Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASHASHA MBELE YA CAMERA YETU

Camera yetu inakutana na Mdau Robart ( Mboma ) Mtore,yeye ni mpenzi na mfatiliaji  wa mtandao wa Bukobawadau. Vijana pichani wakazi wa Jijini Dar es Salaam, Wazaliwa wa huko Wilayani Karagwe ni Aziz...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU MKENYA KATIKA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

 Aden Marwa mwenye umri wa miaka 37 ni mmoja wa marefa wanaochezesha michuano ya kombe la dunia nchini Brazil. Ni refa wa kwanza mkenya kuwahi kuchezesha katika dimba la duniaWashiriki katika kombe la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:Mahakama yawavua nyadhifa madiwani sita Bukoba

Hizi ni taarifa za hivi punde.Ni kutokana na sakata linaloendelea bukoba kuhusiana na mgogoro katika manispaa hiyo.Madiwani hao kutoka vyama tofauti walifunguliwa kesi mahakamani na Diwani wa Kata ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BWANA HLAUDI ACHUNGUZWA KWA KUPEWA MKE KAMA ZAWADI

 Uchunguzi umeanzishwa nchini Afrika Kusini kuhusu madai kuwa mkuu wa shirika la habari la SABC alikabidhiwa msichana mwenye umri wa miaka 23 kama zawadi.Tume inayohusika na maswala ya usawa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI YAIWEKEA UGANDA VIKWAZO KUHUSIANA NA SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA

 Sekta ya Afya na usalama wa taifa itaathirika na vikwazo hivyo.Marekani imeiwekea Uganda vikwazo kwa kupitisha sheria zinazopinga mapenzi ya jinsi moja katika taifa hilo la Mashariki ya Afrika.Afisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUBOMOKA KWA DARAJA LA TABATA KINYEREZI

 Lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ITALY 0-1 COSTA RICA;Hii inamaanisha England ni timu ya Nne kuyaaga...

Costa Rica wakisherekea ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Italia ambao  unawapeleka hatua ya 16 bora. Costa Rica wakipongezana kupatanafasi ya kuingia hatua ya mtoanokuwa mchakato  Fulham flop Bryan Ruiz...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA...

 Watu zaidi ya kumi wamepoteza maisha kwenye ajali ya Daladala inayofanya safari zake kati ya Ubungo - Tegeta jijini Dar mchana huu,baada ya kushindwa maarifa ya kiudereva kwa Dereva wa daladala hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERMANY 2-2 GHANA:Ni Asamoah Gyan Kabla ya Klose kusawazisha!!

Miroslav Klose akitokea benchi anaipatia Ujerumani bao lakusawazisha , ni mpira wa kwanza kuugusa baada ya kuingia tu  uwanjani ,Germany 2-2 Ghana.Bao la Klose linamuweka kwenye historia ya kuweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU ABDULRASUL BWANIKA ANUSURIKA KATIKA AJALI ENEO LA RUHANGA KAMACHUMU

Mdau Abdulrasul Bwanika pichani kapata ajali mbaya ya gari iliyotokea mchana wa leo June 22, 2014 eneo la Ruhanga,barabara kuu iendayo Kamachumu kilometa chache kutoka Kijiji cha Muhutwe Wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOUTH KOREA 2-4 ALGERIA;Ni KOO Nahodha wa Korea ya Kusini analeta Changamoto...

 Kwa mahesabu  makubwa anaonekana Mshambuliaji wa Algeria Islam Slimani akinyanyua mpira juu na kutupia bao la kwanza.GOAL! South Korea 0-1 ALGERIA (Slimani 26) Mshambuliaji wa Algeria Islam Slimani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARUSI YA MDAU NAJIM JAAFAR BWANIKA

Ni matukio ya Harusi ya  Bwana Najim Jaafar Bwanika, iliyofanyika Mchana wa leo Jumapili June 22,2014 Nyumbani kwao  Kijijini Kamachumu.Muonekano wa Bibi Harusi katika picha. Bibi harusi nampambe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARADONA AWABWATUKIA FIFA KWA KUIKOSEA HESHIMA COSTA RICA.

Nguli wa soka duniani na mkali wa enzi hizo wa Argentina, Diego Armando Maradona, amewafananisha viongozi wa FIFA na genge fulani la wahuni lisilo na nidhamu wala heshima, kufuatia hatua ya shirikisho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE,VIJANA WILAYANI MULEBA WATANGEWA MIL.69/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagara, imetenga zaidi ya sh milioni  69 kwa kipindi cha mwaka 2010/2014 kwa ajili ya mikopo kwa vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya kinamama na vijana, ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ENGLAND WANAREJEA KWAO NA POINT MOJA;England 0-0 Costa Rica World Cup 2014

Kiungo na nahodha wa England Steven Gerrard pichani  (katikati) akipasha na wenzake.Mtazamo tofauti kwa mmoja wa mashabiki wa UingerezaInaonekana Kivutio pale mashabiki wa Brazil wanapo ingia Uwanjani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS KAGERA 2014 KUFANYIKA AUG 2,2014 NDANI YA LINAS NIGHT CLUB

KAMATI YA MAANDALIZI YA MISS KAGERA 2O14 INAWAJULISHA KUWA TAREHE 2-8-2014 NI SHINDANO LA KUMTAFUTA REDD'S MISS KAGERA 2014 KATIKA UKUMBI WA LINA'S KUANZIA SAA 2.00 USIKU.WAREMBO KUTOKA WILAYA ZOTE ZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMARAS ANAWAVUSHA GREECE;GREECE 2-1 IVORY COAST

Penati ya dakika za nyongeza inawatoa wapambanaji  Ivory Coast,Kikosi imara kikiongozwa na Barry, Boka, K Toure, Kalou, Tiote, Gervinho, Drogba, Aurier, Y Toure, Serey, Bamba Shangwe za shabiki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

R.I.P MZEE MTORE WA KIJIJINI BUGANGUZI

Bukobawadau Blog tumepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mzee wetu , rafiki wetu mpendwa Marehemu Mzee Mtore , kilichotokea Jana June 24,2014 Katika Hospital ya Rubya.Mipango ya mazishi inaendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ULEVI NA UVUTAJI NDIYO MIHIMILI YA UCHUMI WETU?

 Na Prudence KarugendoNIMEJIWA  na wazo kwamba neno la tahadhari kwenye sigara na matangazo ya bidhaa hiyo lisemalo “ uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako” ni la kuondoa kabisa. Sababu kwa maana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Katika kutekeleza kazi ya mbunge ya kuisimamia Serikali itakumbukwa kwamba tarehe 12 Mei 2014 nilichukua hatua bungeni ya kutaka Serikali kutatua kwa dharura matatizo katika mtambo wa maji wa Ruvu Juu...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>