)wa Bukobawadau Blog yamenasa fununu za kuwepo kwa pati ya aina yake mwishoni mwa wiki hii itakayo fanyika ndani ya Ukumbi wa Linas Night Club. Ndipo...
View ArticleTASWIRA MKUTANO MKUU WA MIZANI WA KCU (1990)Ltd ULIOFANYIKA JANA APRILI 29,2014
Meneja bodi ya cha kikuu cha ushirika mkoa wa Kagera KCU (1990) Ltd Ndg Vedastus Ngaiza akitolea jambo ufafanuzi mbele ya wajumbe wa Mkutano huo uliofanyika katika ukumbe wa Bukop Coop unaomilikiwa na...
View ArticleBALOZI KAMALA AELEZEA MIKAKATI YA KUTAFUTA FEDHA ZA KUTEKELEZA MIRADI KATIKA...
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala akielezea Mawaziri na Wadau wa Bonde la Ziwa Tanganyika jitihada...
View ArticleTAARIFA YA WAZIRI WA HABARI VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO MH.DKT FENELLA...
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akitoa taarifa kwa wanahabari kuhusu sherehe za ufunguzi wa mbio za wa uhuru kwa mwaka 2014 zitakazofanyika kesho May 2,2014mjini...
View ArticleWATOTO WAWILI WAFA MAJI MJINI BUKOBA
WATOTO wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefariki dunia juzi walipokuwa wakiogelea kwenye Ziwa Victoria, eneo la gati la Kishimba mjini Bukoba. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, George Mayunga,...
View ArticleSERIKALI KUPELEKA MSAADA KIJIJINI BULEMBO-KAMACHUMU
HATIMAYE serikali imesikia kilio cha wanakijiji wa Bulembo, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera na kuahidi kutoa msaada wa sh milioni 170 ili kunusuru wananchi waliopigwa na upepo...
View ArticleSIKILIZA AUDIO MH.WAZIRI MKANGARA AKITOA TAARIFA YA SHEREHE ZA UZINDUZI WA...
Bonyeza kitufe cha Play hapa chini kumsikiliza Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Mh.Dkt. Fenella Mukangara (MB) ,Ikifuatiwa na maswali kutoka kwa waandishi wa Habari.
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZINDUA RASMI MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA UWANJANI KAITABA...
Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal amezindua rasmi Sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa katika Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba , Mkoani Kagera leo na kuwataka watanzania Bara na Zanzibar...
View ArticleBIRTHDAY PARTY YA BI RUKIA KASSIM MAYENYA, MMEWE AFANYA KUFURU!!
Kubali au kataa, Mr &Mrs Abdulrahim (Simba) Mawenya ni miongoni mwa wanandoa wenye majina makubwa Mjini hapa,Pia Mr Abdulrahim (Simba) ni mmoja wa Wadau wenye wake warembo na ni mmoja kati ya...
View ArticleCHECK VIDEO 1&2 BIRTHDAY PARTY YA BI RUKIA KASSIM MAWENYA MAY 2,2014
Katika kuhakikisha kuwa Mke wake anafurahia birthday yake ya kutimiza miaka kadhaa,usiku wa Ijumaa May2,2014 Sikiliza maneno matamu aliyo yatumia Ndg Abdrahim (Simba)pamoja nakufanya kufuru ya...
View ArticleUSIKU WA KILIMANJARO TZ MUSIC AWARDS 2014 FID Q NDANI,DIAMOND APOKEA 7 NA...
Msanii Fid Q aliye shangiliwa sana usiku wa tuzo hizo,ameweza kujinyakulia tuzo mbili ambazo ni Msanii Bora wa Hip hop na Mtunzi Bora wa Hip hop wa mwaka.Kundi la Weusi katika Wimbo Bora wa Hip...
View ArticleTASWIRA USIKU WA MR&MRS MODY SALUM (MAWINGO) AL-SAQRY
Baada ya shughuli ya Ndoa na tukio la harusi iliofanyika Jumamosi May 4,2014.Nyumbani kwao Bwana Harusi,Kijijini Kamachumu ambapo theluthi tatu ya wadau halisi wa mji huu waliamia huko kwa muda...
View ArticleWAJUMBE TFF WAKATAA TIMU 16
Dar es Salaam. Jaribio la kuzipandisha klabu za Mwadui na African Lyon kinyemela limegonga mwamba baada ya wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kugoma kuongeza timu za...
View ArticleSHIRIKA LA NELICO NA MABARAZA YA WATOTO WILAYA YA GEITA WAFANYA ZIARA YA...
Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana la KIVULINI akitoa historia ya shirika la KIVULINI kwa wawakilishi wa mabaraza ya watoto mara baada ya kutembelea ofisi za shirika hilo...
View ArticleBULEMBO: KIMBUNGA MUGASHA NA AHADI ZA KISIASA
Na Prudence Karugendo“Mugasha” ni jina ambalo kiutamaduni Wahaya waliupatia upepo mkali, dhoruba au kimbunga, unaotokea na kusababisha maafa kwa wakazi wa eneo unalolikumba.Ni upepo unaoangusha...
View ArticleHII TEKUTANA NAYO MAHALA
Phonebook ya Mchaga 1.Massawe Muuza pumba 2.lyimo wa vifaranga 3.Shirima dk mifugo 4.Tairo duka la jumla 5.kimario wa Bia za magendo6.Mushi mchoma nyama 7.Uiso wa pikapu ya ndizi...
View ArticleNDUNGAI ANUSURIKA KIPIGO VURUGU ZA VIJANA KONGWA
Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amenusurika kujeruhiwa na kundi la vijana waliokuwa wakipinga ongezeko la ushuru wa mazao na kuvamia ukumbi wa mkutano wa Kilimo uliopo Kibaigwa, wilayani...
View ArticleMKUTANO MKUU WA KCU(1990) LTD MAY 6,2014
Mwenyekiti wa Bodi ya KCU (1990)LTD John Binushu akifungua mkutano huo rasmi.Mrajis wa Vyama vya Ushirika Kagera Mgeni RasmiMjumbe akitoa utambulishoMkuu wa Wilaya ya Bukoba Mheshimiwa Zipporah...
View ArticleVIDEO MKUTANO MKUU WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA MKOANI KAGERA KCU (1990)LTD
Mhasibu Mkuu KCU (1990)akiwaeleza wajumbe wa Mkutano Mkuu kuhusu changamoto ya Bei ya Kahawa Video hapo juu Meneja akitoa maelezo juu ya yatokanayo Taswira Ukumbini
View Article