Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU MULEBA WANANCHI WAVUNJA JENEZA NA POLISI WAJERUHI MWANAHABARI!

 Jeshi la polisi wilayani Muleba mkoani Kagera  limemshambulia mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi na Radio Kwizera  mkoani humo  wakati akifanya shughuli zake katika kituo cha afya cha Kaigara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUACHANE NA UPUUZI WA PICHA ZA MITANDAONI

Na Prudence KarugendoNIMESHANGAZWA  na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LILE SAKATA LA MAITI MULEBA WANANCHI WAVUNJA JENEZA NA POLISI WAJERUHI...

 Jeshi la polisi wilayani Muleba mkoani Kagera  limemshambulia mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi na Radio Kwizera  mkoani humo  wakati akifanya shughuli zake katika kituo cha afya cha Kaigara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KIGODA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI LA AFRIKA, KARIBIANI NA...

Mhe. Dr. Abdalah Kigoda (wa nne kutoka kushoto) akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri wa nchi za ACP. Kikao hicho kimeanza leo Nairobi, Kenya.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA KENYA

Mhe. Janet Mbene Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na  Balozi wa Tanzania Kenya Dr. Batilda Burian (wa pili kutoka kushoto) na Balozi wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPA 'GUILLERMO OCHOA' AMGOMEA NEYMAR:BRAZIL 0-0 MEXICO

Hii ni sehemu ya mashabiki wa MexicoJinaOribePeralta lilipotajwa ,lilishangiliwa sana na mashabiki wa Mexico kama vile jina la Neymar linavyo chukuliwa na kushangiliwa na umati mkubwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA MULEBA WARUHUSIWA KUSAFIRISHA KAHAWA

  WAKULIMA na wanunuzi wa zao la kahawa katika Kata ya Nshamba, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wameruhusiwa kusafirisha zao hilo kwenda sehemu yoyote ndani ya wilaya hiyo, ikiwa ni pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WACHARUKA MULEBA

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu 30 wakazi wa Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za vurugu na uharibifu wa mali uliotokea wilayani humo, ikiwemo kuvunja chumba cha kuhifadhia maiti katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPIGA 'STOP' UVUTAJI WA SHISHA

Uvitaji wa Shisha ni sawa na uvutaji wa sigara kulingana na madaktariSerikali ya Tanzania imepiga marufuku uvutaji wa Shisha.Uraibu huo unaohusisha uvutaji wa Tumbaku yenye ladha tofauti tofauti ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFALME UGANDA WAMTAKA RAIS MUSEVENI KUOMBA MSAMAHA

 Kusimikwa kwa mfalme Oyo Nyimba Kabamba wa Tooro  nchini Uganda.Ufalme wa kitamaduni wa Tooro nchini Uganda, umemtaka Rais wa Uganda Yoweri Museveni kumuomba msamaha mfalme wao na kuondoa matamshi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO NAFASI ZA AJIRA KADA ZA AFYA KWA MWAKA 2013/2014

OFISI YA MKUU WA MKOA WA KAGERA INAWATANGAZIA WATAALAMU WA KADA MBALIMBALI ZA AFYA  KUWA BADO KUNA NAFASI ZA AJIRA ZILIZOTANGAZWA NA KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KATIKA SEKRETARIETI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADIOS AMIGOS KWA MABINGWA SPAIN 0-2 CHILE

 Mabingwa wa Dunia ,Spain wameyaaga mashindano ya michuano ya kombe la dunia  usiku wa leo . Mwisho wamchezo wanaonekana Wachezaji wa Chile  Mauricio Isla pichani kushoto na Mlinda mlango Claidio Bravo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL TIME CAMEROON 0- 4 CROTIA

 Ujuzi kutokaAboubakar...mwenye umri wa miaka 22. BenjaminMoukandjo katika harakati za kutafuta bao  yake mwanoni mwa kipindi cha kwanaHekaheka za  Stephane Mbia  BenjaminMoukandjo wa Cameroon akinasua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA SEKRETARIETI YA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP) ASHAURIANA...

Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya ACP Alhaji Muhammad Mumuni (kulia) akishauariana na Rais wa Baraza la Mawaziri la ACP Mhe. Dr. Abdallah Omari Kigoda (katikati) kabla ya kuanza kikao cha pamoja cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KIGODA ATIA SAHIHI HATI YA EURO MILIONI 626

Ambassador Dr. Diodorus Buberwa Kamala           Tanzania Ambassador to  BELUX  & Mission to the European Union

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI NDILO KABURI LILILOVUNJA REKODI,MAITI YAWEKEWA KITANDA,TV,VINYWAJI N.K.

Sasa uachane na stori zote za watu maarufu na wasio maarufu, matajiri na masikini waliokufa na kuzikwa ndani ya majeneza mazuri na yaliyo na thamani kubwa, hayo tulikwisha yazoea kitambo sana.Kiboko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU MKENYA KATIKA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

 Aden Marwa mwenye umri wa miaka 37 ni mmoja wa marefa wanaochezesha michuano ya kombe la dunia nchini Brazil. Ni refa wa kwanza mkenya kuwahi kuchezesha katika dimba la duniaWashiriki katika kombe la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL -TIME ENGLAND 1-2 URUGUAY

..Mabao mawili ya Luis Suarez yanawaondoa England MAPEMA katika michuano ya kombe la dunia. Kwa uwezo mkubwa Suarez anatulia na mpira wakati Mchezaji  Jagielka akimnyemelea kwa nyumaSterling anajaribu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA KWA LADY JAY DEE aka ANACONDA

Lady Jaydee;Nakanusha tena na tena, hii habari ni ya uongo na sijui walio andika wana nia gani. Hiki kitu hakiwezi kuja kutokea. ..naweza kupiga magoti mbele za Mungu na mama yangu mzazi tu. Hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII CMB PREZZO KUWASINDIKIZA REDDS MISS GEITA JUMAMOSI JUNE 21,2014

MSANII wa muziki wa kizazi kipya 'Prezzo' kutoka nchini Kenya anatarajiwa kuwasindikiza warembo watakaoshiriki  kinyang'anyiro cha Redd's Miss GEITA 2014.Ticket za Miss geita zinapatikana Lenny hotel,...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>